Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Mkuu, huyo mwenzako aliyenitusi kabla ya mimi kumjibu hukuona matusi yake au yeye hakustahili kupewa hizo nasaha unazonipa??--- yeye kaanza kunitusi na mimi nilikuwa najibu mapigo, juu ya yote mimi niko peace tu.

Tuje katika mada, umeandika maneno katika lugha ya kiarabu nadhani ni watu wachache sana humu ndani wanaojua lugha ya kiarabu na hata kama wapo sio fasaha sana katika lugha hiyo kama waiivyokuwa fasaha katika Kiswahili na kiingereza, hivyo ni vyema unapoona "raha" kuandika kwa kiarabu basi pembeni weka tafsiri yake kwa kiswahili ili wengi wetu tusiojua vyema kiarabu tupate kufahamu.

Tarjama ya maneno yako ya kiarabu ni kama ifuatavyo (nakubali kurekebishwa nitakapo kosea);-

" Majini ni viumbe, mbali na kujibadili, haiwezekani kuonekana kwa macho ya kawaida ili kuwaona lazima uwe na maarifa".


Katika hadithi fulani za mtukufu mtume Muhammad (saw, aliwakataza masahaba zake kutumia mifupa na vinyesi vikavu vya ngamia kuchambia na akasema mifupa na vinyesi hivyo ni vyakula vya majini, na pia akatufundisha tuingiapo vyooni tusome dua ili kujikinga na majini waliomo vyooni.

Elimu ya kisayansi inatuambia kwamba katika mifupa na vinyesi vya wanyama kuna bakteria kibao ambao kama utatumia hivyo vinyesi na mifupa kuchambia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kupata maambukizi katika njia ya haja kubwa halikadhalika chooni kulingana na mazingira yake kuna aina mbalimbali za bakteria wa maradhi mfano, Chorela, dysentery, hepatitis, kisonono nk, (hasa vyoo vya umma).

Hivyo mtukufu mtume (saw), aliposema neno "jinn" alikuwa na maana ya wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho ya kawaida na hapa nakubaliana na maneno yako ya kiarabu, na ili uweze kuwaona ni lazima utumie nyenzo maalumu kama darubini (microscope) au kwa maneno mengine uwe na maarifa (معرفة) kama ulivyosema.

Sifa kuu ya jinn ni kutokuonekana kirahisi kwa macho ya kawaida na mzizi wa neno "jinn" ni neno "janna" ambalo maana yake ni kutokuonekana, hivyo basi katika lugha ya kiarabu, kitu chochote au tukio lolote lenye sifa ya kutokuonekana kirahisi linawezwa kwa ki-SIFA likaitwa kwa jina la "jinn", na hii ipo karibu katika lugha zote hata katika kiswahili mtu shujaa anaweza kuitwa "Simba" kwa sababu tu ya ushujaa wake.

Kwa muktadha huo ki-sifa , jinn anaweza kuwa mtu mkubwa, kiongozi, tajiri, mtu mashuhuri nk--- ambao kwa hizo sifa zao kuonekana kwao mbele za watu huwa ni kwa nadra sana na inapotokea akaonekana basi lazima kuwae na jambo muhimu, na hapa ndipo Allah katika Qur'an aliposema; "Sikuwaumba majini na watu isipokuwa watuabudu"-- Majini waliotajwa hapa ni viongozi, watu mashuhuri, matajiri nk, ambao kwa umashuhuri na utajiri na uongozi wao wanaweza kujawa na kiburi kujiona kwamba wao hawastahili kufanya ibada, Watu katika aya hiyo ni watu wa kawaida wasiokuwa na utajiri, umashuhuri, uongozi nk ambao nao kulingana na hali zao za kimaisha wanaweza kusema ibada haiwahusu ila inawahusu hao waheshimiwa wakubwa (majini), ndipo Allah akakata mzuzi wa fitna akasema wote lazima tumuabudu hakuna adhuru.

Allah katika Qur'an anasema "Na majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto," (sikumbuki aya). sayansi ambayo ni elimu kutoka kwa huyohuyo Allah inasema kwamba viumbe wa mwanzo kabisa kuumbwa walikuwa ni bakteria ainavya (Eukaryotes na prykaryotes. Check spelling) ambao waliumbwa kutokana na nuru ya radi (lightining sparks).

Qur'an katika Surah jinn, Majinn waliposikia Qur'an ikisomwa walisema, "hakika tumesikia Qur'an ya ajabu inayoongoza kwenye uongofu"(sikumbuki aya) na tena wakasema; "hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa"(sikumbuki aya), na baadaye mtume (saw) alikuwa akifanya maombi na hao majinn "wakamzonga/ wakamzingira" (sikumbuki aya). Majinn waliotajwa katika hiyo sura ni watu wageni wasiokuwa waarabu, katika lugha ya kiarabu neno "jinn" linaruhusiwa kutumika kwa mgeni/wageni kwa sababu mgeni anaonekana kipindi tu anapokuwa na wenyeji lakini yeye sio mtu wa hapo na hivyo kuonekana kwake ni kama kuonekana kwa "jinn" na hii ni katika matumizi yale yale ya Ki- sifa ya neno jinn--, na hao wageni walikuwa ni mayahudi kutoka Nasibin, ndiyo maana wakasema; "innaa sami'i'naa kitaaba unzila min baa'd Musa" (Hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa).


Ugonjwa unaowashika kina mama na akina dada, (Hysteria), kama nilivyosema hapo awali kuwa neno "jinn" linaweza kutumika hata kwa jambo lenye sababu isiyoonekana bali athari inayoonekana (unseen cause but seen effects). Akina mama maranyingi husumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao watu wengi huuita mapepo, majinni na hata Maruhani, mtu anayeshikwa na ugonjwa huo kutokana na sababu mbalimbali za ndani ya mwili na nje ya mwili anashindwa kabisa kujidhibiti (uncontroll) kiakili na hivyo wakati huo akili inajiendesha yenyewe (run amok), na mgonjwa anaweza kutamka maneno au hisia alizokuwa nazo kichwani kabla ya kushikwa na huo ugonjwa (ravings) au anaweza kutamka maneno katika lugha ngeni kabisa (labda aliisikia zamani alipokuwa mdogo kwani akili ni kama memory card), na watu wakashangaa na wakaanza kuhisi kwamba; "LAZIMA KUNA KIUMBE KISICHOONEKANA KWA MACHO KUTOKA NJE KIMEMUINGIA KICHWANI NDICHO KINACHOZUNGUMZA HIYO LUGHA"😁😁---- na hapo ndipo dhana na fikra za upotishaji juu ya majinn zinapoanzia hapo, kwamba majinni ni viumbe mithili ya watu na wanaweza kumuingia mtu kichwani na wanapenda kuishi chooni, kwenye milima mirefu, magogu, baharini, katika misitu minene nk, ilmradi kila mtu anatoa fikra zake anazojenga juu ya majinni, mbaya zaidi Waalimu na Masheikh Ubwabwa biashara ya kupunga majinn kwa akina mama imekuwa ni dili kubwa na Wachungaji pia hawako nyuma katika kukemea majini mapepo. Kifupi, hayo yanayoitwa mapepo, Maruhani, jinn, Mahaba nk, yanaweza kuitwa kwa jina la "jinn" kwa sifa tu kwasababu kitu kinachosababisha mama au dada ashikwe na hali ya kuweweseka haionekani kwa macho lakini madhara yake yanaonekana kwa mgonjwa, hakuna jinn mahaba, Subiani, Affrit nk, mwenye umbo la mtu kutoka nje anayemuingia mtu, hakuna, never ever there is none.

