Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

..Ni Brigadier General.

..labda anakaribia kubadilishiwa majukumu.
Siyo labda, ni dhahiri.
ADC ni nafasi ya Afisa mwenye cheo cha Kanali.
Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri anarudi MMJ ambako atapangiwa majukumu mapya.
Anaweza kuwa Mwambata wa Kijeshi kwenye Balozi zetu nje ya Nchi
 
Back
Top Bottom