Mjue Bakhresa katika picha na matajiri wenzake 10 waliopo Tanzania

Mjue Bakhresa katika picha na matajiri wenzake 10 waliopo Tanzania

Sijamuona Le Mutuz billionea kwenye list sijamuona Davis Mosha au forbes wamekosea?

Kwa huyo Mufuruki kuna huyo alikuwa balozi wetu SA Ami Mpungwe naonahayupo kwenye hiyo orodha lakini naye ni kati ya ma tycoon wa bongo,ukitaja Tanzanite nae yumo yeye ndie aliwashika sikio makaburu kuja kuwekeza kiulaini hapa Bongo na baada tya kuzichanga akauachia hata ubalozi
 
Hyo list yco ni ya kitambo sana.current list rostam ni no 1 na utajiri wa $1 bl.
 
Wp mzee wa vijisent A.chenge,wp Nimrod mkono aliye lipa bunge zima posho na mwenzie Mkapa mwenye bonge la ghorofa cape twn,pia wamiliki wa M bank ,wap E.lowassa,wap baba riz & na riz
 
Mweeee ulimi n kiungo kidogo sana tujilinde nacho! Haleluyaaa
 
shimbo si tuliambiwa anamiliki triliin 3? mbona hayupo kwenye list?
 
sasa hawa WAISLAM kwanini hawajipangi, kuanzisha taasisi za Elimu ya juu.?
 
Na hao wanaotajwa kwenye mabendi mbona hawamo hata mmoja
 
Watu wa Dar mnapendelea. Huku Tanga kuna tajiri anaitwa Shehoza. ana gorofa mbili Tanga na moja Lushoto. ana nyumba mbili Soni. Ana Semi kumi na mbili. fuso za kumwaga na vx lakutembelea. ni mfanyabiashara mkubwa sana Tanga. mbona simuoni kwenye listi yenum
 
Congratulations to all of them, let them enjoy their sweat.
Na wewe uliyeamka ukiwa mzima wa afya, unayo akiba ya chakula cha siku 2 na upo kwenye nchi ya amani ukiweza kwenda unapotaka bila kizuizi, upo huru mtaani, You are more than a Millionaire , say many thanks to your Lord the Creator aka Alhamdulillah..
 
mkuu anauza sembe na ngano nchi za africa mashariki

una udhibitisho au unaongea tu sababu source yako ni ya kijiweni
??????? na kama unao umeisaidia vipi nchi na wananchi ili wasidhidi kupata madhara.??
 
Back
Top Bottom