Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Mjue Jini Mahaba: Fahamu mengi kuhusu jini mahaba

Kuna comment hapo juu umesema hakuna viumbe kama hivyo
Halafu hapana unaelezea kuhusu viumbo hivyo
Nimeshindwa kukuelewa


Ni hivi; kimsingi Jinn ni viumbe au vitu vyenye sifa ya kuto kuonekana kwa macho ya kawaida, kwahiyo jinn anaweza kuwa ni mtu, mdudu, hali fulani isiyoonekana inayompata mtu nk.

Mfano, Bakteria wote na virusi wanaitwa majinni kwa sababu hawaonekani kwa macho ya kawaida hadi utumie microscope.

Mtu mgeni anaweza kuitwa jinn kwasababu yeye anaonekana tu kipindi kile yupo na mwenyeji wake na baadaye anaondoka, hapa anaitwa jinn ki-sifa.

Watu wakubwa kama viongozi, matajiri, watu mashuhuri kama wanasayansi pia wanaitwa majinni kwasababu ni muhali kuwakuta kuchangamana kirahisi na watu wa kawaida hivyo ni shida kuonekana mara kwa mara nao wanakuwa na sifa ya kuitwa majinn.

Ule ugonjwa unaowashika hususan kina mama na watu huuita "majinn", unaitwa hivyo kwasababu inaonekana ni kama vile kuna kiumbe fulani kimemuingia huyo mama na ndicho kinachomfanya afanye mambo ayafanyayo, hapa ndipo mimi ninakataa kwamba hakuna kiumbe kama hicho kutoka nje kinachomuingia huyo mama, kilichopo ni kwamba huyo mama kashikwa na ugonjwa unaoitwa Hysteria na jinsi unavyoathiri unaweza kusema, KI -SIFA, kwamba ugonjwa huo ni "jinn", kwasababu huo ugonjwa hauonekani lakini athari yake inaonekana kwa mgonjwa, maana yangu ndiyo hiyo.

Hakuna jinni kiumbe wa ajabu aghalabu anayefanana na mtu/watu, kama jinsi watu wengi wanavyoamini kimakosa.lakini wapo majinni viumbe niliowataja hapo juu na wao wanaitwa majini kutokana na sifa waliyonayo ya "kutokuonekana" (concealment) kirahisi kama jinsi nilivyoeleza.

Utaona watu wamewapa majina eti, jinni mahaba, Subiani, Jinni makata nk, nasema hakuna viumbe hao. Tafsiri ya ufupi ya jinn ni hiyo niliyoiweka hapo juu.

Nadhani utakuwa umenielewa.
 
Kuna comment hapo juu umesema hakuna viumbe kama hivyo
Halafu hapana unaelezea kuhusu viumbo hivyo
Nimeshindwa kukuelewa

Nimesahau kitu kimoja mkuu,
Kuna watu wengine wanadai eti hayo "majini" wanayoyaamini yanaweza kufugwa jinsi mtu anavyofuga Mbwa, na anaweza kuyatumia katika shughuli mbalimbali kama kuyatuma kudhuru watu au kwenda kuleta pesa nk,, na hata watu wengine wanaamini eti damu ni chakula cha hayo "majini" ya kufugwa, wanayapata vipi na wanawezaje kufuga kitu kisichoonekana !!??, hayo ni maswali yasiyojibika na ndiyo maana wanaishia kuchora picha za viumbe wa ajabu mithili ya binadamu na kusema hao ndiyo majini,na hii ni kulingana na ufahamu wa akili zao (figment of their imaginations).

Hivyo dhana nzima ya "majini" ya aina hiyo inavyochukuliwa na jamii kubwa ya watu ni dhana potofu kabisa na ya kufikirika tu.
 
Nimesahau kitu kimoja mkuu,
Kuna watu wengine wanadai eti hayo "majini" wanayoyaamini yanaweza kufugwa jinsi mtu anavyofuga Mbwa, na anaweza kuyatumia katika shughuli mbalimbali kama kuyatuma kudhuru watu au kwenda kuleta pesa nk,, na hata watu wengine wanaamini eti damu ni chakula cha hayo "majini" ya kufugwa, wanayapata vipi na wanawezaje kufuga kitu kisichoonekana !!??, hayo ni maswali yasiyojibika na ndiyo maana wanaishia kuchora picha za viumbe wa ajabu mithili ya binadamu na kusema hao ndiyo majini,na hii ni kulingana na ufahamu wa akili zao (figment of their imaginations).

Hivyo dhana nzima ya "majini" ya aina hiyo inavyochukuliwa na jamii kubwa ya watu ni dhana potofu kabisa na ya kufikirika tu.
Mkuu huna tofauti na mtu anaekataa uwepo wa roho kwenye mwili wake kwa maana nimekwambia na kukushakia kuwa wewe ni Atheist unaesoma elimu za dini kwa ajili ya upotoshaji na hapa watu wasipokufikiria kwa uelewa finyu wanaweza kuhisi hizi tungo zako zina ukweli kumbe uongo uliouzua kutoka kwa sheikh Google.
then elewa ya kuwa kama wewe ni Atheist uliojificha kwenye kivuli cha uislamu basi utakua ni mjinga kwa maana kwenye mafundisho kuna historia nyingi tu za mitume zinazoeleza uwepo wa viumbe hivi. na haya unayoyaeleza hapa ndio wanayoelezea sana baadhi ya agents wa Freemason ambao their goal is to wipe out the belief of religion ili watu wabakie na vitabu bila kuwa na imani navyo wasome kama magazeti na kuanza kuvikosoa, like how you do it

