Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa

Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa

879050de11fa16751eebcca9a23b12d2.jpg
[emoji6] [emoji6] huyu anatafuta kick
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji6] [emoji6] alijiona kafika kigoma mwisho wa reli...mwisho wa siku kakutana na jeuri mwenziee bampa to bampa!

Tena alikua anawarusha roho vibaya loooh!

Kweli KARMA ipo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kazi juu ya kazi yaani anasalitiwa Jennifer Lopez, rihanna,sembuse yeye zari weeee aliona pesa zake mtoto Wa mbagara hatachomoka [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] atajiju
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kazi juu ya kazi yaani anasalitiwa Jennifer Lopez, rihanna,sembuse yeye zari weeee aliona pesa zake mtoto Wa mbagara hatachomoka [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] atajiju
Wenzie tushasalitiwa mpaka tumekuwa ngangari [emoji2] [emoji2] [emoji13] [emoji13] [emoji13] wema kama unanisikia nunua wine mama kunywa tafuta nyama choma kula mama[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] bola wewe ulivumilia shoga ooooh huzai ooooh sijui vile haya mama akajitotolesha fasta namboo ikamponyoka ikalenga kwa mwenzie akapigwa chini nakuvimba juu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kazi juu ya kazi yaani anasalitiwa Jennifer Lopez, rihanna,sembuse yeye zari weeee aliona pesa zake mtoto Wa mbagara hatachomoka [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] atajiju
Halafu vile viteam uchwara vilikua vinamjambisha hamisa na kurusha roho eti mtoto sio wa mondi DNA imesema negetive[emoji6] [emoji6] [emoji6] wakawa wanajipa hope haoo!!
Loojh kuja kuona dogo ni copy ya simba wameshuhuka mpk huruma

Zari alimuambiaga wema maumivu yakizidi amuone Dk sasa Leo acha amuone Dk tu apunguze maumivu
 
Umeona eh! Zari anashindana na huyu mtoto mdogo atamtoa makamasi. Mondi keshachokaaa kupanda ndege south east, east south alimwaga manyanga kitaaaaambo. Huu ujasiri wa Misa ipo sababu. Ukizingatia mondi ana mashaka na mtoto wa kwanza kutoka mwisho oops wa tatu kutoka kwanza anyways huyu anaona aliuziwa mbuzi kwenye gunia. Zari mshari lakini Misa mgomvi changanya mbili moto!
Hahahaaa daaah mm umeniacha hoi tu kwenye iyo sentensi ya mtt wa kwanza kutoka mwisho.
 
Wenzie tushasalitiwa mpaka tumekuwa ngangari [emoji2] [emoji2] [emoji13] [emoji13] [emoji13] wema kama unanisikia nunua wine mama kunywa tafuta nyama choma kula mama[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] bola wewe ulivumilia shoga ooooh huzai ooooh sijui vile haya mama akajitotolesha fasta namboo ikamponyoka ikalenga kwa mwenzie akapigwa chini nakuvimba juu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6][emoji2] [emoji2] [emoji2] full shangwe
 
Malipo ni hapa hapa wanawake tunajisahau sana zari alimtesa sana wema alimkashifu sana wema akaona kisa anapesa atamkamata diamond hakujua mwanaume nikama fagio [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] I swear am happy for this siku zote kunya anye kuku akinya bata kaharisha pia huyo mobeto yaonyesha kitandani yupo vizuri zari kitandani bado [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] but ajue mwanaume ni mwanaume usimthamini mwanaume siku yoyote anakubwaga

Eeeh wewe naye
Wema hasingemuacha Diamond.. alitegemea akae bila kupata mwanamke mwingine?
 
Ni pale unaposoma uzi na ukaanza kutia kichefuchefu.. kisa unaamza kujaa hisia za watu kuumizwa na wivu.. eeeeeh
Wivu mbaya shaaaaaaaaa
 
  • Thanks
Reactions: nao
Madale kunafuka Moshi sio kidogo.

Bwana Dimond aje Kariakoo afundishwe jinsi ya kuchepuka na kuweza kuwa-Control wanawake zako wasioneane wivu.
 
Malipo ni hapa hapa wanawake tunajisahau sana zari alimtesa sana wema alimkashifu sana wema akaona kisa anapesa atamkamata diamond hakujua mwanaume nikama fagio [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] I swear am happy for this siku zote kunya anye kuku akinya bata kaharisha pia huyo mobeto yaonyesha kitandani yupo vizuri zari kitandani bado [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] but ajue mwanaume ni mwanaume usimthamini mwanaume siku yoyote anakubwaga
Hivi uwa mnasahau kuwa wema ndiye alimuacha mond, yeye mwenyewe tena wapambe mkafurahi baada ya kampeni ya bring back our wema.
Mond nadhani akaona mtu pekee ambaye akiwa naye atamuumiza wema na team yake ni kuwa na mtu atakayeonekana yuko juu zaidi ndipo akaja na zari.
Mara team wema mkabadirika na kuanza kumshambulua zari over kaiba mume wa mtu.
 
Wenzie tushasalitiwa mpaka tumekuwa ngangari [emoji2] [emoji2] [emoji13] [emoji13] [emoji13] wema kama unanisikia nunua wine mama kunywa tafuta nyama choma kula mama[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] bola wewe ulivumilia shoga ooooh huzai ooooh sijui vile haya mama akajitotolesha fasta namboo ikamponyoka ikalenga kwa mwenzie akapigwa chini nakuvimba juu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Unashabikia matatizo ya mwenzako ndio maana huwezi fanikiwa kutwa kuomba jamii forum ...

Pambana na hali yako Zari sio mwenzenu anatembelea BMW la maana
 
Back
Top Bottom