F fundimchundo JF-Expert Member Joined Jul 23, 2010 Posts 739 Reaction score 1,032 Jul 26, 2024 #201 JokaKuu said: ..Ni Brigadier General. ..labda anakaribia kubadilishiwa majukumu. Click to expand... Siyo labda, ni dhahiri. ADC ni nafasi ya Afisa mwenye cheo cha Kanali. Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri anarudi MMJ ambako atapangiwa majukumu mapya. Anaweza kuwa Mwambata wa Kijeshi kwenye Balozi zetu nje ya Nchi
JokaKuu said: ..Ni Brigadier General. ..labda anakaribia kubadilishiwa majukumu. Click to expand... Siyo labda, ni dhahiri. ADC ni nafasi ya Afisa mwenye cheo cha Kanali. Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri anarudi MMJ ambako atapangiwa majukumu mapya. Anaweza kuwa Mwambata wa Kijeshi kwenye Balozi zetu nje ya Nchi
balibabambonahi JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 15,771 Reaction score 14,294 Nov 12, 2024 #202 Twilumba said: Kirefu cha ADC ni nn? Click to expand... aide de camp