Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

Watu wenye miili hiyo, wanakuwa waoga sana na majeraha,ukitaka kumpatia mueendee na nyembe au spoku,uone atakavyo toka mbio,nakumbuka zamani pale Tazara enzi za mayenu kuna mmoja alikuwa anazunguka magari kwa kuogopa waya wa mshikaki,halafu huyo ni mcheza mieleka sidhani yuko kama wale pdiddy au Kanye west
 
Sasa Hayo Mazoezi Yote Alikua Anayachukua Kwa Kazi Gani, Mbona Sijackia Baada Yakuhitimu Mafunzo Aliajiriwa Kazi Fulani, Sema Yeye Ni Mnyanyua Vitu Vizito, Sio Komando,
 
Habari Wadau

e9867104453a26dc5530ad9955e96392.jpg


Nimekuwa nikimfatilia huyu jamaa anayeitwa Mwarabu Fighter a.k.a body guard wa Chibu dangote bin laden platnumz.

Sasa katika kumwangalia kwangu namuona jamaa kweli ni mkakamavu na amekomaa kweli. Lakini najiuliza maswali kadhaa,

1. Je huyu jamaa ana mafunzo yoyote ya kijeshi?

2. Je anaruhusiwa kumpiga mtu pindi akimsogelea diamond?

3. Je ukimsogelea diamond atakufanya nini?

4. Je sheria inamruhusu kumpiga mtu atakayemsogelea Diamond platnumz??

5. Je anajua kutumia silaha?

6. Je pale alipo ana silaha yoyote?

Na je ametoa wapi utaalamu wa kuwa body guard? Maana kuwa mzinzi binafsi sio kazi rahisi kwani unatakiwa kupata mafunzo maalum nchi mbalimbali au pia kwenye majeshi vikosi maalum..


Mwenye kumjua huyu jamaa naomba taarifa zake tafadhali. Bila kisahau elimu yake na wasifu kwa ujumla (CV)

ASANTENI

8f8b698e0547626740fe2d6ee66e4617.jpg


0e072fa4d07a4563fa2f035ceefcd1b1.jpg


e8ae70cc3e67b54c661ca17514673ed2.jpg


d61739752bb30c6934e62ecababc2aa6.jpg
 
Mafunzo ya kijeshi sidhani labda atakua kapitia mafunzo ya kujihami dhidi ya adui bila kutumia silaha(self defence) hasa martial arts.

Alafu jeshini unaweza kua baunsa na bado ukatoroka kozi, kule unaambiwa ni uvumilivu tu sio size ya mwili wako.

Baunsa akipigwa doso anaweza kulia kama mdada[emoji23]
 
Habari Wadau

e9867104453a26dc5530ad9955e96392.jpg


Nimekuwa nikimfatilia huyu jamaa anayeitwa Mwarabu Fighter a.k.a body guard wa Chibu dangote bin laden platnumz.

Sasa katika kumwangalia kwangu namuona jamaa kweli ni mkakamavu na amekomaa kweli. Lakini najiuliza maswali kadhaa,

1. Je huyu jamaa ana mafunzo yoyote ya kijeshi?

2. Je anaruhusiwa kumpiga mtu pindi akimsogelea diamond?

3. Je ukimsogelea diamond atakufanya nini?

4. Je sheria inamruhusu kumpiga mtu atakayemsogelea Diamond platnumz??

5. Je anajua kutumia silaha?

6. Je pale alipo ana silaha yoyote?

Na je ametoa wapi utaalamu wa kuwa body guard? Maana kuwa mzinzi binafsi sio kazi rahisi kwani unatakiwa kupata mafunzo maalum nchi mbalimbali au pia kwenye majeshi vikosi maalum..


Mwenye kumjua huyu jamaa naomba taarifa zake tafadhali. Bila kisahau elimu yake na wasifu kwa ujumla (CV)

ASANTENI

8f8b698e0547626740fe2d6ee66e4617.jpg


0e072fa4d07a4563fa2f035ceefcd1b1.jpg


e8ae70cc3e67b54c661ca17514673ed2.jpg


d61739752bb30c6934e62ecababc2aa6.jpg
Umasikini unanunuliwa ila utajiri Ni akili ya mtu. Chibu ipo siku ataomba mchango wote mtanikubali maneno yangu.
 
Mafunzo ya kijeshi sidhani labda atakua kapitia mafunzo ya kujihami dhidi ya adui bila kutumia silaha(self defence) hasa martial arts.

Alafu jeshini unaweza kua baunsa na bado ukatoroka kozi, kule unaambiwa ni uvumilivu tu sio size ya mwili wako.

Baunsa akipigwa doso anaweza kulia kama mdada[emoji23]
KUKWEPA NDEGE HAWEZI HUYO ACHA HABARI YA DOSO
 
Mafunzo ya kijeshi sidhani labda atakua kapitia mafunzo ya kujihami dhidi ya adui bila kutumia silaha(self defence) hasa martial arts.

Alafu jeshini unaweza kua baunsa na bado ukatoroka kozi, kule unaambiwa ni uvumilivu tu sio size ya mwili wako.

Baunsa akipigwa doso anaweza kulia kama mdada[emoji23]
Kweli mkuu jeshini ni uvumilivu tu.

Nakubaliana na wewe kwenye hilo.
 
Back
Top Bottom