Kutupiwa "jinn"--- unaweza kusikia watu wakisema, mfano; " Jamaa katupiwa "jinn" ndiyo maana kapata ajali, naam-- zipo elimu za "spirits", mfano, Telepathy, Hynotism (mesmerism) nk, ni elimu ambazo baadhi ya watu wanazaliwa nazo naturally au kwa kujifunza, ni elimu ambayo mtu anaweza kumuathiri mtu mwingine kwa kufanya baadhi ya mambo fulani na mtu akaathirika hata akiwa maelfu ya kilometres na mtu akaathirika huko alipo, nalo jambo hili waweza kuliita "jinn" kwasababu tu nguvu inayotenda kazi haionekani kwa macho, lakini si kwamba kuna kiumbe mfano wa mtu au watu kinaruka hewani baada ya kutumwa na "fundi" kwenda kufanya madhara kwa mlengwa.

Majini kuumbwa kwa moto, naomba nimalizie kwa kutoa ufafanuzi wa maana nyingine ya jinn kuumbwa kwa moto, mtu au kitu kuumbwa kwa moto maana yake pia yaweza kuwa ni mtu mwenye kiburi, majivuno, mwenye asili ya ukali nk, kama alivyokuwa Firauni na Ibilisi katika Qur'an.
Very good with imagination mkuu!,
Elewa jambo moja ya kuwa kwa asilimia kubwa sana wewe unaweza kuwa sio Muislamu lakini pia unaweza kuwa sio mkristo unless hizi dini wewe huzisoma kwa kudokoa yale unayoona yanakufaa na yasiokufaa unaachana nayo my friend in this you have failed sita ingia sana kwenye upande wa wakristo nitakupa maana hapa hapa ambapo wewe umeona kuwa umeweza then mwisho wa siku i think you are Atheist.

Wajue majini kwanza kutoka katika Qur. an na hadithi ya mtume unavyodiliki hujui kuhusu maana hasa ya majini,

JE, hazijawahi kukupitia hizi aya masikioni mwako? Na je, hujawahi kuzisoma hata kwa macho?
Kama jibu ni ndio basi zisome leo na utapata faida kubwa In shaa Allah

USHAHIDI WA QUR.AN

Surat Rahman Aya 74:

لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنْسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.

Hao ni wanawake wa peponi wanaotajwa katika sura hiyo Unaelewa jini ni nini hapo?

Sura Naml Aya 39

قَالَ عِفْرِيتٌ مِنَ الْجِنِّ أَنَا آتِيكَ بِهِ قَبْلَ أَنْ تَقُومَ مِنْ مَقَامِكَ ۖ وَإِنِّي عَلَيْهِ لَقَوِيٌّ أَمِينٌ

Akasema Ifrit katika majini mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako na mimi kwa hakika nina nguvu na muaminifu.

Hapo kilikuwa kisa cha nabii Suleiman mfalme wa majini watu na vyote alivyoruhusiwa na Allah. sasa huyo Jinn kwa maana yako anaweza kubeba hicho kiti cha BalKis Malkia wa Sheba?

Sura An'am aya 100

وَجَعَلُوا لِلَّهِ شُرَكَاءَ الْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ ۖ وَخَرَقُوا لَهُ بَنِينَ وَبَنَاتٍ بِغَيْرِ عِلْمٍ ۚ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ

Bado wamemfanyia mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali yeye ndiye aliye waumba na wakamzulia bila ujuzi wowote kuwa anawana wa kiume na wakike subhanallah ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayombambikiza nayo.

Sura An'am 130 na al al raaf 38 na aya na sura zingine pia
quran.jpg

quran (2).jpg


quran (3).jpg

quran (4).jpg

quran (5).jpg

quran (6).jpg

quran (7).jpg

quran (8).jpg

quran (9).jpg


Mkuu kama na hizi hazijakutosha nikuangalizie na Hadithi au nikupekulie na kwenye biblia?

Rakims
 
Yupi kati bin adam na jin anakiwa powerfull zaid ya mwenzake endapo individual akifika kwenye maximum spiritual and quantum mind set?

Pia naomba maelezo kuhusu pazia linalotufanya tusiwaonee? Ila nadhan wao wanatuona sio
Nikipata muda mkuu nitakupa jibu nikiwa nimetulia maana nimehama kidogo kifikira
 
Kwahyo jinni ni kiumbe kisichoonekana kwa macho Bali kwa wenye uwezo wa kuona kwa vifaa maalumu.
Kwahyo huyu jini anaesemekana ni mahaba kwa maelezo yako hayupo je ni kitu gani kinapelekea mtu kuota umefunga ndoa na mwanamke/mume, kuota unafanya mapenzi ilihali kuwa haukuwa na mawazo hayo wala haukuuandaa ubongo kureverse kitu ulichofanya (kufikiria kufanya mapenzi)
Mana nilikuwa na kademu fulani yeye kila siku alikuwa anaota hzo ndoto za kugegedwa ilihali tulikuwa tunakutana (sex) hadi ilifika kipindi alikuwa hata akilala mchana hali ile inatokea.
Sasa je hao ndio backeria uliokuwa unasema wanaitwa majinn??
Nawasilisha....
Nimejikuta nacheka!
 
Kama suala huelewi ni vyema kuuliza, hupungukiwi na kitu. Huyo jamaa kachukua ukweli kwa kuuhalalisha uongo.

Rafiki yako Mokaze amezua uongo ameandika usuli wa neno Jinni ni neno Jannah. Kisha akapandikiza uongo wake kwenye definition iliyo sahihi kwa kupandikizia uongo. Yafaa tumsahihishe.

Kila kisichoonekana kwa macho lugha ya Kiarabu hutohoa herufi mbili kwenye lugha yake na huzaliwa neno. Herufi hizi ni Jiim na Nuun. Pepo(peponi) hatujawahi kuiona kwa macho zaidi ya simulizi zake, kwa Kiarabu inaitwa Jannah. Jannah ina herufi 3. Kuna Jiim, kuna Nuun na Tee. Ukiangalia unaona Jiim na Nun ipo.

Aliyerukwa na akili kwa kiarabu anaitwa Majinuun. Neno Majinuun limeundwa kwa herufi 3. Kuna herufi Miim, herufi Jiim na herufi Nuun. Jiim na Nuun hutoholewa kwa kitu kisichoonekana, akili ama kurukwa na akili hakuonekaniki bali ni ishara ya vitendo vitakavyofanywa. Herufi Jiim na Nuun ipo hapo.

Elimu ya uzazi kwa lugha ya Kiarabu inaitwa Ilmul Ajinna. Ukiliangalia neno ajinna utaona limeundwa na Alif, kuna Jiim na Nuun. Kwa nini Jiim na Nuun ipo? Tunarudi kwenye mising asili ya lugha ya Kiarabu inayosema: Itakapotoholewa Jiim na Nuun kwenye neno ufahamu ya kwamba asili ya hicho kitu hakionekani kwa macho ya mwanadamu.

