Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
alisema arv ndo zinaua hakuna HIV mbona watu wanakufa wasipotumia sasa? Sky EclatDeception kama upo humu, Miss Natafuta anakutafuta huku.
kumbee...[emoji15] [emoji15] [emoji15]woga na ustaa mpenzi akienda kuchukua watamuona .. ule msemo mficha maradhi kifo umuumbua ndiyo hivyo tena ila alale kwa amani tu
Nimesoma makala, vijitabu na vitabu, na kusikiliza masimulizi na mahojiano kuhusu kuwepo au kutokuwepo, na mahusiano yaliyopo au yasiyokuwepo kati ya UKIMWI na HIV naona akili inachanganyikiwa tu.alisema arv ndo zinaua hakuna HIV mbona watu wanakufa wasipotumia sasa? Sky Eclat
Tulibishana sana hapa kuhusu hizi research za deception, ARV's ukizitumia kufuatana na maagizo unaffiliated undectable status hapo unakuwa jina wadudu kwenye mzunguko wa damu na CD4 wanaongezeka.
inabidi tuanze kujifunza tena huu ugonjwa hapa jf maana tumejazwa uongo mwingi na DeceptionNimesoma makala, vijitabu na vitabu, na kusikiliza masimulizi na mahojiano kuhusu kuwepo au kutokuwepo, na mahusiano yaliyopo au yasiyokuwepo kati ya UKIMWI na HIV naona akili inachanganyikiwa tu.
We Jamaa ni noma sana kunakitu ulikiona.Ninamfahamu huyu jamaa sana! Ni mtu mmoja fresh na kiukweli ana akili sanaaa tena sanaa sio kidogo...huyu ni graduate wa mambo ya biashara toka Tumaini University Iringa...amefanya kazi Exim, Bank M, Mbeya Cement, Twiga Cement, Airtel , Voda, Heineken hii yote ni ndani ya six au seven years...akaamua kuacha kazi na kuutafuta umaarufu mjini....washkaji wengi wanamkimbia kwa sababu wanaona kama anawaaibisha maana uwezo wake kichwani hakufaa aongozane na watu anaoongozana nao...hakupaswa kujirahisisha kutafuta cheap publicity...
Ila wengi hawajui kuwa haayo mafanikio wanayoyataja ya huyu jamaa ni ya online kwenye social media..yaani mbali na hapo jamaa hana mafanikio yoyote...labda kuwa na gari! ana akili sana lkn hajui kupanga maisha yake sidhani kama anaogopa kesho....anazeeka na ustaa anaacha kufanya mambo ya maana japo ana nafasi nyingi za kuingiza fedha sababu ana akili na anajua kutumia fursa....huyo utakuta hata pa kuishi hana anaishi kwa mtu...Seth it's high time now...ujidefine, ujue umekua...get yourself a home...au kampe company mdingi Changanyikeni....boresha geto lako pale nje kwa mzee...get a life...nadhani redioni uko vzr, andika vitabu, start a talk show or something....you can go far...achana na hii cheap publicity ya kumsaka Wema sijui Diamond....cha mwisho Seth umekuzwa kanisani...usimuache Mungu...cheap publicity isikutenge na muumba wako! rudi kanisani...ukimaliza starehe zako mtaani rudi kanisani japo once per week...sali...your mum will be proud where she is akijua hujaacha muongozo aliokupa! kila la kheri bikira...sina ukakasi na jina lako naona liko poa tu!
wanasema cd4 ilishuka sana alikuwa hana namna
Sijui bana labda aliona aibu kwenda kuchukuakwani zile dawa zao si zipo vipi alikuwa hataki kunywa
Sijui bana labda aliona aibu kwenda kuchukua
hivi sky mtu mwenye HIV si anaumwa umwa sana kila mara? sasa anaachaje kutumia dawa? mi nadhani sio cd4 bana miss chagaTulibishana sana hapa kuhusu hizi research za deception, ARV's ukizitumia kufuatana na maagizo unafikia undectable status hapo unakuwa huna wadudu kwenye mzunguko wa damu na CD4 wanaongezeka.
Sijui bana labda aliona aibu kwenda kuchukua
Ustaa mbaya wakati mwingineaibu mtu unaumwa? marehemu hakuwa serious kabisa
Upo na ni hatari sanakumbe HIV hatare namna hiyo loh@deception sijui yupo wapi
angejitutumua tu awe anaenda ata kuchukulia mkuranga hukoUstaa mbaya wakati mwingine
Duh!!!Mpoki anaroga sana wenzake pale E FM hasa lilipokuja suala la vyeti ndio kabisaaaa
kuna watu wanachukulia hata mpakani hukoangejitutumua tu awe anaenda ata kuchukulia mkuranga huko
kuonekana wangempiga pichaangejitutumua tu awe anaenda ata kuchukulia mkuranga huko
CD4 ni kama JWTZ mwilini, virusi ili viishi kwenye mwili vinajichanganya na CD4 cells na kuwanza kuviua na kutoa copy zenye virusi. Ukinwywa ARV zinaua virusi wanaotembea kwenye damu na ku inhibit virusi visizaliane. Virusi vikizibitiwa Jeshi la CD4 linaingezeka. Fikiria nchi bila jeshi la ulinzi kila adui atatushambulia ni kama mwili bila CD4.hivi sky mtu mwenye HIV si anaumwa umwa sana kila mara? sasa anaachaje kutumia dawa? mi nadhani sio cd4 bana miss chaga
Yani na vile alikua akipenda kusifia wanawake. Mi nlimu unfollow siku nyingi na mapost yake ya ajabu ajabu.R.i.p kuna wengi sana watalia huko ista.
Wenzake wanajiandilisha maili moja hukooUstaa mbaya wakati mwingine