FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Hahaha dhu iyo sio kasoro mkuu kama ali oa safi tu
Kasoro nyingine ni racism, Jamaa alikuwa incharge wa kazi zake karibu zote, hakuwaamini Waigizaji Weusi mpaka ilibidi Mzungu ajipake rangi nyeusi ndio akae kama mtu mweusi kwenye play zake....kama kwenye "A Night in the show"