Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usibishe kabisaaa kuna watu wapo kama madem kabisaaa sura ya kike ila homoni za kike na kila kitu kuanzia sauti mpaka sura kuna nesi mmoja hospitali binafsi wilaya moja morogoro yuko hivyo kama demu kabisaaa na watu wanapiga sound na anagawa kama kawaida hii nimeshuhudia mwenyeweChai mchna kweupe kabisa huko kukumbatiana kote hukuona Kama kifua Kiko flat?
Hii chai chumvi imezidi ungeweka walau sukari kijiko kimoja.
Alikuwa kalewa tungii hapo hata unaweza baka nguzo za bar unadhani ni demu mkali.Well...you deserved 🤨🤨🤨, mkuu haukuona hata sign yoyote kuwa huyo jamaa alikuwa jinsia kaa yako.
Follow your heart your brain is stupid 😡
😂😂😂Alikuwa kalewa tungii hapo hata unaweza baka nguzo za bar unadhani ni demu mkali.
Kabisa mkuu👊Ni kweli sasa ona hadi aibu yanini naunaendaje bar mwenyewe ?
Wanaume wanatakiwa waende bar na mtu tayari haya maisha okota okota si nzuri.
Mkuu kuna lolote unalojua kuhusu mwanangu, nina mtoto mmoja tu, sasa inawezekanaje nipate hela ya kunywa bia halafu nishindwe kumtunza mtoto mmoja tu tena ndio wa kwanza halafu wa kiumeMwanao anasuffer njaa mpaka ameingia kwenye stress akiwa bado mtoto kumbe pesa zote baba unamalizia kwa machangu
Kumbe ukiwa peke yako hauruhusiwi kwenda baaKabisa mkuu[emoji109]
Uko sahihi kanisa mkuu, ndio maana nikawaambia wale wanaobisha kwamba ni wageni wa mjiMkuu usibishe kabisaaa kuna watu wapo kama madem kabisaaa sura ya kike ila homoni za kike na kila kitu kuanzia sauti mpaka sura kuna nesi mmoja hospitali binafsi wilaya moja morogoro yuko hivyo kama demu kabisaaa na watu wanapiga sound na anagawa kama kawaida hii nimeshuhudia mwenyewe
Nilishituka hata kabla ya chochoteHapana, sema tu pombe ilipoisha ukashtuka, looo
Aliwazalo mjinga ndio linalomtokeaSio kupata tu alitakiwa afe[emoji23][emoji23]
California love
WeweKati ya wewe na yeye nani mjinga?
Panapo majaaliwa nitaoa tuOkota okota ya nini oa tulia na mkeo au kama umeoa tafuta demu.mwenye uelewa
We unaona hicho ni kitu kikubwa sana kutisha eeh, kwa taarifa yako nilipata hako ka ugonjwa kwa wiki moja tu na hakakunizuia kuendelea na shughuli zangu kama kawaida, mwanaume hutakiwi kuogopa vitu vidogo vidogo kama ivoMleta Thread ungetakiwa upate Corona!
Ndio huruhusiwi na ukienda usinywe na kujiachia kunywa kiasi ili usifanye mambo ya aibuKumbe ukiwa peke yako hauruhusiwi kwenda baa
Asante sana wewe umeongea lililo bora, hili nalichukua nitalifanyia kaziNdio huruhusiwi na ukienda usinywe na kujiachia kunywa kiasi ili usifanye mambo ya aibu
Karibu sana kwa mara ingine kwani tupo kupeana mawazo pevu.Asante sana wewe umeongea lililo bora, hili nalichukua nitalifanyia kazi
[emoji120] thanks, kwa kauli yako hii naona tuufunge rasmi huu mjadalaKaribu sana kwa mara ingine kwani tupo kupeana mawazo pevu.