Rakims
 
Sasa na mie ambae nimekula sana malaya.. inakuwaje ? Maana toka nimeanza kula malaya wanafika 500.... sio nimeisha kabisa 🙈🙈🙈
pole mkuu,
Lakini ukiitaka salama zaidi na bora kwako tubia kwa mwenyezi Mungu akustiri na tabia hizo baada ya hapo uanze kuchunguza ndoto zako,
 
Mkuu huna tofauti na mtu anaekataa uwepo wa roho kwenye mwili wake kwa maana nimekwambia na kukushakia kuwa wewe ni Atheist unaesoma elimu za dini kwa ajili ya upotoshaji na hapa watu wasipokufikiria kwa uelewa finyu wanaweza kuhisi hizi tungo zako zina ukweli kumbe uongo uliouzua kutoka kwa sheikh Google.
then elewa ya kuwa kama wewe ni Atheist uliojificha kwenye kivuli cha uislamu basi utakua ni mjinga kwa maana kwenye mafundisho kuna historia nyingi tu za mitume zinazoeleza uwepo wa viumbe hivi. na haya unayoyaeleza hapa ndio wanayoelezea sana baadhi ya agents wa Freemason ambao their goal is to wipe out the belief of religion ili watu wabakie na vitabu bila kuwa na imani navyo wasome kama magazeti na kuanza kuvikosoa, like how you do it

Rakims



Mimi sipingi uwepo wa majini, ninachopinga ni dhana na imani potofu juu ya majini, eti utasikia mtu anasema yeye anao uwezo wa kutengeneza jini na kulituma kwenda kufanya shughuli zake, mbaya zaidi aya za Qur'an zinatumika vibaya kushadidia upotofu huo hadi maadui wa Uislamu wanaichukulia Qur'ani kuwa ni kitabu cha ngano za Majini (fable) kama vitabu vya hadithi za watoto za sungura na fisi, Mungu apishe mbali.

Eti, mnadai kuna jinni mahaba, kashikashi, Subiani, koromizo, makata, nk, huo ni uongo mkubwa na upotoshaji wa hali ya juu.

Na utakuta wale mnaoamini mambo ya aina hiyo ni washirikina wakubwa na ibada zenu kwa nje mnakwenda misikitini kuswali lakini kwa ndani safari za kwenda kwa Waganga wafuga "majinni" (kwa imani yenu) haziishi.

Uislamu ni dini very perfect lakini maadui wa Uislamu ni wale mnaojiita "waislamu safi"!!, Usafi gani mlionao kwa imani potofu za kishirikina??!, mnawafanya watu wasiokuwa waislamu waukimbie Uislsmu na waanze kuushambulia kutokana na Ujinga wenu.
 
Mkuu, kuongea lugha mbalimbali huyo nduguyo anayo Hysteria na hali hiyo inaitwa (Ravings).

Ipo hivi; ubongo wa mtu ni kama memory card-- unahifadhi kila jambo inalolisikia katika mtiririko wa "the first in the first stored", kumbuka kwamba watu huwa tunafariki ilhali sehemu kubwa sana ya memory ya ubongo wetu huwa haijatumika, sasa inapotokea mtu wakati fulani alisikia lugha fulani, (na hilo ni jambo la kawaida mtu katika maisha anaweza kusikia watu wakiongea lugha tofauti tofauti), na lugha zote hizo huifadhiwa na ubongo katika mtiririko (sequence) licha ya kwamba lugha hizo huyo mtu hazijui, mfano anaweza kusikia, kisukuma, kiha, kiingereza, kirusi, nk, lugha ambazo hazijui kabisa na hasa kama alizisikia katika umri mdogo pale ambapo akili ya mtoto inapokuwa ni rahisi kujifunza lugha mbalimbali, sasa anaposhikwa (anapopandisha) hiyo Hysteria (majinn) akili yake wakati huo unajifungua ule mlango wa lugha zilizohifadhika (retrieval ) na anaanza kuongea hizo lugha na watu huanza kushangaa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787].


Pia Kumbuka kwamba mtoto huanza kujifunza misingi ya lugha kupitia kwa mama yake tangu akiwa tumboni.

Hivyo mkuu, hayo anayopandisha nduguyo si chochote bali ni Hysteria, na ugonjwa huo hutokea kwa styles tofauti tofauti kulingana na ubongo wa mtu, mwingine akishikwa haongei lugha yoyote ila ni kupiga kelele na kujirusha hovyo na asipodhibitiwa anaweza kupata mpasuko katika fuvu (concurtion).

Na ugonjwa huo huwapata sana akina mama 99%, [emoji1787][emoji1787], kwanini isiwe kwa akina baba??--, kama jinn ni kiumbe anayetokea nje na kumuingia mtu kwanini wanawaogopa akina baba??[emoji1787]
Unaamini ya kuwa kuna pepo wachafu aka majin nakazalika. Tuanzie hapo kwanza,imani yako au elimu yako ipo upande gan kuhusu hawa viumbe, then tunaweza kueleweshana zaidi.
 
Mkuu, inaonekana wewe unataka Qur'an watu tuisome kama jinsi watoto wanavyosoma "fables"(ngano)., katika kusoma Qur'an ni lazima Tadabbur itumike.

