Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa


Kabisa diamond sio mtu mzur hata kidogo anaweza kwenda kwa hamisa lakin hakatachukua muda kishaparamia mwingine na inavyoonesha mpenda kiki sana anawatumia wanawake kujinufaisha machoz huwa hayaendi bure wanavyozid kuumizwa huko mbeleni itakuja kuwa shida kama wakina mr nice
 
M alichokuwa ananikera Mambo alokuwa anajifanyisha mitandaon live kwa ule umri wake havikuwa poa kwa mwanaume anaekupenda kwel hawez kukufanyia yale
 
Ila yule nillan jmn n Ivan mtupu tuweke ushabiki pemben
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] jmn alikuwa ananyodo eti mond kwake ndo amefika khaaaaa hawa hawa waume zetu au
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] angekuwa anaichomoa dushelele diamond akitoka anaihifadhi kweli hapo sawa sasa anatembea nayokujiaminisha hivyo vp
 
M alichokuwa ananikera Mambo alokuwa anajifanyisha mitandaon live kwa ule umri wake havikuwa poa kwa mwanaume anaekupenda kwel hawez kukufanyia yale
Ndo vinavyomuumiza hvyo maana km kujidhalilisha tu amejidhalilisha
Mwanamme anaekupenda hawezi kuruhusu huo ujinga ht kidogo
 
D akiumuacha H wanaume wenye afya zetu tutashangaa sana, ampe tena mtoto, uwezo anawo, tuendeleze dunia..Ka H kako safi sana aise...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…