Halikadhalika na Al ilmul Ajinna(elimu ya uzazi) kwa sababu kilichopo tumboni mwa mwanamke(mimba/kiumbe) hakionekani kwa macho bali kwa vipimo. Na Jinni kwa Kiarabu ameitwa hivyo kwa sababu haonekani kwa macho ya binadamu. Neno Jinni lina herufi ya Jiim na Nuun.

Hiyo ya juu ni baadhi ya mifano.

Kanuni inayokuja hapa ni kwamba: Jicho la mwanadamu kisichokiona kwa dhati yake kwa Lugha ya Kiarabu ni lazima hizo herufi 2 zitakuwepo, nazo ni Jiim na Nuun. Na wala si kwa sifa yake, kwa maana: Si kile kilichokuwa nadra mwachoni mwa binadamu kinakuwa na sifa ya Jini. Na ni nini maana ya nadra? Nadra ni kisichoonekana au kutopatikana mara kwa mara au kwa urahisi. Na hali ya kutoonekana mara kwa mara ama kutokupatikana kwa urahisi kwa lugha ya Kiarabu kunaitwa NUQSU au IHTIYAAJU.

Mokaze anasema tukio lolote au jambo lisiloonekana kirahisi linaweza kwa ki-sifa kwa kuitwa Jinni. Kwa vile neno Jinni amelifafanua kwa kutoa maana kwenye lugha ya Kiarabu yafaa atupatie uthibitisho kwenye lugha ya Kiarabu kwamba mtu asipoonekana machoni mwa watu kwa maana kuonekana kwake si rahisi( na muktadha uliyotumika hapa si kwamba mtu haonekani. Bali imetumika balagha kwamba ni nadra kuonekana machoni mwa watu ijapokuwa ni mwenye kuonekana machoni mwa watu) kisifa naye neno Jinni linamfaa. Atuthibitishie hicho alichokiandika kwa kutumia kutumia misingi ya lugha ya Kiarabu.

Mashaallah akanukuu hadithi ya Mtume akiwaambia maswahaba wake wasitumie mifupa kujiondolea najisi kwani ni vyakula vya Majinni. Kisha akafafanua kwa tanbihi kuwa Mtume aliposema neno Jinni alikuwa na maana ya wadudu. Akanukuu na aya inayosema "Sikuumba majinni na watu isipokuwa waniabudu." Kisha akanukuu na aya inayosema na "Majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto."

Kwa vile Mokaze anasema aya (ya kwanza niliyomkoti) neno Jinni Mungu anamaanisha ni watu wasiyoonekana sana machoni mwa jamii. Aya ya pili akasema neno Jinni ni
bakteria aina ya Eukaryotes na prykaryotes.
Tusiandikie mate wakati wino ungalipo! Wanawazuoni wa Kiislam wanafahamika na vitabu vinafahamika na mabeberu wa tafsiri ya Quran wanafahamika.

Sasa atupatie ushahidi wa hicho alichoandika yeye kwamba majinni kwenye Quran ina maana kama aliyotoa yeye. Asiweke link ya mitandao ya kijamii. Atupatie jina la kitabu cha tafsiri ya hiyo Quran na imeandikwa na nani na mujallad wangapi. Tunasubiri maarifa yako Bw. Mokaze
Jazaka llahu kheir
 
Kwa tafsiri yako ya neno Jinni, tuambie hizi baadhi za aya ina maana gani?

(وَإِذۡ قُلۡنَا لِلۡمَلَـٰۤىِٕكَةِ ٱسۡجُدُوا۟ لِـَٔادَمَ فَسَجَدُوۤا۟ إِلَّاۤ إِبۡلِیسَ كَانَ مِنَ ٱلۡجِنِّ فَفَسَقَ عَنۡ أَمۡرِ رَبِّهِۦۤۗ أَفَتَتَّخِذُونَهُۥ وَذُرِّیَّتَهُۥۤ أَوۡلِیَاۤءَ مِن دُونِی وَهُمۡ لَكُمۡ عَدُوُّۢۚ بِئۡسَ لِلظَّـٰلِمِینَ بَدَلࣰا)
[Surat Al-Kahf 50]


(بِسۡمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحۡمَـٰنِ ٱلرَّحِیمِ

قُلۡ أُوحِیَ إِلَیَّ أَنَّهُ ٱسۡتَمَعَ نَفَرࣱ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَقَالُوۤا۟ إِنَّا سَمِعۡنَا قُرۡءَانًا عَجَبࣰا ۝ یَهۡدِیۤ إِلَى ٱلرُّشۡدِ فَـَٔامَنَّا بِهِۦۖ وَلَن نُّشۡرِكَ بِرَبِّنَاۤ أَحَدࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ تَعَـٰلَىٰ جَدُّ رَبِّنَا مَا ٱتَّخَذَ صَـٰحِبَةࣰ وَلَا وَلَدࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ كَانَ یَقُولُ سَفِیهُنَا عَلَى ٱللَّهِ شَطَطࣰا ۝ وَأَنَّا ظَنَنَّاۤ أَن لَّن تَقُولَ ٱلۡإِنسُ وَٱلۡجِنُّ عَلَى ٱللَّهِ كَذِبࣰا ۝ وَأَنَّهُۥ كَانَ رِجَالࣱ مِّنَ ٱلۡإِنسِ یَعُوذُونَ بِرِجَالࣲ مِّنَ ٱلۡجِنِّ فَزَادُوهُمۡ رَهَقࣰا ۝ وَأَنَّهُمۡ ظَنُّوا۟ كَمَا ظَنَنتُمۡ أَن لَّن یَبۡعَثَ ٱللَّهُ أَحَدࣰا ۝ وَأَنَّا لَمَسۡنَا ٱلسَّمَاۤءَ فَوَجَدۡنَـٰهَا مُلِئَتۡ حَرَسࣰا شَدِیدࣰا وَشُهُبࣰا ۝ وَأَنَّا كُنَّا نَقۡعُدُ مِنۡهَا مَقَـٰعِدَ لِلسَّمۡعِۖ فَمَن یَسۡتَمِعِ ٱلۡـَٔانَ یَجِدۡ لَهُۥ شِهَابࣰا رَّصَدࣰا ۝ وَأَنَّا لَا نَدۡرِیۤ أَشَرٌّ أُرِیدَ بِمَن فِی ٱلۡأَرۡضِ أَمۡ أَرَادَ بِهِمۡ رَبُّهُمۡ رَشَدࣰا ۝ وَأَنَّا مِنَّا ٱلصَّـٰلِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَ ٰ⁠لِكَۖ كُنَّا طَرَاۤىِٕقَ قِدَدࣰا ۝ وَأَنَّا ظَنَنَّاۤ أَن لَّن نُّعۡجِزَ ٱللَّهَ فِی ٱلۡأَرۡضِ وَلَن نُّعۡجِزَهُۥ هَرَبࣰا ۝ وَأَنَّا لَمَّا سَمِعۡنَا ٱلۡهُدَىٰۤ ءَامَنَّا بِهِۦۖ فَمَن یُؤۡمِنۢ بِرَبِّهِۦ فَلَا یَخَافُ بَخۡسࣰا وَلَا رَهَقࣰا ۝ وَأَنَّا مِنَّا ٱلۡمُسۡلِمُونَ وَمِنَّا ٱلۡقَـٰسِطُونَۖ فَمَنۡ أَسۡلَمَ فَأُو۟لَـٰۤىِٕكَ تَحَرَّوۡا۟ رَشَدࣰا)
[Surat Al-Jinn 1 - 14]


(یَـٰمَعۡشَرَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ إِنِ ٱسۡتَطَعۡتُمۡ أَن تَنفُذُوا۟ مِنۡ أَقۡطَارِ ٱلسَّمَـٰوَ ٰ⁠تِ وَٱلۡأَرۡضِ فَٱنفُذُوا۟ۚ لَا تَنفُذُونَ إِلَّا بِسُلۡطَـٰنࣲ)
[Surat Ar-Rahman 33]


Mkuu, rudia kusoma kwa makini hiyo habari yote niliyoandika na uwe huru (neutral), yaani unaposoma achana na preconceived ideas, hapo ndipo utaelewa kile nilichoandika.
 
Very good with imagination mkuu!,
Elewa jambo moja ya kuwa kwa asilimia kubwa sana wewe unaweza kuwa sio Muislamu lakini pia unaweza kuwa sio mkristo unless hizi dini wewe huzisoma kwa kudokoa yale unayoona yanakufaa na yasiokufaa unaachana nayo my friend in this you have failed sita ingia sana kwenye upande wa wakristo nitakupa maana hapa hapa ambapo wewe umeona kuwa umeweza then mwisho wa siku i think you are Atheist.

Wajue majini kwanza kutoka katika Qur. an na hadithi ya mtume unavyodiliki hujui kuhusu maana hasa ya majini,

JE, hazijawahi kukupitia hizi aya masikioni mwako? Na je, hujawahi kuzisoma hata kwa macho?
Kama jibu ni ndio basi zisome leo na utapata faida kubwa In shaa Allah

USHAHIDI WA QUR.AN

Surat Rahman Aya 74:

لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنْسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Hajawagusa mtu wala jini kabla yao.

Hao ni wanawake wa peponi wanaotajwa katika sura hiyo Unaelewa jini ni nini hapo?

Sura Naml Aya 39

قَالَ عِفْرِيتٌ مِنَ الْجِنِّ أَنَا آتِيكَ بِهِ قَبْلَ أَنْ تَقُومَ مِنْ مَقَامِكَ ۖ وَإِنِّي عَلَيْهِ لَقَوِيٌّ أَمِينٌ

Akasema Ifrit katika majini mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako na mimi kwa hakika nina nguvu na muaminifu.

Hapo kilikuwa kisa cha nabii Suleiman mfalme wa majini watu na vyote alivyoruhusiwa na Allah. sasa huyo Jinn kwa maana yako anaweza kubeba hicho kiti cha BalKis Malkia wa Sheba?

Sura An'am aya 100

وَجَعَلُوا لِلَّهِ شُرَكَاءَ الْجِنَّ وَخَلَقَهُمْ ۖ وَخَرَقُوا لَهُ بَنِينَ وَبَنَاتٍ بِغَيْرِ عِلْمٍ ۚ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَىٰ عَمَّا يَصِفُونَ

Bado wamemfanyia mwenyezi Mungu majini kuwa washirika wake, na hali yeye ndiye aliye waumba na wakamzulia bila ujuzi wowote kuwa anawana wa kiume na wakike subhanallah ametakasika na ametukuka juu ya hayo wanayombambikiza nayo.

Sura An'am 130 na al al raaf 38 na aya na sura zingine pia
View attachment 1188419
View attachment 1188420

View attachment 1188421
View attachment 1188422
View attachment 1188423
View attachment 1188424
View attachment 1188425
View attachment 1188426
View attachment 1188428

Mkuu kama na hizi hazijakutosha nikuangalizie na Hadithi au nikupekulie na kwenye biblia?

Rakims



Mkuu, inaonekana wewe unataka Qur'an watu tuisome kama jinsi watoto wanavyosoma "fables"(ngano)., katika kusoma Qur'an ni lazima Tadabbur itumike.

Nilikuwa najaribu kupitia nukuu za kamusi (Lane na Aqrab, the arabic english lexicons) chini ya neno jinn (جن), ninanukuu hapa chini;

"" جن (jinn) is derived from جن (janna) which means, it veiled, concealed, covered or protected himor it. جن (jinn) means such beings as remain aloof from the people concealing themselves; strangers; the main or chief part or body of mankind, etc.""

Jinn inaweza kuwa;
(1) wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho bali kwa vyombo kama microscope nk, Baktetia, Amoeba, paramecium, virusi nk, vyote vimo katika kundi hilo, na wanakula takataka na uchafu mbalimbali ndiyo maana mtukufu mtume (saw) aliwakataza waarabu kuchambia mifupa na kinyesi kikavu cha ngamia ili wasidhurike na akawaambia ni chakula cha majini. Na hapa wale majinn ambao Qur'an inawasema waliumbwa kwa mwale wa moto wanaingia hapa nao ni Bakteria Eukaryotes na pykaryotes.

(2) Wageni nao wanaweza kutwa majini kisifa kwa sababu wageni nao huonekana pale anapokuja kutembelea wenyeji tu. (Strangers), na wale majini wanaotajwa katika Surah Jinn walikuwa ni wageni wa kiyahudi, hawakuwa Waarabu.

(3) Watu mashuhuri, kama viongozi na wataalamu, wanasayansi maarufu (genious/ distortion of the arabic word jinn) na wao wanaitwa majinn ki sifa--- hapa ndipo wapo Ifrit wa Nabii Suleiman (as) nk. Pia watu wakubwa kama maraisi nk, (such beings as remain aloof from the people---) na Ibilis yumo katika kundi hili.

(4) kundi la mwisho ni majinn wa dhahania (abstract), hawa ndiyo wanaitwa mapepo, maruhani (روحهن), wanaowakumba hasa kina mama, inadhaniwa na watu kimakosa kwamba hao majinn ni viumbe hai aghlabu mithili ya umbo la watu au mtu na linamuingia mwanamke kichwani na kuweka makazi yake humo na baadaye linafanya mambo linalotaka kupitia huyo mwanamke. Huo ni Uongo mkubwa kusema kwamba kuna kiumbe-jinn mithili ya mtu ndiye huingia kichwani kwa mtu.

Mapepo kitaalamu ni ugonjwa wa akili unaojulikana kama "Hysteria", ni ugonjwa unaosababishwa na hali za kimwili na hali za kimazingira yanayomuhusu mgonjwa kwa wakati huo, mgonjwa anaweza kuweweseka na kuongea lugha za ajabu au anaweza katika usingizi akaota mambo ya ajabu nk,------ sasa kwanini watu hali hiyo wakaihusisha na majinn??, sababu ni kwamba mgonjwa hufanya mambo bila hiyari yake na inaonekana kama kwamba ipo nguvu nyingine inayotenda kazi ndani ya mgonjwa na nguvu hiyo (wanaamini) ni kutokana na kiumbe mwingine aliyeingia kichwani mwa mgonjwa🤣🤣!!, -- sijui alipitia puani, sikioni, machoni au??, hakuna majibu.