Nilikuwa najaribu kupitia nukuu za kamusi (Lane na Aqrab, the arabic english lexicons) chini ya neno jinn (جن), ninanukuu hapa chini;

"" جن (jinn) is derived from جن (janna) which means, it veiled, concealed, covered or protected himor it. جن (jinn) means such beings as remain aloof from the people concealing themselves; strangers; the main or chief part or body of mankind, etc.""

Jinn inaweza kuwa;
(1) wadudu wadogo wasioweza kuonekana kwa macho bali kwa vyombo kama microscope nk, Baktetia, Amoeba, paramecium, virusi nk, vyote vimo katika kundi hilo, na wanakula takataka na uchafu mbalimbali ndiyo maana mtukufu mtume (saw) aliwakataza waarabu kuchambia mifupa na kinyesi kikavu cha ngamia ili wasidhurike na akawaambia ni chakula cha majini. Na hapa wale majinn ambao Qur'an inawasema waliumbwa kwa mwale wa moto wanaingia hapa nao ni Bakteria Eukaryotes na pykaryotes.

(2) Wageni nao wanaweza kutwa majini kisifa kwa sababu wageni nao huonekana pale anapokuja kutembelea wenyeji tu. (Strangers), na wale majini wanaotajwa katika Surah Jinn walikuwa ni wageni wa kiyahudi, hawakuwa Waarabu.

(3) Watu mashuhuri, kama viongozi na wataalamu, wanasayansi maarufu (genious/ distortion of the arabic word jinn) na wao wanaitwa majinn ki sifa--- hapa ndipo wapo Ifrit wa Nabii Suleiman (as) nk. Pia watu wakubwa kama maraisi nk, (such beings as remain aloof from the people---) na Ibilis yumo katika kundi hili.


(4) kundi la mwisho ni majinn wa dhahania (abstract), hawa ndiyo wanaitwa mapepo, maruhani (روحهن), wanaowakumba hasa kina mama, inadhaniwa na watu kimakosa kwamba hao majinn ni viumbe hai aghlabu mithili ya umbo la watu au mtu na linamuingia mwanamke kichwani na kuweka makazi yake humo na baadaye linafanya mambo linalotaka kupitia huyo mwanamke. Huo ni Uongo mkubwa kusema kwamba kuna kiumbe-jinn mithili ya mtu ndiye huingia kichwani kwa mtu.

Mapepo kitaalamu ni ugonjwa wa akili unaojulikana kama "Hysteria", ni ugonjwa unaosababishwa na hali za kimwili na hali za kimazingira yanayomuhusu mgonjwa kwa wakati huo, mgonjwa anaweza kuweweseka na kuongea lugha za ajabu au anaweza katika usingizi akaota mambo ya ajabu nk,------ sasa kwanini watu hali hiyo wakaihusisha na majinn??, sababu ni kwamba mgonjwa hufanya mambo bila hiyari yake na inaonekana kama kwamba ipo nguvu nyingine inayotenda kazi ndani ya mgonjwa na nguvu hiyo (wanaamini) ni kutokana na kiumbe mwingine aliyeingia kichwani mwa mgonjwa🤣🤣!!, -- sijui alipitia puani, sikioni, machoni au??, hakuna majibu.

Majinn niliowataja katika kundi la 2 na 3, hawa ni binadamu na ndio hawa Allah amewataja katika ile aya alipotuusia juu ya wajibu wetu katika kumuabudu aliposema; " Na sikuwaumba majinn na watu isipokuwa waniabudu"---- majini waliotajwa hapa ni watu mashuhuri, hao majini waliotajwa hapo kwenye hiyo aya ni watu maalum (mashuhuri) kwa sababu Qur'an inajisema yenyewe kwamba ni muongozo kwa "watu" pekee pia Allah katika hiyo Qur'an anawahusia "watu" pekee wamuabudu, ndiyo maana nikasema hao majini waliotajwa katika hiyo aya ni watu maalumu.

Kinyume na mtazamo huo Qur'an itakuwa ni kitabu cha fables and tales, Mungu apishe mbali.

Nashikiria kwanza haya maelezo yako ya sehemu ya pili kwanza!?

(2) Wageni nao wanaweza kutwa majini kisifa kwa sababu wageni nao huonekana pale anapokuja kutembelea wenyeji tu. (Strangers), na wale majini wanaotajwa katika Surah Jinn walikuwa ni wageni wa kiyahudi, hawakuwa Waarabu.
kwa maelezo yako hapa huna tofauti na wale wanaohitaji kuupdate kitabu chao wanachoamini kimetoka kwa Mwenyezi Mungu lakini kuna sehemu kakosea kuzungumza au kuandika sasa ndio wanataka kumrekebisha
Wageni:

kiarabu hawa huitwa زوار kwa maana ya wageni au ضُيوف sasa kwenye Qur.an hawa wametajwa kama ضُيوف rejea katika SURAT HUD Aya 78 na 68 pale Lut alipowaambia kaumu yake:

فَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ فِي ضَيْفِي ۖ أَلَيْسَ مِنْكُمْ رَجُلٌ رَشِيدٌ
wala msinihizi mbele ya wageni wangu. Hivyo, hamna hata mtu mmoja miongoni mwenu aliye ongoka?


Na pia rejelea kwenye surat Hijr aya 51 na 68

وَنَبِّئْهُمْ عَنْ ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ
Na uwape khabari za wageni wa Ibrahim.
قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.

