Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Physics na Politics wapi na wapi?
jamani sijui kama mmesahau Kuwa Tz maamuzi yote yanafanywa na wana siasa (akina Livingstone Lusinde)hata kama ni ya kitaaluma,mwanataalum nchi hii haheshimiwa na ndo maana unaona serikali ya ccm imeamua kuwekeza kwa siasa na wanasiasa kwa kuwalipa mishahara na marupurupu manono than any other perso in this country.nani hataki kuheshimiwa ?Kitu pekee tunachoweza kufanya ni kuiondoa ccm madarakani ili hii structure ya division of labour ya nchi hii tuiangalie upyaMbona hiyo cv yake imeishia njiani? Recently ameteuliwa kuwa chancellor of Nelson Mandela African Instituteof Science and Technology.
Jana alikuwa anafungua maonyesho ya vyuo vikuu akitoa rai kwa wasomi kufanya utafiti/ubunifu/ufumbuzi utakaotoa majibu kwa matatizo ya watanzania. Swali la kujiuliza ni kwamba yeye kama msomi/scientist ana mchango gani ktk ufumbuzi/ubunifu zaidi ya kugeuka mpiga domo/blahblah (politician) tu?! He's a failure as scientist!!! What a shame!!
Aisee!kusoma kote huko anakuja kuwa mkata utepe saa zote anatembea na mkasi mfukoni,!!!!
Atasaidia sana wakileta za kuleta. Yaani kitu Hiroshima wakitangaza matokeo tofauti na matakwa ya umma.Jamaa kumbe kasomea mambo ya nuclear
Sasa si aende Iran
kusoma kote huko anakuja kuwa mkata utepe saa zote anatembea na mkasi mfukoni,!!!!
think twice before you comment.Nimesoma hiyo Cv lakini sijaona mahali alipoitumia hiyo taaluma yake, anakijua kinu cha nyuklia kinafananaje??? Ni wapi alifanya kazi akaiona hiyo nyuklia ikizalishwa?? Hizi ndio elimu za kibongo na wabongo,,
ntarudi apa baada kama yatakuwa yametimia
Mpango tena...!!??Jamani acheni kumchulia mzee wa watu.Alie hatarini ni Dr Mpango.
mmmhJamani acheni kumchulia mzee wa watu.Alie hatarini ni Dr Mpango.