Halipwi chochote pale .. Kumbuka ile ni ajali ni jambo la dharura ... Labda kama tu mwenye gari hatataka gari yake iende polisi au ilale polisi hapo ndio anaweza kumalizana na mwenye gariOkay sawa
Yule dereva wa break down naomba kujua siku ya ajali analipwa na nani, polisi?
Kumbe ni wewe mkuu.....hii ajali ilitokea mida ya saa 2 au 3 hivi ucku...nilikuwa natoka Dar naenda Mbeya...tulikaa hapo almost 2 hrs.Wakuu, salamu zenu!
Juzi natoka zangu Dodoma, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hili
View attachment 1740392
Pole sana mkuu. Barabarani unaweza kuwa na tahadhari zote lakini bado mzembe mwingine akakutoa roho au kukutia hasara kama hiyo.Wakuu, salamu zenu!
Juzi natoka zangu Dodoma, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hili
View attachment 1740392
Ana third party hivyo atalipwa na bima ya aliyemgongaHii ni Total Loss
Kama una bima kubwa chukua mpunga wote kanunue gari mpya , usichukue Salvage.
IT hakuna madereva , hawana uzoefu na wengi ni deiwaka wanakimbiza ili warudi dar wadandie kazi nyingine
Hapo nimekuelewa mkuuAna third party hivyo atalipwa na bima ya aliyemgonga
Kama IT nayo ina third party?Ana third party hivyo atalipwa na bima ya aliyemgonga
Bado itawajibika kumlipaKama IT nayo ina third party?
1.Kesi tayari iko mahakamani, ndio kwanza imeandikishwa hata kutajwa haijatajwa na sijui itachukua muda gani.Wewe
kuna kesi haziendi mahakamani ? Wewe ndio umesema tuhakikishe kesi inaenda mahakamani. Sasa imekua tuyamalize polisi ?
Halafu PF maana yake ni Police Form. Mahakama inatoaje Police Form?
Na kwa nini niko mahakamani halafu hukumu ya kesi yangu apewe polisi ????
Halafu kwa Tanzania hapa hayo ma fomu 10 kidogo huwezi kuyapata na ku fixiwa gari lako au kulipwa ndani ya mwezi mmoja!
Na gharama za tow truck huwezi kuiita halafu umwambie vuta gari kisha utalipwa kesi ikiisha! Hesabu ya siku anaipelekaje? Na wewe uliyemuita ukishindwa kesi inakuaje ?
Ongea uhalisia brother.
Ni mimi mkuu, Yaani jamaa amenitia hasara kinomaKumbe ni wewe mkuu.....hii ajali ilitokea mida ya saa 2 au 3 hivi ucku...nilikuwa natoka Dar naenda Mbeya...tulikaa hapo almost 2 hrs.
Pole mkuu
Hata yeye pia gari yake iliumia! Zote mbili zilivutwa kupelekekwa kituo cha polisi ChalinzePole mkuu kwa majanga....Vipi huyo dereva wa IT gari lake liliweza kuendelea na safaei au nalo liliishia hapo hapo..?
Kwani ni gari ya aina gani hio mkuu?Mahakamani kesi inakaa muda gani, na kipindi hicho unatumia usafiri gani na wakili wako analipwa na nani? Na nani anai tow gari kutoka njia panda Dodoma kuipeleka garage karibu na unakoishi ili uweze kuifuatilia kama BIMA wataamua kui fix?
Ajali sio suala rahisi kama unavyomwambia eti arilaksi!
Police report yenyewe unaweza kuifuatulia mwezi mzima wanajidai polisi mhusika yuko msibani, wanataka rushwa.
Na gereji za Wachina nazo (supposed to be the best of all) usidhani wako profesheno kiviiiile, wanahitaji kuwafuatilia kama garage zetu za Kiswahili.
Niuzie hiyo gari niirudishe kwenye mstariWakuu, salamu zenu!
Juzi natoka zangu Dodoma, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hili
View attachment 1740392
Exactly..... Exaaaaactly!1.Kesi tayari iko mahakamani, ndio kwanza imeandikishwa hata kutajwa haijatajwa na sijui itachukua muda gani.
2.Gari ilikaa siku 2 tu kituo cha polisi Chalinze, nilipoenda kupeleka claim form na cover note ya bima yangu, mkuu wa kituo akanikomalia, kuwa pale sio gereji so nitoe mkweche wangu, nililazimika kuingia mfukoni(300k) kuchukua breakdown toka Chalinze mpaka Kibamba ninakoishi.
3.Vehicle inspector naye akataka mpunga ili aniandikie kile yeye anadai "Ripoti nzuri".
Kifupi, niko mwanzoni tu,lakini nishaanza kuona ugumu wa mchakato wenyewe! Kama kuna mtu ana uzoefu na hizi habari naomba tuwasiliane kwa msaada zaidi!
Kuna mkasa kama huo ulitokea kibaha.1.Kesi tayari iko mahakamani, ndio kwanza imeandikishwa hata kutajwa haijatajwa na sijui itachukua muda gani.
2.Gari ilikaa siku 2 tu kituo cha polisi Chalinze, nilipoenda kupeleka claim form na cover note ya bima yangu, mkuu wa kituo akanikomalia, kuwa pale sio gereji so nitoe mkweche wangu, nililazimika kuingia mfukoni(300k) kuchukua breakdown toka Chalinze mpaka Kibamba ninakoishi.
3.Vehicle inspector naye akataka mpunga ili aniandikie kile yeye anadai "Ripoti nzuri".
Kifupi, niko mwanzoni tu,lakini nishaanza kuona ugumu wa mchakato wenyewe! Kama kuna mtu ana uzoefu na hizi habari naomba tuwasiliane kwa msaada zaidi!
Poleni sana...hii iko kama Dualis..Hata yeye pia gari yake iliumia! Zote mbili zilivutwa kupelekekwa kituo cha polisi ChalinzeView attachment 1742703
Haijalishi.Kwani ni gari ya aina gani hio mkuu?