Bado hapo unabainishiwa maana ya wageni kwa kiarabu ikiwa hufahamu, na ikiwa hujaridhia pia rejelea kwenye
SURAT ADH-DHAARIYAAT aya 24

هَلْ أتَاكَ حَدِيثُ ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ الْمُكْرَمِينَ
Je! Imekufikia hadithi ya wageni wa Ibrahim wanao hishimiwa?

Zote hizo zinakwambia kuwa ضَيْفِ ndio inawakilisha au kumaanisha kiarabu kuwa ni wageni na kama hoja yako ni waheshimiwa fulani huitwa jinn basi hapa ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ الْمُكْرَمِينَ hiki kipande kinapingana na madai yako na maana halisi ya jinn ni iliyojivicha au kilichofichika sasa hata ukipima kwa darubini hutaona acha basi kupotosha watu mkuu! kwa sherehe na sheria zako mwenyewe

Rakims
 
Nashikiria kwanza haya maelezo yako ya sehemu ya pili kwanza!?

(2) Wageni nao wanaweza kutwa majini kisifa kwa sababu wageni nao huonekana pale anapokuja kutembelea wenyeji tu. (Strangers), na wale majini wanaotajwa katika Surah Jinn walikuwa ni wageni wa kiyahudi, hawakuwa Waarabu.
kwa maelezo yako hapa huna tofauti na wale wanaohitaji kuupdate kitabu chao wanachoamini kimetoka kwa Mwenyezi Mungu lakini kuna sehemu kakosea kuzungumza au kuandika sasa ndio wanataka kumrekebisha
Wageni:

kiarabu hawa huitwa زوار kwa maana ya wageni au ضُيوف sasa kwenye Qur.an hawa wametajwa kama ضُيوف rejea katika SURAT HUD Aya 78 na 68 pale Lut alipowaambia kaumu yake:

فَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ فِي ضَيْفِي ۖ أَلَيْسَ مِنْكُمْ رَجُلٌ رَشِيدٌ
wala msinihizi mbele ya wageni wangu. Hivyo, hamna hata mtu mmoja miongoni mwenu aliye ongoka?


Na pia rejelea kwenye surat Hijr aya 51 na 68

وَنَبِّئْهُمْ عَنْ ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ
Na uwape khabari za wageni wa Ibrahim.
قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.

Bado hapo unabainishiwa maana ya wageni kwa kiarabu ikiwa hufahamu, na ikiwa hujaridhia pia rejelea kwenye
SURAT ADH-DHAARIYAAT aya 24

هَلْ أتَاكَ حَدِيثُ ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ الْمُكْرَمِينَ
Je! Imekufikia hadithi ya wageni wa Ibrahim wanao hishimiwa?

Zote hizo zinakwambia kuwa ضَيْفِ ndio inawakilisha au kumaanisha kiarabu kuwa ni wageni na kama hoja yako ni waheshimiwa fulani huitwa jinn basi hapa ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ الْمُكْرَمِينَ hiki kipande kinapingana na madai yako na maana halisi ya jinn ni iliyojivicha au kilichofichika sasa hata ukipima kwa darubini hutaona acha basi kupotosha watu mkuu! kwa sherehe na sheria zako mwenyewe

Rakims
Yeye atambue tu ya kuwa hawa viumbe wapo,wala hilo halina ubishi, tatizo ni maumbo yao ya kwamba si lahisi kumuona kwa macho ya nyama, hili ndo analo bisha, hawa viumbe ndo wale walikuwa upande wa yule aliye laaniwa na kutupwa duniani na akatoka na kundi kubwa la wafuasi wake, aka wale waliokuwa wakimukubali au twaweza kusema washilika wake.

Hili swala wala haliwezi kutiwa ujuzi na usomi wa kuleta elimu na mambo ya utafiti wa kisayansi kwa kukanusha au kukubali.

Ni sawa na leo uniambie hakuna uchawi duniani na hli kila siku wanapaa angani watu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi sipingi uwepo wa majini, ninachopinga ni dhana na imani potofu juu ya majini, eti utasikia mtu anasema yeye anao uwezo wa kutengeneza jini na kulituma kwenda kufanya shughuli zake, mbaya zaidi aya za Qur'an zinatumika vibaya kushadidia upotofu huo hadi maadui wa Uislamu wanaichukulia Qur'ani kuwa ni kitabu cha ngano za Majini (fable) kama vitabu vya hadithi za watoto za sungura na fisi, Mungu apishe mbali.

Eti, mnadai kuna jinni mahaba, kashikashi, Subiani, koromizo, makata, nk, huo ni uongo mkubwa na upotoshaji wa hali ya juu.

Na utakuta wale mnaoamini mambo ya aina hiyo ni washirikina wakubwa na ibada zenu kwa nje mnakwenda misikitini kuswali lakini kwa ndani safari za kwenda kwa Waganga wafuga "majinni" (kwa imani yenu) haziishi.

Uislamu ni dini very perfect lakini maadui wa Uislamu ni wale mnaojiita "waislamu safi"!!, Usafi gani mlionao kwa imani potofu za kishirikina??!, mnawafanya watu wasiokuwa waislamu waukimbie Uislsmu na waanze kuushambulia kutokana na Ujinga wenu.

