Pampula jr
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 606
- 192
Siku hizi ukomandoo limekuwa neno rahisi sana.
Na hiyo ya Gidani kwenda kwenye pumbu :becky:Hamna kitu hapa body tu ukiangalia hata stensi na kicking zake ni kama alijiandaa kwa picha.kabend hapo akikutana na tunao jua tunaharibu reception.angalia hiyo mawash gel ilivyo na broking ya hilo gel ni ujinga tu
martial art hatari kuliko zote ambazo ninaziaminia ni za china (shaolin kung fu), japan (shotokan karate) na south korea (tai kwondo). hizi ukiwa na black belt, unawezakumfanya mtu kitu mbaya sana. i am glad nina black belt ya mojawapo ya hizo. huyo bodigadi wa diamond amecheze martial art fulani ya iran ambayo iko kwenye form of wrestling yaani mieleka. hii ni mieleka ya kiiran, kama unavyoiona hapo kwenye picha aliyopost.we jidanganye afu uje kutana na gusa unate akikupa ngumi jiwe....
huyo ni mchumba tu hana lolote. nakuambia ukweli. we acha siku moja aje akutane na wanaume aaibishwe mbele ya diamond na zari, na kibarua ndio kitaisha siku hiyohiyo.Wabongo kwa kubeza si mjaribu kumletea za kuleta tuone mfano!
Na hivyo vyeti naona kama vya mieleka, halafu sijui ukomandoo wake kautumikia nchi gani mbona simkumbuki huyu kijana kwenye kambi zetu?Huyu mchumba tu kama walivyo wachumba wengine
Huyu mchumba tu kama walivyo wachumba wengine
Hahahahaaa hata mimi nimeshangaa maana ni cheti cha ushiriki tu.
huyo hawezi kusimama na mm kwa japo dk1.ntamuharibu mpaka mumkatae!!
mkuu umetisha sana... inaonekana na wewe ni mbavu ni nene saizi ya huyu wa diamond?