Mjue Charlie Chaplin, mwigizaji wa zamani

Kuna ile moja nimesahau jina, ila miongoni mwa clip ni moja ambayo wapo kiwandani, yeye kapewa spaner ya kukaza bolt, ilikuwa hatari. Lakini clip nyingine ni eating machine ambayo katika majaribio, yeye ndo akachaguliwa. Kilichotokea hapo ni full vituko.
 
Futuhi wajifunze kwa huyu bwn...vichekesho vyake vinacontent ya maana. Kuna stor na mtiririko unaeleweka, sio kukurupuka tu eti unatama kuchekesha watu. Joti anajitahidi, mujuni....senga, pembe, muhogo nawapa excellent
Ujumbe mzuri wahusika wakiufanyia kazi watafika mbali
 
Tulianza kuangalia kupitia cinema Leo mtaani kwetu ilikuwa kila jtano mara moja kwa wiki. Hadi Leo sijaacha kuangalia na nimeshakuwa muhenga
 
Kasoro ni alipenda vi "spring chicken" Mke wa kwanza alikuwa na 17, wa pili 16....alikuwa na alergy na Watu wazima...nadhani hakukuwa na sheria za Wanafunzi enzi hizo huko kwao.
Haha sheria sidhani kama hazikuwepo sema tu labda mawe yalimsaidia
 
Kasoro nyingine ni racism, Jamaa alikuwa incharge wa kazi zake karibu zote, hakuwaamini Waigizaji Weusi mpaka ilibidi Mzungu ajipake rangi nyeusi ndio akae kama mtu mweusi kwenye play zake....kama kwenye "A Night in the show"
Daa aise
 
Haha iyo ya eating machine ni hatari sana alishindwa kuendana na kasi ya machine haha
 
Tulianza kuangalia kupitia cinema Leo mtaani kwetu ilikuwa kila jtano mara moja kwa wiki. Hadi Leo sijaacha kuangalia na nimeshakuwa muhenga
Hahaa zile filamu zinavutoa wote watoto vijana na wazee kile kipaji acha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…