Very good kama umeanza kujua kuwa majini wapo sasa tunakuja sehemu ya pili hapo uliposema watu wanaodai wanatengeneza majini, elewa ya kuwa mkuu hawa wanachofanya ni kuchukua tu sehemu ya uchawi na kuuwekea manuizi kwa kutumia nguvu ya kiroho uchawi uliofundishwa Babylon kwa kutumia baadhi ya kauli za kuapiza upepo ule wa kichawi uweze kumkumba mtu kimanuizi, elewa ya kwamba hawa wanaopandisha majini sio kuwa wanapandisha majini hapana ni upepo tu wa majini wanakuwa nao hata kama jini yupo pale na anafanya maajabu basi jua huyu anaezungumza ni upepo tu wa kile kiumbe na uchawi vinavyokuwa vinamchezesha hivyo, dhana na maana ya kutengeneza majini kwa kutumia njia hizo mkuu zinaelezewa pia katika sura ya 2 aya nambari 102
Ya kuwa uchawi ulifundishwa na malaika wawili huko Babyloan na hawakumfundisha yoyote isipokuwa walimwambia kuwa hii ni fitina kama utataka kujifunza elewa kuwa sisi ni mtihani kwako. lakini wao wakajifunza na hawakuwafundisha ila yale yatakayo wasumbua na kuwaletea matatizo baadae na hawayafanyi hayo ila tu mwenyezi Mungu akiwa karidhia yafanyike,.

Al BAQARAH aya 102

وَاتَّبَعُوۡا مَا تَتۡلُوا الشَّيٰطِيۡنُ عَلٰى مُلۡكِ سُلَيۡمٰنَۚ وَمَا کَفَرَ سُلَيۡمٰنُ وَلٰـكِنَّ الشَّيٰـطِيۡنَ كَفَرُوۡا يُعَلِّمُوۡنَ النَّاسَ السِّحۡرَ وَمَآ اُنۡزِلَ عَلَى الۡمَلَـکَيۡنِ بِبَابِلَ هَارُوۡتَ وَمَارُوۡتَؕ وَمَا يُعَلِّمٰنِ مِنۡ اَحَدٍ حَتّٰى يَقُوۡلَاۤ اِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٌ فَلَا تَكۡفُرۡؕ فَيَتَعَلَّمُوۡنَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُوۡنَ بِهٖ بَيۡنَ الۡمَرۡءِ وَ زَوۡجِهٖؕ وَمَا هُمۡ بِضَآرِّيۡنَ بِهٖ مِنۡ اَحَدٍ اِلَّا بِاِذۡنِ اللّٰهِؕ وَيَتَعَلَّمُوۡنَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنۡفَعُهُمۡؕ وَلَقَدۡ عَلِمُوۡا لَمَنِ اشۡتَرٰٮهُ مَا لَهٗ فِى الۡاٰخِرَةِ مِنۡ خَلَاقٍؕ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡا بِهٖۤ اَنۡفُسَهُمۡؕ لَوۡ کَانُوۡا يَعۡلَمُوۡنَ‏

Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.


Tukimalizia na hoja yako ya mwisho mkuu ya kusema kuwa

"Eti, mnadai kuna jinni mahaba, kashikashi, Subiani, koromizo, makata, nk, huo ni uongo mkubwa na upotoshaji wa hali ya juu.

Hii hoja yako ya kudai kuwa kuna majini mahaba,kashkashi na kadhalika inajibiwa na thread yangu hapo kwenye makundi matano ya majini mkuu ndio maana nimetoa imani na maana ya jini mahaba na nimeelezea vema wapi hujaelewa!?

Na utakuta wale mnaoamini mambo ya aina hiyo ni washirikina wakubwa na ibada zenu kwa nje mnakwenda misikitini kuswali lakini kwa ndani safari za kwenda kwa Waganga wafuga "majinni" (kwa imani yenu) haziishi.

Kuhusu madai yako haya ya kusema wenye imani hizo utakuwa umekosea pakubwa sana kwa sababu sio wote wenye kuamini uwepo wa majini ni washirikina na wanakwenda kwa waganga.
wewe mwenyewe hapa unapiga kelele huenda ukawa ni mmoja wapo. Na kila mtu ni mwenye kujua nafsi yake.
Uislamu ni dini very perfect lakini maadui wa Uislamu ni wale mnaojiita "waislamu safi"!!, Usafi gani mlionao kwa imani potofu za kishirikina??!, mnawafanya watu wasiokuwa waislamu waukimbie Uislsmu na waanze kuushambulia kutokana na Ujinga wenu.

Mwisho hapa nashindwa kukujibu kwa maana sijaelewa lugha yako! kama hoja ni kuwa msafi mbona kila dini ni wasafi au hoja yako mpya hii imeashiria nini.
Mwisho nikwambie kama wewe unajihisi kuukimbia uislamu wako kwa hoja za watu wengine basi jitahidi kuujua kwanza uislamu wako.

Na kuhusu makosa kila mtu anakosea kama nimekuudhi kufundisha watu kujikinga na viumbe na kupost picha za google hivi nisamehe mkuu.
Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli! Usipotoshe kwa sayansi za fikra
Rakims
 
Unaamini ya kuwa kuna pepo wachafu aka majin nakazalika. Tuanzie hapo kwanza,imani yako au elimu yako ipo upande gan kuhusu hawa viumbe, then tunaweza kueleweshana zaidi.


Je na wewe unaamini kuwepo kwa pepo msafi??, kwani kama pepo mchafu yupo basi pia pepo msafi yupo, je unaamini yupo??, tuanzie hapo kwanza.
 
Nashikiria kwanza haya maelezo yako ya sehemu ya pili kwanza!?