Majinn niliowataja katika kundi la 2 na 3, hawa ni binadamu na ndio hawa Allah amewataja katika ile aya alipotuusia juu ya wajibu wetu katika kumuabudu aliposema; " Na sikuwaumba majinn na watu isipokuwa waniabudu"---- majini waliotajwa hapa ni watu mashuhuri, hao majini waliotajwa hapo kwenye hiyo aya ni watu maalum (mashuhuri) kwa sababu Qur'an inajisema yenyewe kwamba ni muongozo kwa "watu" pekee pia Allah katika hiyo Qur'an anawahusia "watu" pekee wamuabudu, ndiyo maana nikasema hao majini waliotajwa katika hiyo aya ni watu maalumu.

Kinyume na mtazamo huo Qur'an itakuwa ni kitabu cha fables and tales, Mungu apishe mbali.
 
Mkuu, inaonekana wewe unataka Qur'an watu tuisome kama jinsi watoto wanavyosoma "fables"(ngano)., katika kusoma Qur'an ni lazima Tadabbur itumike.

Nilikuwa najaribu kupitia nukuu za kamusi (Lane na Aqrab, the arabic english lexicons) chini ya neno jinn (جن), ninanukuu hapa chini;

"" جن (jinn) is derived from جن (janna) which means, it veiled, concealed, covered or protected himor it. جن (jinn) means such beings as remain aloof from the people concealing themselves; strangers; the main or chief part or body of mankind, etc.""

Jinn inaweza kuwa;
(1) wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho bali kwa vyombo kama microscope nk, Baktetia, Amoeba, paramecium, virusi nk, vyote vimo katika kundi hilo, na wanakula takataka na uchafu mbalimbali ndiyo maana mtukufu mtume (saw) aliwakataza waarabu kuchambia mifupa na kinyesi kikavu cha ngamia ili wasidhurike na akawaambia ni chakula cha majini. Na hapa wale majinn ambao Qur'an inawasema waliumbwa kwa mwale wa moto wanaingia hapa nao ni Bakteria Eukaryotes na pykaryotes.

(2) Wageni nao wanaweza kutwa majini kisifa kwa sababu wageni nao huonekana pale anapokuja kutembelea wenyeji tu. (Strangers), na wale majini wanaotajwa katika Surah Jinn walikuwa ni wageni wa kiyahudi, hawakuwa Waarabu.

(3) Watu mashuhuri, kama viongozi na wataalamu, wanasayansi maarufu (genious/ distortion of the arabic word jinn) na wao wanaitwa majinn ki sifa--- hapa ndipo wapo Ifrit wa Nabii Suleiman (as) nk. Pia watu wakubwa kama maraisi nk, (such beings as remain aloof from the people---) na Ibilis yumo katika kundi hili.

(4) kundi la mwisho ni majinn wa dhahania (abstract), hawa ndiyo wanaitwa mapepo, maruhani (روحهن), wanaowakumba hasa kina mama, inadhaniwa na watu kimakosa kwamba hao majinn ni viumbe hai aghlabu mithili ya umbo la watu au mtu na linamuingia mwanamke kichwani na kuweka makazi yake humo na baadaye linafanya mambo linalotaka kupitia huyo mwanamke. Huo ni Uongo mkubwa kusema kwamba kuna kiumbe-jinn mithili ya mtu ndiye huingia kichwani kwa mtu.

Mapepo kitaalamu ni ugonjwa wa akili unaojulikana kama "Hysteria", ni ugonjwa unaosababishwa na hali za kimwili na hali za kimazingira yanayomuhusu mgonjwa kwa wakati huo, mgonjwa anaweza kuweweseka na kuongea lugha za ajabu au anaweza katika usingizi akaota mambo ya ajabu nk,------ sasa kwanini watu hali hiyo wakaihusisha na majinn??, sababu ni kwamba mgonjwa hufanya mambo bila hiyari yake na inaonekana kama kwamba ipo nguvu nyingine inayotenda kazi ndani ya mgonjwa na nguvu hiyo (wanaamini) ni kutokana na kiumbe mwingine aliyeingia kichwani mwa mgonjwa[emoji1787][emoji1787]!!, -- sijui alipitia puani, sikioni, machoni au??, hakuna majibu.

Majinn niliowataja katika kundi la 2 na 3, hawa ni binadamu na ndio hawa Allah amewataja katika ile aya alipotuusia juu ya wajibu wetu katika kumuabudu aliposema; " Na sikuwaumba majinn na watu isipokuwa waniabudu"---- majini waliotajwa hapa ni watu mashuhuri, hao majini waliotajwa hapo kwenye hiyo aya ni watu maalum (mashuhuri) kwa sababu Qur'an inajisema yenyewe kwamba ni muongozo kwa "watu" pekee pia Allah katika hiyo Qur'an anawahusia "watu" pekee wamuabudu, ndiyo maana nikasema hao majini waliotajwa katika hiyo aya ni watu maalumu.

Kinyume na mtazamo huo Qur'an itakuwa ni kitabu cha fables and tales, Mungu apishe mbali.
Sawa broo ila swali langu umeliona
 
Unacheka mkuu me nimeuliza sisi wengine hatuna tunachojuwa . Kumbe Backeria wanafanya uote unasex


Hiyo ipo katika kundi namba 4 la majinn, kuota unasex ni matatizo ya kisaikolojia yanayomkumba mtu husika, kwakuwa tatizo hilo ni "involuntary action" (haliko chini ya ridhaa au maamuzi ya muhusika mwenyewe) hivyo inadhaniwa KIMAKOSA kwamba kuna kiumbe fulani aitwaye Jinn kutoka nje ndiye anayesababisha hali hiyo ya kusex kwa muhusika, mimi nakataa katakata hakuna kitu hicho bali ni uzushi watu wanazua kwa makusudi au kwa kutokujua kiini cha jambo hilo.

Tukio hilo la kusex linaweza kuitwa kwamba limesababishwa na jinn KI-SIFA tu na wala siyo kidhahiri kama watu wanavyoaminishwa, ki-sifa kwasababu ugonjwa huo wa kisaikolojia unatenda jambo hilo ndani ya muhusika bila ya yeye mwenyewe kutaka kwa maana hiyo tunaweza kusema huo ugonjwa ni nguvu iliyojificha ndani ya muhusika, na huko kujificha ndani ya muhusika (Concealment) ndiyo sifa ya "UJINN" (janna)--- hivyo inaposemwa fulani kashikwa na jinn mahaba ni katika muktadha huo tu na si vinginevyo.

Mimi ninajaribu kuweka wazi mambo ambayo yamekuwa hayajukikani mantiki yake na hivyo watu wanapotosha na kuwapotosha wengine kwa mambo ambayo yapo wazi, mbaya zaidi zinachukuliwa aya za Qur'an na kupotoshwa hatimaye Qur'an inaonekana ni kitabu kilichojaa "fables" za majini (mfano hadithi za sungura na fisi). Audhubillahi min dhalika.
 
