Mjinga alinidanganya anaitwa Sarah kumbe ni Shoga

Mjinga alinidanganya anaitwa Sarah kumbe ni Shoga

Chai mchna kweupe kabisa huko kukumbatiana kote hukuona Kama kifua Kiko flat?


Hii chai chumvi imezidi ungeweka walau sukari kijiko kimoja.
Mkuu usibishe kabisaaa kuna watu wapo kama madem kabisaaa sura ya kike ila homoni za kike na kila kitu kuanzia sauti mpaka sura kuna nesi mmoja hospitali binafsi wilaya moja morogoro yuko hivyo kama demu kabisaaa na watu wanapiga sound na anagawa kama kawaida hii nimeshuhudia mwenyewe
 
Mwanao anasuffer njaa mpaka ameingia kwenye stress akiwa bado mtoto kumbe pesa zote baba unamalizia kwa machangu
Mkuu kuna lolote unalojua kuhusu mwanangu, nina mtoto mmoja tu, sasa inawezekanaje nipate hela ya kunywa bia halafu nishindwe kumtunza mtoto mmoja tu tena ndio wa kwanza halafu wa kiume
 
Mkuu usibishe kabisaaa kuna watu wapo kama madem kabisaaa sura ya kike ila homoni za kike na kila kitu kuanzia sauti mpaka sura kuna nesi mmoja hospitali binafsi wilaya moja morogoro yuko hivyo kama demu kabisaaa na watu wanapiga sound na anagawa kama kawaida hii nimeshuhudia mwenyewe
Uko sahihi kanisa mkuu, ndio maana nikawaambia wale wanaobisha kwamba ni wageni wa mji
 
Mleta Thread ungetakiwa upate Corona!
We unaona hicho ni kitu kikubwa sana kutisha eeh, kwa taarifa yako nilipata hako ka ugonjwa kwa wiki moja tu na hakakunizuia kuendelea na shughuli zangu kama kawaida, mwanaume hutakiwi kuogopa vitu vidogo vidogo kama ivo
 
Back
Top Bottom