Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

Jamaa anapiga sana aliqah mpgiga mwal kipindi tupo shule ambay alikuwa mbabe mtaan huyo Mwal
 
Kifo hakina ukomandoo kikiwafika mtu na bosi wake watakufa tu coz ndo moja kati ya amri za mungu ambazo hakuna namna ya kuivunja wala kuikwepa,ila salute kwa huyo jamaa
 
Wadau habari zenu, nina swali, kama lilivyo hapo juu, huyu jamaa mbavu ,bodyguard wa diamond maarufu kama mwarabu fighter ana combat skills zozote au ni ile tu kua na mwili nyumba uliojengeka naturally na "dietary menu" kama cement za dangote.
Na kuongeza tizi ( massive effective workout routines)
 
sidhani kama amekaa kiboya tu atakua mjinga kiasi gani?
lazima atakua na chemba anayoenda kuchota skills za kukata pumzi za watu ndani ya dakika chache

lakini ili tupate jibu kamili nenda kamjaribu afu tusikie yalikupata yale ya radio wa uganda
 
Naona anafanya physical tu sioni basic huyu mkinipa Mimi nipambane nae hachukui dakika 3 atakuwa chini akisubiri ambulance
Ndugu sasa unaleta utetezi ule wa nishikeni, nitampiga huyu.
Wewe usingoje upewe, mtafute kwenye anga zake, umjaribu sisi tusikia tu kupitia vyanzo habari, ila kama utabakizwa kidogo, ama utampiga ulete mrejesho, sisi tutajua tu kua ndiyo wewe.
 
Ndugu sasa unaleta utetezi ule wa nishikeni, nitampiga huyu.
Wewe usingoje upewe, mtafute kwenye anga zake, umjaribu sisi tusikia tu kupitia vyanzo habari, ila kama utabakizwa kidogo, ama utampiga ulete mrejesho, sisi tutajua tu kua ndiyo wewe.


Kupigana mbinu yakhe
 
Back
Top Bottom