Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni juu yako mkuu ikiwa masharti ya Mwenyezi Mungu yanatushinda itakuwa ya kiumbe mwenzio!? Sema ukichoka unaweza kumtimua the issue is vipi wakati ukiendelea na kuzini nae uhai ukakuishia!? wapo watu wengi sana hawaoi wala hawazai wamevumilia nao na kila siku wanazidi kupaa na ukifikia sehemu akakuzoea basi anakuruhusu kufanya yote kwa idhini yake na ikifikia sehemu umefaulu basi anakuachia mali na maisha yako, Kuna watu wengi hivi visanga wanavyo na wengine walishavivuka lakini waliokuwa navyo wanakwambia kama unajijua haupo stable usiingie huko,Vipi nikuwa na huyu jini wa pesa. Masharti yake nitashindwa tu baadae?. Au nayaweza kudumu nayo?. Nini madhara ya kuwa nae?.
Swadakta,Thread nzuri... ila kuwa na mali bila kufanya starehe ni mtihani wenye majibu ya kushindwa haswa kwa vijana.
Utaratibu upoje namna rahisi ya kumiliki?Mfuate kwenye mila zake!
Fuata maelekezo kwenye thread hapo nimetoa kwenye hayo majina mara 7 hapo ni nia unaweka kwa asili ya lugha yako vile unavyotaka wewe ukifanya fanya wewe na hili lihifadhike hadi siku ya kiama ya kuwa ''MIMI NIPO MBALI NAWE NA WALA SIJASHIRIKI NAWE KATIKA HILI"Utaratibu upoje namna rahisi ya kumiliki?
mwambie aje basi kwangu.When Scientist found unanswered question about spiritualism this is what they Say!!!
are you one of the losers?