Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanaAaah..Ishakula kwangu..nina third part mkuu!
Pole sana mkuuWakuu, salamu zenu! Juzi natoka zangu Dom, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hiliView attachment 1740392
In Transit. Gari au bidhaa ambazo zinapita bandari ya Tz ila zinaenda nchi jirani.IT
ni nini wakuu, ni ile taaluma ya mambo ya teknolojia
Pole sana ndio maana tunashauri uwe na comprehensive insurance aka bima kubwa.Wakuu, salamu zenu! Juzi natoka zangu Dom, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hiliView attachment 1740392
In Transit vehicles (magari yanayosafirishwa kwenda nje ya nchi)IT
ni nini wakuu, ni ile taaluma ya mambo ya teknolojia
Kwani gari za IT hazina bima?Aaah..Ishakula kwangu..nina third part mkuu!
Ajali za barabarani ziskie tu, hapo alikuwa anwahi K-VantWakuu, salamu zenu! Juzi natoka zangu Dom, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hiliView attachment 1740392
Wewe jamaa sio poaKa IST ka mtoa mada kamechakazwa vilivyo 😁😁😁
Mungu wangu pole sana..kama una comprehensive relax
Hivi inapotokea dreca wa I.T kapigisha gari la mteja mziga nani anahusika na hizo gharama kumlipa mteja au kumnunulia gari jingine jipya
IT
ni nini wakuu, ni ile taaluma ya mambo ya teknolojia
Hapo aiwaishe kwa Amran Autoworks tuWewe jamaa sio poa
Pole saana mkuu. Hilo balaa linaonesha sio la kitoto.Wakuu, salamu zenu!
Juzi natoka zangu Dodoma, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hili
View attachment 1740392
Hata mie nilijua kijamaa kime-flash ECU bana. Gari likabadilika na kuwa subwoofer.Pole sna bt niliposoma kichwa cha habari IT nilidhan wale wataalam wa teknolojia ya habari kumbe syo hao