(2) Wageni nao wanaweza kutwa majini kisifa kwa sababu wageni nao huonekana pale anapokuja kutembelea wenyeji tu. (Strangers), na wale majini wanaotajwa katika Surah Jinn walikuwa ni wageni wa kiyahudi, hawakuwa Waarabu.
kwa maelezo yako hapa huna tofauti na wale wanaohitaji kuupdate kitabu chao wanachoamini kimetoka kwa Mwenyezi Mungu lakini kuna sehemu kakosea kuzungumza au kuandika sasa ndio wanataka kumrekebisha
Wageni:

kiarabu hawa huitwa زوار kwa maana ya wageni au ضُيوف sasa kwenye Qur.an hawa wametajwa kama ضُيوف rejea katika SURAT HUD Aya 78 na 68 pale Lut alipowaambia kaumu yake:

فَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ فِي ضَيْفِي ۖ أَلَيْسَ مِنْكُمْ رَجُلٌ رَشِيدٌ
wala msinihizi mbele ya wageni wangu. Hivyo, hamna hata mtu mmoja miongoni mwenu aliye ongoka?


Na pia rejelea kwenye surat Hijr aya 51 na 68

وَنَبِّئْهُمْ عَنْ ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ
Na uwape khabari za wageni wa Ibrahim.
قَالَ إِنَّ هَٰؤُلَاءِ ضَيْفِي فَلَا تَفْضَحُونِ
Akasema: Hakika hawa wageni wangu, basi msinifedheheshe.

Bado hapo unabainishiwa maana ya wageni kwa kiarabu ikiwa hufahamu, na ikiwa hujaridhia pia rejelea kwenye
SURAT ADH-DHAARIYAAT aya 24

هَلْ أتَاكَ حَدِيثُ ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ الْمُكْرَمِينَ
Je! Imekufikia hadithi ya wageni wa Ibrahim wanao hishimiwa?

Zote hizo zinakwambia kuwa ضَيْفِ ndio inawakilisha au kumaanisha kiarabu kuwa ni wageni na kama hoja yako ni waheshimiwa fulani huitwa jinn basi hapa ضَيْفِ إِبْرَاهِيمَ الْمُكْرَمِينَ hiki kipande kinapingana na madai yako na maana halisi ya jinn ni iliyojivicha au kilichofichika sasa hata ukipima kwa darubini hutaona acha basi kupotosha watu mkuu! kwa sherehe na sheria zako mwenyewe

Rakims


Wewe ndugu unayo matatizo; si bure.

Mimi nimenukuu maelezo ya Kamusi maarufu ya maneno ya Kiarabu kwa kiingereza, (Arabic -english lexcon kilichotungwa na Edward William Lane na Aqrab), huyo W E lane alikuwa Muingereza mtaalamu wa mambo ya mashariki (orientalist) na huyo Aqrab alikuwa Muarabu. Ukitaka kumjua huyo vyema google.

Yeye akitoa maana ya neno "jinn" anasema :- جن (jinn) is derived from جن (janna) which means, it veiled, concealed,covered,or protected him or it. جن (jinn) means, such beings remain aloof from the people concealing themselves , STRANGERS, the main or chief part of body of mankind; etc.

Nimeliandika neno STRANGERS kwa herufi kubwa kwasababu inaeezekana macho yako ni mabovu au kama hujui maana ya hilo neno fungua kamusi.


Hayo maneno yametoka katika hiyo kamusi siyo maneno ysngu, kama unataka mkosoe hiyo anayesema جن ni "strangers".
 
Very good kama umeanza kujua kuwa majini wapo sasa tunakuja sehemu ya pili hapo uliposema watu wanaodai wanatengeneza majini, elewa ya kuwa mkuu hawa wanachofanya ni kuchukua tu sehemu ya uchawi na kuuwekea manuizi kwa kutumia nguvu ya kiroho uchawi uliofundishwa Babylon kwa kutumia baadhi ya kauli za kuapiza upepo ule wa kichawi uweze kumkumba mtu kimanuizi, elewa ya kwamba hawa wanaopandisha majini sio kuwa wanapandisha majini hapana ni upepo tu wa majini wanakuwa nao hata kama jini yupo pale na anafanya maajabu basi jua huyu anaezungumza ni upepo tu wa kile kiumbe na uchawi vinavyokuwa vinamchezesha hivyo, dhana na maana ya kutengeneza majini kwa kutumia njia hizo mkuu zinaelezewa pia katika sura ya 2 aya nambari 102
Ya kuwa uchawi ulifundishwa na malaika wawili huko Babyloan na hawakumfundisha yoyote isipokuwa walimwambia kuwa hii ni fitina kama utataka kujifunza elewa kuwa sisi ni mtihani kwako. lakini wao wakajifunza na hawakuwafundisha ila yale yatakayo wasumbua na kuwaletea matatizo baadae na hawayafanyi hayo ila tu mwenyezi Mungu akiwa karidhia yafanyike,.

