acha ujinga, mlete huyo fala na wewe njoo naye hapa niwakomeshe.Jiangalie jinsi ulivyo hapo in reality! na unacho andika, Have you notice the different?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ujinga, mlete huyo fala na wewe njoo naye hapa niwakomeshe.Jiangalie jinsi ulivyo hapo in reality! na unacho andika, Have you notice the different?
ndio namtaka ila si kwa mali, lengo anipe mapenzi ya kweli, nimechoka hawa waswahili sio waaminifu, nikimpata sitamsaliti. Je inawezekana pia kuzaa nae kabisa?Hawezi kukuua hadi Mwenyezi Mungu aizinishe, ila mateso yake ukikosea masharti ndio huwa mtihani, mbona unauliza hivyo mkuu unamtaka?
wewe ushawahi kuroga? unajua kwa namna gani mtu analoga au kurogwa?Umeona!? This was what i talked about
Have you read your signature before you quote this!?
Mkuu naona unawataka woteacha ujinga, mlete huyo fala na wewe njoo naye hapa niwakomeshe.
Bila shaka wewe ni mwislamu na unasimulia habari za waislamu wenzako (majini)
moja kati ya ujinga wa member wa humu ninaowafundisha baadhi ni kuondoa zana ya kujua waislamu na majini ni mtu na ndugu yake, na mkristo na pepo ni mtu na mume wakeBila shaka wewe ni mwislamu na unasimulia habari za waislamu wenzako (majini)
Ujinga hauwezi kuondoka kwa mjinga anapozeeka. Kama ni hivyo kila siku si mnawatoa kule mbona hawaishi, kwahiyo waislam ndio waletea makanisani au?Bila shaka wewe ni mwislamu na unasimulia habari za waislamu wenzako (majini)
Dah! Mkuu mimi nataka niite wakikeFuata maelekezo kwenye thread hapo nimetoa kwenye hayo majina mara 7 hapo ni nia unaweka kwa asili ya lugha yako vile unavyotaka wewe ukifanya fanya wewe na hili lihifadhike hadi siku ya kiama ya kuwa ''MIMI NIPO MBALI NAWE NA WALA SIJASHIRIKI NAWE KATIKA HILI"
hii nachokwambia ni sawa na vile walivyofundishwa watu na malaika wawili katika Babylon HARUT NA MARUT walioshushwa na Mwenyezi Mungu katika dunia ili kufundisha watu uchawi na miujiza na matumizi yao ni juu yao, hivyo fanya ukishindwa masharti ukaanza kubokolewa na kusodomiziwa mimi simo!!!
Rakims
Duuuh...! Nimekusoma mkuuHiyo ni juu yako mkuu ikiwa masharti ya Mwenyezi Mungu yanatushinda itakuwa ya kiumbe mwenzio!? Sema ukichoka unaweza kumtimua the issue is vipi wakati ukiendelea na kuzini nae uhai ukakuishia!? wapo watu wengi sana hawaoi wala hawazai wamevumilia nao na kila siku wanazidi kupaa na ukifikia sehemu akakuzoea basi anakuruhusu kufanya yote kwa idhini yake na ikifikia sehemu umefaulu basi anakuachia mali na maisha yako, Kuna watu wengi hivi visanga wanavyo na wengine walishavivuka lakini waliokuwa navyo wanakwambia kama unajijua haupo stable usiingie huko,
Madhara ya kuwa nae ni sawa na faida za kuwa nae, shida ukiwa nae kila mwanamke kama wewe ni mwanaume akikuona anakuwa anajihisi kuvutika kwako, wengine hutaka kulazimisha hata kubaka, angejua ulichonacho asingekutizama mara mbili, yaani ukimtizama mwenye hili dude huwezi kula wala kulala kwa kumuwaza,
Rakims
Huo ni uongo mtupu, na hakuna viumbe wa aina hiyo.
Jins wapo dimension ya ngapi? Na wotewapo hapo au wengine ya juu zaid?
Je jins wana ustarabu mkubwa kuliko binadamu and thinking capacity?
Je spiritual wako complete au bado wanakasoro kubwa kama binadam?
Je kujificha kwao wanatuogopa ss bin adam au ss ndo hatuwaoni?
Si uWeka wewe hizo habari za kweli unazozijua wewe kuliko kuja kubwabwaja hapa? Punguone wahead wwNasema tena na tena, jinsi ulivyoelezea hiyo habari juu ya majinni, umetia chumvi kibao kiasi kwamba habari yote inakuwa ni uongo.
Na hizo picha ulizoweka ndiyo kabisaa zinashadidia uongo wako.