Kwahyo jinni ni kiumbe kisichoonekana kwa macho Bali kwa wenye uwezo wa kuona kwa vifaa maalumu.
Kwahyo huyu jini anaesemekana ni mahaba kwa maelezo yako hayupo je ni kitu gani kinapelekea mtu kuota umefunga ndoa na mwanamke/mume, kuota unafanya mapenzi ilihali kuwa haukuwa na mawazo hayo wala haukuuandaa ubongo kureverse kitu ulichofanya (kufikiria kufanya mapenzi)
Mana nilikuwa na kademu fulani yeye kila siku alikuwa anaota hzo ndoto za kugegedwa ilihali tulikuwa tunakutana (sex) hadi ilifika kipindi alikuwa hata akilala mchana hali ile inatokea.
Sasa je hao ndio backeria uliokuwa unasema wanaitwa majinn??
Nawasilisha....
Uliubwa unajua kila kitu sio kilakitu lazima subconscious ikushirikishe kaakili kako. Mbona ukiota sua za watu ambao huwajui huuliz
 
Ndugu nipo hapa kwaajiri ya kujifunza na sio kupinga Mada au kukubali Mada
Uliubwa unajua kila kitu sio kilakitu lazima subconscious ikushirikishe kaakili kako. Mbona ukiota sua za watu ambao huwajui huuliz
 
Samahani, mkuu naomba unikumbushe hilo swali.
BRO nimekuelewa Sana ila naomba nijue kweli nakubaliana na wewe kuwa ni saikolojia inakufanya uote sasa na wale wanaotumiwa na waganga katika kujuwa tatizo au kujuwa solution ya tatizo pia ni saikolojia inatumika au ni vipi utakuta anapandisha alafu anasema je nini hcho kinachoeleza mambo yote au ndio ugongwa wa akili??
 
BRO nimekuelewa Sana ila naomba nijue kweli nakubaliana na wewe kuwa ni saikolojia inakufanya uote sasa na wale wanaotumiwa na waganga katika kujuwa tatizo au kujuwa solution ya tatizo pia ni saikolojia inatumika au ni vipi utakuta anapandisha alafu anasema je nini hcho kinachoeleza mambo yote au ndio ugongwa wa akili??


Mkuu, ingawa hujafafanua swali lako ila nitakujibu kulingana na uzoefu wangu kuhusu mambo hayo; unauliza juu ya wale waganga wanaopandisha hayo yanayoitwa majinni na wakishapandisha majinni hayo majinni yanaeleza shida za mgonjwa kabla hata mgonjwa hajaeleza shida zake na inakuwa "kweli".


Mkuu, mimi ni Muislamu na ninaiamini Qur'ani tukufu yote kwamba ni kitabu cha Mungu neno kwa neno, sasa tumsikilize Mungu anasemaje;

قل لا يعلم من فى السموات و الارض الغيب إلا الله و مايشحرون أيان يبعثون

Yaani:- Sema (ewe Muhammad) hakuna yeyote mbinguni na ardhini anayejua ghaibu ila Allah na hawajui watafufuliwa lini (27:65).

Sehemu nyingine Allah anasema; A'limul ghaibi falaa yudhhiru a'laa ghaibihi ahadan illa mani rtadha min rrasuulin. Yaani; (Yeye) ni mwenye elimu ya ghaibu basi hamdhihirishii yeyote (ghaibu) ila kwa mitume aliowaridhia. (72:26).

Ghaibu ni elimu ya mambo ya siri, elimu hiyo anayo Mungu pekee na anapoamua kuitoa basi humpa yule aliyemridhia katika mitume wake, hivyo tunaona ni mitume tu ndiyo watu wanaoweza kueleza mambo ya ghaibu baada ya kupashwa habari hizo za ghaibu na Mungu mwenyewe.

Kwa minajili hiyo anapotokea mtu/mganga ambaye sio mtume na akapandisha "majinni" na kueleza mambo ya siri (ghaibu) ya mgonjwa basi huyo atakuwa anaongea vitu vya uongo, na hao ndio wale waganga wapiga ramli chonganishi kwa lengo la kujipatia kipato na ili aaminike mbele ya wateja hujifanya kapandisha hayo yanayoitwa "majinni" kusudi wateja wake waamini kuwa anayesema huo utabiri ni majinni na sio yeye.

Duniani kuna elimu mbalimbali pamoja na elimu za kiakili/kifikra (pysche), kuna watu wanaweza kuangalia macho yako kwa muda tu na kujua kwa muda huo kile unachofikiri, inakuwa ni kama Radio na transmitter (Radio station), transmitter inatoa matangazo kwa njia ya mawimbi na radio inakamata hayo mawimbi, ni katika mfano huo kuna watu wanaweza kumuangalia ntu machoni na macho yao yana "pair" na macho ya muhusika hivyo wanajua kile akili yako inachofikiria kwa wakati huo na hiyo ni elimu waliyonayo watu fulani, ni kipaji kama vipaji vingine, sasa mtu mwenye kipaji cha aina hiyo anaweza kutumia hicho kipaji na akala fedha za watu kwani watu wanapoambiwa shida zao kabla hawajazisema hupatwa na mshangao na imani kwa huyo "mganga" kumbe maskini, hawajui mtu huyo anayo elimu ya kusoma macho ya watu, na hiyo siyo ramli.

Ninachotaka kusema ni kwamba elimu ya ghaibu anayo mungu pekee na mitume ambapo Mungu huwapa hiyo elimu. Kama mtu yeyote atatokea na kusema anaweza kutenda elimu ghaibu bila kutumia elimu ya "pysche" au kusoma mazingira na nyakati basi huyo atakuwa ni Muongo na anataka kula pesa za watu bure.
 
Mkuu, ingawa hujafafanua swali lako ila nitakujibu kulingana na uzoefu wangu kuhusu mambo hayo; unauliza juu ya wale waganga wanaopandisha hayo yanayoitwa majinni na wakishapandisha majinni hayo majinni yanaeleza shida za mgonjwa kabla hata mgonjwa hajaeleza shida zake na inakuwa "kweli".


Mkuu, mimi ni Muislamu na ninaiamini Qur'ani tukufu yote kwamba ni kitabu cha Mungu neno kwa neno, sasa tumsikilize Mungu anasemaje;

قل لا يعلم من فى السموات و الارض الغيب إلا الله و مايشحرون أيان يبعثون

Yaani:- Sema (ewe Muhammad) hakuna yeyote mbinguni na ardhini anayejua ghaibu ila Allah na hawajui watafufuliwa lini (27:65).

Sehemu nyingine Allah anasema; A'limul ghaibi falaa yudhhiru a'laa ghaibihi ahadan illa mani rtadha min rrasuulin. Yaani; (Yeye) ni mwenye elimu ya ghaibu basi hamdhihirishii yeyote (ghaibu) ila kwa mitume aliowaridhia. (72:26).

Ghaibu ni elimu ya mambo ya siri, elimu hiyo anayo Mungu pekee na anapoamua kuitoa basi humpa yule aliyemridhia katika mitume wake, hivyo tunaona ni mitume tu ndiyo watu wanaoweza kueleza mambo ya ghaibu baada ya kupashwa habari hizo za ghaibu na Mungu mwenyewe.