Al BAQARAH aya 102

وَاتَّبَعُوۡا مَا تَتۡلُوا الشَّيٰطِيۡنُ عَلٰى مُلۡكِ سُلَيۡمٰنَۚ وَمَا کَفَرَ سُلَيۡمٰنُ وَلٰـكِنَّ الشَّيٰـطِيۡنَ كَفَرُوۡا يُعَلِّمُوۡنَ النَّاسَ السِّحۡرَ وَمَآ اُنۡزِلَ عَلَى الۡمَلَـکَيۡنِ بِبَابِلَ هَارُوۡتَ وَمَارُوۡتَؕ وَمَا يُعَلِّمٰنِ مِنۡ اَحَدٍ حَتّٰى يَقُوۡلَاۤ اِنَّمَا نَحۡنُ فِتۡنَةٌ فَلَا تَكۡفُرۡؕ فَيَتَعَلَّمُوۡنَ مِنۡهُمَا مَا يُفَرِّقُوۡنَ بِهٖ بَيۡنَ الۡمَرۡءِ وَ زَوۡجِهٖؕ وَمَا هُمۡ بِضَآرِّيۡنَ بِهٖ مِنۡ اَحَدٍ اِلَّا بِاِذۡنِ اللّٰهِؕ وَيَتَعَلَّمُوۡنَ مَا يَضُرُّهُمۡ وَلَا يَنۡفَعُهُمۡؕ وَلَقَدۡ عَلِمُوۡا لَمَنِ اشۡتَرٰٮهُ مَا لَهٗ فِى الۡاٰخِرَةِ مِنۡ خَلَاقٍؕ وَلَبِئۡسَ مَا شَرَوۡا بِهٖۤ اَنۡفُسَهُمۡؕ لَوۡ کَانُوۡا يَعۡلَمُوۡنَ‏

Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.


Tukimalizia na hoja yako ya mwisho mkuu ya kusema kuwa

"Eti, mnadai kuna jinni mahaba, kashikashi, Subiani, koromizo, makata, nk, huo ni uongo mkubwa na upotoshaji wa hali ya juu.

Hii hoja yako ya kudai kuwa kuna majini mahaba,kashkashi na kadhalika inajibiwa na thread yangu hapo kwenye makundi matano ya majini mkuu ndio maana nimetoa imani na maana ya jini mahaba na nimeelezea vema wapi hujaelewa!?

Na utakuta wale mnaoamini mambo ya aina hiyo ni washirikina wakubwa na ibada zenu kwa nje mnakwenda misikitini kuswali lakini kwa ndani safari za kwenda kwa Waganga wafuga "majinni" (kwa imani yenu) haziishi.

Kuhusu madai yako haya ya kusema wenye imani hizo utakuwa umekosea pakubwa sana kwa sababu sio wote wenye kuamini uwepo wa majini ni washirikina na wanakwenda kwa waganga.
wewe mwenyewe hapa unapiga kelele huenda ukawa ni mmoja wapo. Na kila mtu ni mwenye kujua nafsi yake.
Uislamu ni dini very perfect lakini maadui wa Uislamu ni wale mnaojiita "waislamu safi"!!, Usafi gani mlionao kwa imani potofu za kishirikina??!, mnawafanya watu wasiokuwa waislamu waukimbie Uislsmu na waanze kuushambulia kutokana na Ujinga wenu.

Mwisho hapa nashindwa kukujibu kwa maana sijaelewa lugha yako! kama hoja ni kuwa msafi mbona kila dini ni wasafi au hoja yako mpya hii imeashiria nini.
Mwisho nikwambie kama wewe unajihisi kuukimbia uislamu wako kwa hoja za watu wengine basi jitahidi kuujua kwanza uislamu wako.

Na kuhusu makosa kila mtu anakosea kama nimekuudhi kufundisha watu kujikinga na viumbe na kupost picha za google hivi nisamehe mkuu.
Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli! Usipotoshe kwa sayansi za fikra
Rakims



Huwezi kutoa hoja kwa mstari mmoja wa maneno, hapo haupo tofauti na wale wanao nukuu kipande cha aya ya Qur'an bila kumalizia, aya ile inayoanzia na maneno; "Ole wao wanaoswali--------" sasa hapo ndipo wewe umeiga.

Mimi sipingi uwepo wa majini, kwani si Qur'an ndiyo imewataja pale iliposema; "Sikuwaumba majini na watu ila waniabudu."- sasa ninapinga upotoshaji mnaofanya kuhusu hao majini waliotajwa hapo, kwa akili yenu mnataka kusema majini hao ni Subiani, makata, nk. Majini mliojitungia wenyewe.Huo ni uongo, majinni waliotajwa hapo ni watu maalum.
 
pole mkuu,
Lakini ukiitaka salama zaidi na bora kwako tubia kwa mwenyezi Mungu akustiri na tabia hizo baada ya hapo uanze kuchunguza ndoto zako,

Ndoto zangu nyingi huwa nipuliza pumzia naonaga wanao taka kunishambulia huwa wananguka na wengine hata kufa... au wanakimbia.. so sijui hata ila huwa ndio ndoto zake nyingi. Sasa ivi nimeacha haya mambo
 
Mkuu, ingawa hujafafanua swali lako ila nitakujibu kulingana na uzoefu wangu kuhusu mambo hayo; unauliza juu ya wale waganga wanaopandisha hayo yanayoitwa majinni na wakishapandisha majinni hayo majinni yanaeleza shida za mgonjwa kabla hata mgonjwa hajaeleza shida zake na inakuwa "kweli".


Mkuu, mimi ni Muislamu na ninaiamini Qur'ani tukufu yote kwamba ni kitabu cha Mungu neno kwa neno, sasa tumsikilize Mungu anasemaje;

قل لا يعلم من فى السموات و الارض الغيب إلا الله و مايشحرون أيان يبعثون

Yaani:- Sema (ewe Muhammad) hakuna yeyote mbinguni na ardhini anayejua ghaibu ila Allah na hawajui watafufuliwa lini (27:65).

