Mjue Kanali Nyamburi Mashauri, ADC wa Rais Samia Suluhu

..Ni Brigadier General.

..labda anakaribia kubadilishiwa majukumu.
Siyo labda, ni dhahiri.
ADC ni nafasi ya Afisa mwenye cheo cha Kanali.
Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri anarudi MMJ ambako atapangiwa majukumu mapya.
Anaweza kuwa Mwambata wa Kijeshi kwenye Balozi zetu nje ya Nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…