radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Yani huyo zari ajipange tu na maisha mengine baada ya mondi.kwa kumbukumbu za halaka hata peny alipakwa mafuta kwa mgongo was chupa hivihivi wakati mondi anarudi kwa wema na sauti ya wema ikarekodiwa eti anambembeleza mondi.peny akipokuja kujua ukweli kashachelewa .
Kabisa diamond sio mtu mzur hata kidogo anaweza kwenda kwa hamisa lakin hakatachukua muda kishaparamia mwingine na inavyoonesha mpenda kiki sana anawatumia wanawake kujinufaisha machoz huwa hayaendi bure wanavyozid kuumizwa huko mbeleni itakuja kuwa shida kama wakina mr nice