Umasikini unanunuliwa ila utajiri Ni akili ya mtu. Chibu ipo siku ataomba mchango wote mtanikubali maneno yangu.Habari Wadau
Nimekuwa nikimfatilia huyu jamaa anayeitwa Mwarabu Fighter a.k.a body guard wa Chibu dangote bin laden platnumz.
Sasa katika kumwangalia kwangu namuona jamaa kweli ni mkakamavu na amekomaa kweli. Lakini najiuliza maswali kadhaa,
1. Je huyu jamaa ana mafunzo yoyote ya kijeshi?
2. Je anaruhusiwa kumpiga mtu pindi akimsogelea diamond?
3. Je ukimsogelea diamond atakufanya nini?
4. Je sheria inamruhusu kumpiga mtu atakayemsogelea Diamond platnumz??
5. Je anajua kutumia silaha?
6. Je pale alipo ana silaha yoyote?
Na je ametoa wapi utaalamu wa kuwa body guard? Maana kuwa mzinzi binafsi sio kazi rahisi kwani unatakiwa kupata mafunzo maalum nchi mbalimbali au pia kwenye majeshi vikosi maalum..
Mwenye kumjua huyu jamaa naomba taarifa zake tafadhali. Bila kisahau elimu yake na wasifu kwa ujumla (CV)
ASANTENI
Zola DHuyu mwili umembeba tu hana uzoefu wwte, vyuma vyenyewe vya simenti ndo alikoanzia na kina zola D
KUKWEPA NDEGE HAWEZI HUYO ACHA HABARI YA DOSOMafunzo ya kijeshi sidhani labda atakua kapitia mafunzo ya kujihami dhidi ya adui bila kutumia silaha(self defence) hasa martial arts.
Alafu jeshini unaweza kua baunsa na bado ukatoroka kozi, kule unaambiwa ni uvumilivu tu sio size ya mwili wako.
Baunsa akipigwa doso anaweza kulia kama mdada[emoji23]
Hivi kumbe chidi benz nae alishawahi kuwaga na MlinziMafunzo yake ni kunyanyua vitu vizito.
Ni kama yule mlinzi wa Chid Beenz miaka ile.
Kweli mkuu jeshini ni uvumilivu tu.Mafunzo ya kijeshi sidhani labda atakua kapitia mafunzo ya kujihami dhidi ya adui bila kutumia silaha(self defence) hasa martial arts.
Alafu jeshini unaweza kua baunsa na bado ukatoroka kozi, kule unaambiwa ni uvumilivu tu sio size ya mwili wako.
Baunsa akipigwa doso anaweza kulia kama mdada[emoji23]
ha ha ha chid benz alikuwa na mlinzi.. haha huyo mlinzi akashindwa kulinda na ngada?Mafunzo yake ni kunyanyua vitu vizito.
Ni kama yule mlinzi wa Chid Beenz miaka ile.