billduke
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 860
- 898
Way too low.....
This should be done with guys under 30 and not this grandpa
Way tooo low😀 😀
Huyu jamaa haishi vituko...hapo mwenyewe anajiona bado kijaaana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Way too low.....
This should be done with guys under 30 and not this grandpa
Way tooo low😀 😀
Hivi hakuna bikira mwingine kabila zima la wasukuma?
Le GADEM EMOJI huyu mlikosana vipi?- hahahahaha mkuu siku akijiajiri labda ndio anaweza kuwa level yangu poleni sana wewe na yeye, ok hahaha
Le Big Show
Kama huna kazi ndio unakua na mawazo ya kujiajiriNimekua nikimfatilia sana huyu kijana na inspiration stories zake za kuhamasisha vijana kuacha kuajiriwa na kujiajiri wenyewe kama alivyofanya yeye kuacha kazi Heinken.....na miminikaacha kazi bwana ..Joto nalokula huku mtaani ni mm mwenyewe najua.
Cha kushangaza aliyekua anatushauri naona kaajiriwa E-FM .....KWELI NIMEAMINI MAISHA BILA UNAFIKI HAYAENDI
Mbona kama mchele.mchele vile!
Wanasemaga hivo watu wengi ila ye alisema yuko fiti hali wala haliwi kisamvu cha kopo
Bro na mi nijiite bikira wa kihehe? Mmh mbona kama u gay ivi. Halafu maelezo kuhusu yeye ni short adi sina nilichojifunza toka kwake.
Fid Q alimwambia ana aibisha wasukuma wenzake. Na kuhusu kupimwa tezi nilisema tu [emoji18] [emoji18]Haaa ye mwenyewe alishasema sio shoga ambae haamini ampatie dem wake aone anavyosimamia ukucha...
Mie napendaga post zake sometime.. C.T.U mwambie Bikira apunguze umbea basi lols
Fid Q alimwambia ana aibisha wasukuma wenzake. Na kuhusu kupimwa tezi nilisema tu [emoji18] [emoji18]
Nadhani huyu jamaa alikuwa anajifanya mwanamke kwenye mitandaoo ya kijamii kwa lengo la kuzingua watu ila mwisho wa siku jina likawa kubwa akaamua kubaki naloKwakweli huyu jamaa kujiita bikira wa Kisukuma kila siku najiulizaga ni kwanini nakosa jibu....
Labda leo nitapata mwanga
Nadhani huyu jamaa alikuwa anajifanya mwanamke kwenye mitandaoo ya kijamii kwa lengo la kuzingua watu ila mwisho wa siku jina likawa kubwa akaamua kubaki nalo
Mie nikidhami mwanamke nashangaa leo naona picha za kiume.hizi AKA zinaathiri sana kizazi hiki,mtoto rijali wa kiume unaanzaje kujiita bikira???kwa uelewa wangu neno BIKIRA linafit kwa KE tu si vinginevyo,hiyo bikira anayoringia ni ipi!Kwakweli huyu jamaa kujiita bikira wa Kisukuma kila siku najiulizaga ni kwanini nakosa jibu....
Labda leo nitapata mwanga
Mie nikidhami mwanamke nashangaa leo naona picha za kiume.hizi AKA zinaathiri sana kizazi hiki,mtoto rijali wa kiume unaanzaje kujiita bikira???kwa uelewa wangu neno BIKIRA linafit kwa KE tu si vinginevyo,hiyo bikira anayoringia ni ipi!