Yani huyo zari ajipange tu na maisha mengine baada ya mondi.kwa kumbukumbu za halaka hata peny alipakwa mafuta kwa mgongo was chupa hivihivi wakati mondi anarudi kwa wema na sauti ya wema ikarekodiwa eti anambembeleza mondi.peny akipokuja kujua ukweli kashachelewa .
M alichokuwa ananikera Mambo alokuwa anajifanyisha mitandaon live kwa ule umri wake havikuwa poa kwa mwanaume anaekupenda kwel hawez kukufanyia yaleMalipo ni hapa hapa wanawake tunajisahau sana zari alimtesa sana wema alimkashifu sana wema akaona kisa anapesa atamkamata diamond hakujua mwanaume nikama fagio [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] I swear am happy for this siku zote kunya anye kuku akinya bata kaharisha pia huyo mobeto yaonyesha kitandani yupo vizuri zari kitandani bado [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] but ajue mwanaume ni mwanaume usimthamini mwanaume siku yoyote anakubwaga
M naona yupo nae kibiashara zaidNachoamini Mimi Diamond hata amrudie zari sio kuwa unampenda no ni kwaajili ya pesa ndio maana siku zote nasema mapenzi ya dhati hayajengwi kwapesa kama yanajengwa kwapesa diamond angetulia hakuna alichokosa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] jmn alikuwa ananyodo eti mond kwake ndo amefika khaaaaa hawa hawa waume zetu auHahahahahahahaha furaha nilionayo kubwa sana zari pambana Na hali yako malipo mumeo Ivan Na wema hahaha
Alimwitaga mgumba wacha apambane na wenye vizaz wenzieKwani wema alifanyiwa nini ???
Ila yule nillan jmn n Ivan mtupu tuweke ushabiki pembenUmeona eh! Zari anashindana na huyu mtoto mdogo atamtoa makamasi. Mondi keshachokaaa kupanda ndege south east, east south alimwaga manyanga kitaaaaambo. Huu ujasiri wa Misa ipo sababu. Ukizingatia mondi ana mashaka na mtoto wa kwanza kutoka mwisho oops wa tatu kutoka kwanza anyways huyu anaona aliuziwa mbuzi kwenye gunia. Zari mshari lakini Misa mgomvi changanya mbili moto!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] angekuwa anaichomoa dushelele diamond akitoka anaihifadhi kweli hapo sawa sasa anatembea nayokujiaminisha hivyo vp[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] jmn alikuwa ananyodo eti mond kwake ndo amefika khaaaaa hawa hawa waume zetu au
Ndo wanavyojitambulisha.kwani hao mabinti wameolewa na huyo kijana?
Ukijibiwa nitagHivi jina la tukinao limepatikana vip jmn m lanifurahisha
Ndo vinavyomuumiza hvyo maana km kujidhalilisha tu amejidhalilishaM alichokuwa ananikera Mambo alokuwa anajifanyisha mitandaon live kwa ule umri wake havikuwa poa kwa mwanaume anaekupenda kwel hawez kukufanyia yale
Huyu nae ameshaanza alitulia jmn khaaaaUwiiii
LiWema lishaanza kuvurunda huko IG
Lipo linalambana maulimi ka ng'ombe na mahawara zake! ...kaona kasahaulika yaaan