Mjue Charlie Chaplin, mwigizaji wa zamani

Kuna ile clip alipoingia kwenye banda la simba wenye njaa ,duu huwa naifurahia xana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] alivyotoka mle ndani zile mbio ni shida kisigino kinagusa kisogoni kwenye kupanda ile nguzo sasa kama umeme haha
 
Kuna siku nilijua natoka dar kuja Songea mitaa ya kuanzia ilula tuliekewa vituko vyake jamani hadi tunafika Songea hakuna alielala ni kucheka tuu huyu baba anakpaji aisee nahisi ni zaidi ya Mr been
 
Kuna siku nilijua natoka dar kuja Songea mitaa ya kuanzia ilula tuliekewa vituko vyake jamani hadi tunafika Songea hakuna alielala ni kucheka tuu huyu baba anakpaji aisee nahisi ni zaidi ya Mr been
Haha yule jamaa nizaidi ya mchekeshaji aise
 
Kizuri hakikosi kasoro, na barabara murefu haikosi kona.

Akiwa na miaka 53, alimuoa mke wake wa tatu, binti mwenye miaka 18.
Hahaha dhu iyo sio kasoro mkuu kama ali oa safi tu
 
Futuhi wajifunze kwa huyu bwn...vichekesho vyake vinacontent ya maana. Kuna stor na mtiririko unaeleweka, sio kukurupuka tu eti unatama kuchekesha watu. Joti anajitahidi, mujuni....senga, pembe, muhogo nawapa excellent
 
Mi chale chaplin alinifurahisha ile yuko jela!akawa anapimwa kama kichaa.kapewa bia eti anaimiminia skion hahaha
 
Hahaha dhu iyo sio kasoro mkuu kama ali oa safi tu
Kasoro ni alipenda vi "spring chicken" Mke wa kwanza alikuwa na 17, wa pili 16....alikuwa na alergy na Watu wazima...nadhani hakukuwa na sheria za Wanafunzi enzi hizo huko kwao.
 
Futuhi wajifunze kwa huyu bwn...vichekesho vyake vinacontent ya maana. Kuna stor na mtiririko unaeleweka, sio kukurupuka tu eti unatama kuchekesha watu. Joti anajitahidi, mujuni....senga, pembe, muhogo nawapa excellent
mkuu unamaanisha Maufundi anakurupuka?[emoji16] [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…