Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

woga na ustaa mpenzi akienda kuchukua watamuona .. ule msemo mficha maradhi kifo umuumbua ndiyo hivyo tena ila alale kwa amani tu
kumbee...[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
 
alisema arv ndo zinaua hakuna HIV mbona watu wanakufa wasipotumia sasa? Sky Eclat
Nimesoma makala, vijitabu na vitabu, na kusikiliza masimulizi na mahojiano kuhusu kuwepo au kutokuwepo, na mahusiano yaliyopo au yasiyokuwepo kati ya UKIMWI na HIV naona akili inachanganyikiwa tu.
 
Tulibishana sana hapa kuhusu hizi research za deception, ARV's ukizitumia kufuatana na maagizo unafikia undectable status hapo unakuwa huna wadudu kwenye mzunguko wa damu na CD4 wanaongezeka.
 
Tulibishana sana hapa kuhusu hizi research za deception, ARV's ukizitumia kufuatana na maagizo unaffiliated undectable status hapo unakuwa jina wadudu kwenye mzunguko wa damu na CD4 wanaongezeka.
Nimesoma makala, vijitabu na vitabu, na kusikiliza masimulizi na mahojiano kuhusu kuwepo au kutokuwepo, na mahusiano yaliyopo au yasiyokuwepo kati ya UKIMWI na HIV naona akili inachanganyikiwa tu.
inabidi tuanze kujifunza tena huu ugonjwa hapa jf maana tumejazwa uongo mwingi na Deception
 
Ninamfahamu huyu jamaa sana! Ni mtu mmoja fresh na kiukweli ana akili sanaaa tena sanaa sio kidogo...huyu ni graduate wa mambo ya biashara toka Tumaini University Iringa...amefanya kazi Exim, Bank M, Mbeya Cement, Twiga Cement, Airtel , Voda, Heineken hii yote ni ndani ya six au seven years...akaamua kuacha kazi na kuutafuta umaarufu mjini....washkaji wengi wanamkimbia kwa sababu wanaona kama anawaaibisha maana uwezo wake kichwani hakufaa aongozane na watu anaoongozana nao...hakupaswa kujirahisisha kutafuta cheap publicity...
Ila wengi hawajui kuwa haayo mafanikio wanayoyataja ya huyu jamaa ni ya online kwenye social media..yaani mbali na hapo jamaa hana mafanikio yoyote...labda kuwa na gari! ana akili sana lkn hajui kupanga maisha yake sidhani kama anaogopa kesho....anazeeka na ustaa anaacha kufanya mambo ya maana japo ana nafasi nyingi za kuingiza fedha sababu ana akili na anajua kutumia fursa....huyo utakuta hata pa kuishi hana anaishi kwa mtu...Seth it's high time now...ujidefine, ujue umekua...get yourself a home...au kampe company mdingi Changanyikeni....boresha geto lako pale nje kwa mzee...get a life...nadhani redioni uko vzr, andika vitabu, start a talk show or something....you can go far...achana na hii cheap publicity ya kumsaka Wema sijui Diamond....cha mwisho Seth umekuzwa kanisani...usimuache Mungu...cheap publicity isikutenge na muumba wako! rudi kanisani...ukimaliza starehe zako mtaani rudi kanisani japo once per week...sali...your mum will be proud where she is akijua hujaacha muongozo aliokupa! kila la kheri bikira...sina ukakasi na jina lako naona liko poa tu!
We Jamaa ni noma sana kunakitu ulikiona.
 
Tulibishana sana hapa kuhusu hizi research za deception, ARV's ukizitumia kufuatana na maagizo unafikia undectable status hapo unakuwa huna wadudu kwenye mzunguko wa damu na CD4 wanaongezeka.
hivi sky mtu mwenye HIV si anaumwa umwa sana kila mara? sasa anaachaje kutumia dawa? mi nadhani sio cd4 bana miss chaga
Sijui bana labda aliona aibu kwenda kuchukua
 
hivi sky mtu mwenye HIV si anaumwa umwa sana kila mara? sasa anaachaje kutumia dawa? mi nadhani sio cd4 bana miss chaga
CD4 ni kama JWTZ mwilini, virusi ili viishi kwenye mwili vinajichanganya na CD4 cells na kuwanza kuviua na kutoa copy zenye virusi. Ukinwywa ARV zinaua virusi wanaotembea kwenye damu na ku inhibit virusi visizaliane. Virusi vikizibitiwa Jeshi la CD4 linaingezeka. Fikiria nchi bila jeshi la ulinzi kila adui atatushambulia ni kama mwili bila CD4.
 
Back
Top Bottom