Kwa minajili hiyo anapotokea mtu/mganga ambaye sio mtume na akapandisha "majinni" na kueleza mambo ya siri (ghaibu) ya mgonjwa basi huyo atakuwa anaongea vitu vya uongo, na hao ndio wale waganga wapiga ramli chonganishi kwa lengo la kujipatia kipato na ili aaminike mbele ya wateja hujifanya kapandisha hayo yanayoitwa "majinni" kusudi wateja wake waamini kuwa anayesema huo utabiri ni majinni na sio yeye.

Duniani kuna elimu mbalimbali pamoja na elimu za kiakili/kifikra (pysche), kuna watu wanaweza kuangalia macho yako kwa muda tu na kujua kwa muda huo kile unachofikiri, inakuwa ni kama Radio na transmitter (Radio station), transmitter inatoa matangazo kwa njia ya mawimbi na radio inakamata hayo mawimbi, ni katika mfano huo kuna watu wanaweza kumuangalia ntu machoni na macho yao yana "pair" na macho ya muhusika hivyo wanajua kile akili yako inachofikiria kwa wakati huo na hiyo ni elimu waliyonayo watu fulani, ni kipaji kama vipaji vingine, sasa mtu mwenye kipaji cha aina hiyo anaweza kutumia hicho kipaji na akala fedha za watu kwani watu wanapoambiwa shida zao kabla hawajazisema hupatwa na mshangao na imani kwa huyo "mganga" kumbe maskini, hawajui mtu huyo anayo elimu ya kusoma macho ya watu, na hiyo siyo ramli.

Ninachotaka kusema ni kwamba elimu ya ghaibu anayo mungu pekee na mitume ambapo Mungu huwapa hiyo elimu. Kama mtu yeyote atatokea na kusema anaweza kutenda elimu ghaibu bila kutumia elimu ya "pysche" au kusoma mazingira na nyakati basi huyo atakuwa ni Muongo na anataka kula pesa za watu bure.
Asante kiongozi ndani ya familia yetu yupo mtu ambaye anaayo mambo ila sio mganga na ila anauwezo wa kuongea lugha tofauti tofauti akipandisha hadi muda mwengine hadi sauti za kike na anasema tatizo liliopo na niukweli na anasema jinsi ya kulimaliza hapo ndipo nakosa jibu sahihi.
Me nadhani jinn haonekani ila jinn pia inaweza kuwa ni roho inayoishi kwa kuzingatia maelezo yangu hapo juu
 
Asante kiongozi ndani ya familia yetu yupo mtu ambaye anaayo mambo ila sio mganga na ila anauwezo wa kuongea lugha tofauti tofauti akipandisha hadi muda mwengine hadi sauti za kike na anasema tatizo liliopo na niukweli na anasema jinsi ya kulimaliza hapo ndipo nakosa jibu sahihi.
Me nadhani jinn haonekani ila jinn pia inaweza kuwa ni roho inayoishi kwa kuzingatia maelezo yangu hapo juu



Mkuu, kuongea lugha mbalimbali huyo nduguyo anayo Hysteria na hali hiyo inaitwa (Ravings).

Ipo hivi; ubongo wa mtu ni kama memory card-- unahifadhi kila jambo inalolisikia katika mtiririko wa "the first in the first stored", kumbuka kwamba watu huwa tunafariki ilhali sehemu kubwa sana ya memory ya ubongo wetu huwa haijatumika, sasa inapotokea mtu wakati fulani alisikia lugha fulani, (na hilo ni jambo la kawaida mtu katika maisha anaweza kusikia watu wakiongea lugha tofauti tofauti), na lugha zote hizo huifadhiwa na ubongo katika mtiririko (sequence) licha ya kwamba lugha hizo huyo mtu hazijui, mfano anaweza kusikia, kisukuma, kiha, kiingereza, kirusi, nk, lugha ambazo hazijui kabisa na hasa kama alizisikia katika umri mdogo pale ambapo akili ya mtoto inapokuwa ni rahisi kujifunza lugha mbalimbali, sasa anaposhikwa (anapopandisha) hiyo Hysteria (majinn) akili yake wakati huo unajifungua ule mlango wa lugha zilizohifadhika (retrieval ) na anaanza kuongea hizo lugha na watu huanza kushangaa,🤣🤣🤣.


Pia Kumbuka kwamba mtoto huanza kujifunza misingi ya lugha kupitia kwa mama yake tangu akiwa tumboni.

Hivyo mkuu, hayo anayopandisha nduguyo si chochote bali ni Hysteria, na ugonjwa huo hutokea kwa styles tofauti tofauti kulingana na ubongo wa mtu, mwingine akishikwa haongei lugha yoyote ila ni kupiga kelele na kujirusha hovyo na asipodhibitiwa anaweza kupata mpasuko katika fuvu (concurtion).

Na ugonjwa huo huwapata sana akina mama 99%, 🤣🤣, kwanini isiwe kwa akina baba??--, kama jinn ni kiumbe anayetokea nje na kumuingia mtu kwanini wanawaogopa akina baba??🤣
 
Mkuu, huyo mwenzako aliyenitusi kabla ya mimi kumjibu hukuona matusi yake au yeye hakustahili kupewa hizo nasaha unazonipa??--- yeye kaanza kunitusi na mimi nilikuwa najibu mapigo, juu ya yote mimi niko peace tu.

Tuje katika mada, umeandika maneno katika lugha ya kiarabu nadhani ni watu wachache sana humu ndani wanaojua lugha ya kiarabu na hata kama wapo sio fasaha sana katika lugha hiyo kama waiivyokuwa fasaha katika Kiswahili na kiingereza, hivyo ni vyema unapoona "raha" kuandika kwa kiarabu basi pembeni weka tafsiri yake kwa kiswahili ili wengi wetu tusiojua vyema kiarabu tupate kufahamu.

Tarjama ya maneno yako ya kiarabu ni kama ifuatavyo (nakubali kurekebishwa nitakapo kosea);-

" Majini ni viumbe, mbali na kujibadili, haiwezekani kuonekana kwa macho ya kawaida ili kuwaona lazima uwe na maarifa".


Katika hadithi fulani za mtukufu mtume Muhammad (saw, aliwakataza masahaba zake kutumia mifupa na vinyesi vikavu vya ngamia kuchambia na akasema mifupa na vinyesi hivyo ni vyakula vya majini, na pia akatufundisha tuingiapo vyooni tusome dua ili kujikinga na majini waliomo vyooni.

Elimu ya kisayansi inatuambia kwamba katika mifupa na vinyesi vya wanyama kuna bakteria kibao ambao kama utatumia hivyo vinyesi na mifupa kuchambia utakuwa na nafasi kubwa sana ya kupata maambukizi katika njia ya haja kubwa halikadhalika chooni kulingana na mazingira yake kuna aina mbalimbali za bakteria wa maradhi mfano, Chorela, dysentery, hepatitis, kisonono nk, (hasa vyoo vya umma).