Sehemu nyingine Allah anasema; A'limul ghaibi falaa yudhhiru a'laa ghaibihi ahadan illa mani rtadha min rrasuulin. Yaani; (Yeye) ni mwenye elimu ya ghaibu basi hamdhihirishii yeyote (ghaibu) ila kwa mitume aliowaridhia. (72:26).

Ghaibu ni elimu ya mambo ya siri, elimu hiyo anayo Mungu pekee na anapoamua kuitoa basi humpa yule aliyemridhia katika mitume wake, hivyo tunaona ni mitume tu ndiyo watu wanaoweza kueleza mambo ya ghaibu baada ya kupashwa habari hizo za ghaibu na Mungu mwenyewe.

Kwa minajili hiyo anapotokea mtu/mganga ambaye sio mtume na akapandisha "majinni" na kueleza mambo ya siri (ghaibu) ya mgonjwa basi huyo atakuwa anaongea vitu vya uongo, na hao ndio wale waganga wapiga ramli chonganishi kwa lengo la kujipatia kipato na ili aaminike mbele ya wateja hujifanya kapandisha hayo yanayoitwa "majinni" kusudi wateja wake waamini kuwa anayesema huo utabiri ni majinni na sio yeye.

Duniani kuna elimu mbalimbali pamoja na elimu za kiakili/kifikra (pysche), kuna watu wanaweza kuangalia macho yako kwa muda tu na kujua kwa muda huo kile unachofikiri, inakuwa ni kama Radio na transmitter (Radio station), transmitter inatoa matangazo kwa njia ya mawimbi na radio inakamata hayo mawimbi, ni katika mfano huo kuna watu wanaweza kumuangalia ntu machoni na macho yao yana "pair" na macho ya muhusika hivyo wanajua kile akili yako inachofikiria kwa wakati huo na hiyo ni elimu waliyonayo watu fulani, ni kipaji kama vipaji vingine, sasa mtu mwenye kipaji cha aina hiyo anaweza kutumia hicho kipaji na akala fedha za watu kwani watu wanapoambiwa shida zao kabla hawajazisema hupatwa na mshangao na imani kwa huyo "mganga" kumbe maskini, hawajui mtu huyo anayo elimu ya kusoma macho ya watu, na hiyo siyo ramli.

Ninachotaka kusema ni kwamba elimu ya ghaibu anayo mungu pekee na mitume ambapo Mungu huwapa hiyo elimu. Kama mtu yeyote atatokea na kusema anaweza kutenda elimu ghaibu bila kutumia elimu ya "pysche" au kusoma mazingira na nyakati basi huyo atakuwa ni Muongo na anataka kula pesa za watu bure.
Tofauti Kati ya ghaibu na pyche ni niin?
 
Haina mashiko
Mkuu, kuongea lugha mbalimbali huyo nduguyo anayo Hysteria na hali hiyo inaitwa (Ravings).

Ipo hivi; ubongo wa mtu ni kama memory card-- unahifadhi kila jambo inalolisikia katika mtiririko wa "the first in the first stored", kumbuka kwamba watu huwa tunafariki ilhali sehemu kubwa sana ya memory ya ubongo wetu huwa haijatumika, sasa inapotokea mtu wakati fulani alisikia lugha fulani, (na hilo ni jambo la kawaida mtu katika maisha anaweza kusikia watu wakiongea lugha tofauti tofauti), na lugha zote hizo huifadhiwa na ubongo katika mtiririko (sequence) licha ya kwamba lugha hizo huyo mtu hazijui, mfano anaweza kusikia, kisukuma, kiha, kiingereza, kirusi, nk, lugha ambazo hazijui kabisa na hasa kama alizisikia katika umri mdogo pale ambapo akili ya mtoto inapokuwa ni rahisi kujifunza lugha mbalimbali, sasa anaposhikwa (anapopandisha) hiyo Hysteria (majinn) akili yake wakati huo unajifungua ule mlango wa lugha zilizohifadhika (retrieval ) na anaanza kuongea hizo lugha na watu huanza kushangaa,[emoji1787][emoji1787][emoji1787].


Pia Kumbuka kwamba mtoto huanza kujifunza misingi ya lugha kupitia kwa mama yake tangu akiwa tumboni.

Hivyo mkuu, hayo anayopandisha nduguyo si chochote bali ni Hysteria, na ugonjwa huo hutokea kwa styles tofauti tofauti kulingana na ubongo wa mtu, mwingine akishikwa haongei lugha yoyote ila ni kupiga kelele na kujirusha hovyo na asipodhibitiwa anaweza kupata mpasuko katika fuvu (concurtion).

Na ugonjwa huo huwapata sana akina mama 99%, [emoji1787][emoji1787], kwanini isiwe kwa akina baba??--, kama jinn ni kiumbe anayetokea nje na kumuingia mtu kwanini wanawaogopa akina baba??[emoji1787]
 
Mkuu rakims sijui kama unakumbuka hoja yangu ilio wemwa kiporo due ulihama kifikra
 
Tofauti Kati ya ghaibu na pyche ni niin?



Mkuu, kwanza nilikosea (misspell) maandishi, ilitakiwa liwe "Psyche" katika muktadha nilikuwa na maana ya mawazo au jambo linalohusiana na akili na fikra za mtu.

Ghaibu ni kitu kisichoonekana au kisichojulikana, kitu ambacho kipo katika siri. Unaposema elimu ya ghaibu maana yake ni elimu ya mambo yaliyojificha, yaliyofichikana., mambo ya siri nk, (the unseen).
 
Back
Top Bottom