Hivyo mtukufu mtume (saw), aliposema neno "jinn" alikuwa na maana ya wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho ya kawaida na hapa nakubaliana na maneno yako ya kiarabu, na ili uweze kuwaona ni lazima utumie nyenzo maalumu kama darubini (microscope) au kwa maneno mengine uwe na maarifa (معرفة) kama ulivyosema.

Sifa kuu ya jinn ni kutokuonekana kirahisi kwa macho ya kawaida na mzizi wa neno "jinn" ni neno "janna" ambalo maana yake ni kutokuonekana, hivyo basi katika lugha ya kiarabu, kitu chochote au tukio lolote lenye sifa ya kutokuonekana kirahisi linawezwa kwa ki-SIFA likaitwa kwa jina la "jinn", na hii ipo karibu katika lugha zote hata katika kiswahili mtu shujaa anaweza kuitwa "Simba" kwa sababu tu ya ushujaa wake.

Kwa muktadha huo ki-sifa , jinn anaweza kuwa mtu mkubwa, kiongozi, tajiri, mtu mashuhuri nk--- ambao kwa hizo sifa zao kuonekana kwao mbele za watu huwa ni kwa nadra sana na inapotokea akaonekana basi lazima kuwae na jambo muhimu, na hapa ndipo Allah katika Qur'an aliposema; "Sikuwaumba majini na watu isipokuwa watuabudu"-- Majini waliotajwa hapa ni viongozi, watu mashuhuri, matajiri nk, ambao kwa umashuhuri na utajiri na uongozi wao wanaweza kujawa na kiburi kujiona kwamba wao hawastahili kufanya ibada, Watu katika aya hiyo ni watu wa kawaida wasiokuwa na utajiri, umashuhuri, uongozi nk ambao nao kulingana na hali zao za kimaisha wanaweza kusema ibada haiwahusu ila inawahusu hao waheshimiwa wakubwa (majini), ndipo Allah akakata mzuzi wa fitna akasema wote lazima tumuabudu hakuna adhuru.

Allah katika Qur'an anasema "Na majinni tumewaumba mwanzo kwa mwale wa moto," (sikumbuki aya). sayansi ambayo ni elimu kutoka kwa huyohuyo Allah inasema kwamba viumbe wa mwanzo kabisa kuumbwa walikuwa ni bakteria ainavya (Eukaryotes na prykaryotes. Check spelling) ambao waliumbwa kutokana na nuru ya radi (lightining sparks).

Qur'an katika Surah jinn, Majinn waliposikia Qur'an ikisomwa walisema, "hakika tumesikia Qur'an ya ajabu inayoongoza kwenye uongofu"(sikumbuki aya) na tena wakasema; "hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa"(sikumbuki aya), na baadaye mtume (saw) alikuwa akifanya maombi na hao majinn "wakamzonga/ wakamzingira" (sikumbuki aya). Majinn waliotajwa katika hiyo sura ni watu wageni wasiokuwa waarabu, katika lugha ya kiarabu neno "jinn" linaruhusiwa kutumika kwa mgeni/wageni kwa sababu mgeni anaonekana kipindi tu anapokuwa na wenyeji lakini yeye sio mtu wa hapo na hivyo kuonekana kwake ni kama kuonekana kwa "jinn" na hii ni katika matumizi yale yale ya Ki- sifa ya neno jinn--, na hao wageni walikuwa ni mayahudi kutoka Nasibin, ndiyo maana wakasema; "innaa sami'i'naa kitaaba unzila min baa'd Musa" (Hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya Musa).


Ugonjwa unaowashika kina mama na akina dada, (Hysteria), kama nilivyosema hapo awali kuwa neno "jinn" linaweza kutumika hata kwa jambo lenye sababu isiyoonekana bali athari inayoonekana (unseen cause but seen effects). Akina mama maranyingi husumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao watu wengi huuita mapepo, majinni na hata Maruhani, mtu anayeshikwa na ugonjwa huo kutokana na sababu mbalimbali za ndani ya mwili na nje ya mwili anashindwa kabisa kujidhibiti (uncontroll) kiakili na hivyo wakati huo akili inajiendesha yenyewe (run amok), na mgonjwa anaweza kutamka maneno au hisia alizokuwa nazo kichwani kabla ya kushikwa na huo ugonjwa (ravings) au anaweza kutamka maneno katika lugha ngeni kabisa (labda aliisikia zamani alipokuwa mdogo kwani akili ni kama memory card), na watu wakashangaa na wakaanza kuhisi kwamba; "LAZIMA KUNA KIUMBE KISICHOONEKANA KWA MACHO KUTOKA NJE KIMEMUINGIA KICHWANI NDICHO KINACHOZUNGUMZA HIYO LUGHA"[emoji16][emoji16]---- na hapo ndipo dhana na fikra za upotishaji juu ya majinn zinapoanzia hapo, kwamba majinni ni viumbe mithili ya watu na wanaweza kumuingia mtu kichwani na wanapenda kuishi chooni, kwenye milima mirefu, magogu, baharini, katika misitu minene nk, ilmradi kila mtu anatoa fikra zake anazojenga juu ya majinni, mbaya zaidi Waalimu na Masheikh Ubwabwa biashara ya kupunga majinn kwa akina mama imekuwa ni dili kubwa na Wachungaji pia hawako nyuma katika kukemea majini mapepo. Kifupi, hayo yanayoitwa mapepo, Maruhani, jinn, Mahaba nk, yanaweza kuitwa kwa jina la "jinn" kwa sifa tu kwasababu kitu kinachosababisha mama au dada ashikwe na hali ya kuweweseka haionekani kwa macho lakini madhara yake yanaonekana kwa mgonjwa, hakuna jinn mahaba, Subiani, Affrit nk, mwenye umbo la mtu kutoka nje anayemuingia mtu, hakuna, never ever there is none.

Kutupiwa "jinn"--- unaweza kusikia watu wakisema, mfano; " Jamaa katupiwa "jinn" ndiyo maana kapata ajali, naam-- zipo elimu za "spirits", mfano, Telepathy, Hynotism (mesmerism) nk, ni elimu ambazo baadhi ya watu wanazaliwa nazo naturally au kwa kujifunza, ni elimu ambayo mtu anaweza kumuathiri mtu mwingine kwa kufanya baadhi ya mambo fulani na mtu akaathirika hata akiwa maelfu ya kilometres na mtu akaathirika huko alipo, nalo jambo hili waweza kuliita "jinn" kwasababu tu nguvu inayotenda kazi haionekani kwa macho, lakini si kwamba kuna kiumbe mfano wa mtu au watu kinaruka hewani baada ya kutumwa na "fundi" kwenda kufanya madhara kwa mlengwa.

Majini kuumbwa kwa moto, naomba nimalizie kwa kutoa ufafanuzi wa maana nyingine ya jinn kuumbwa kwa moto, mtu au kitu kuumbwa kwa moto maana yake pia yaweza kuwa ni mtu mwenye kiburi, majivuno, mwenye asili ya ukali nk, kama alivyokuwa Firauni na Ibilisi katika Qur'an.
Kuna comment hapo juu umesema hakuna viumbe kama hivyo
Halafu hapana unaelezea kuhusu viumbo hivyo
Nimeshindwa kukuelewa
 
Back
Top Bottom