Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mara Anyunyize Sanitizer kwenye microphoneMara amiminie maji kwenye glass, mara usiku ampigie simu kumuuliza kama amelala, mara ....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mara amshikie pamba begani baada ya kuchanjwaMara amshike titi
Mara auliziwe kama ana mume... yaani tabu tupu!Ana mume huyo mpambe?
Hapo amemjulia Samia. Maana hivyo vitu huwa anavipenda sanaHabarini wana jamvi!
Kwakweli nimefurahishwa sana na huyu mpambe wa Rais Samia Suluhu.Kwa kifupi ana mbwembwe si mchezo! Mara ainuke amrekebishe kilemba,Mara amvalishe barakoa,Mara amrekebishe nguo!...
Kwa kifupi hatulii kabisa! Yaani ni burudani!
Uzi tayari
Duuuh 😲😲Hapo amemjulia Samia. Maana hivyo vitu huwa anavipenda sana
Hiyo unit maalumu ya ulinzi wa Rais ndiyo TISS hao hao (siyo kwa kushirikiana na TISS). Inaitwa PSU (President Security Unit)Unit maalumu ya ulinzi wa Rais kwa kushirikiana na TISS + Jeshi (Military intelejensi) ndiyo wanachakata.
Sijamkosoa bwashee, nisome vizuriDuuuh 😲😲
Kweli mh.Rais amekuwa "scapegoat" wa kila mkosoaji wake....
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
Rais msikivu? Akili yako ya mbu weweHakuna kazi nzuri na bora kama kumhudumia RAIS WA NCHI.....
Kule kutumika KUMFANYA AWE MTULIVU ndiko kulitumikia TAIFA LAKO NA WANANCHI WENZAKO......
Mwenyezi Mungu ambariki na kumpa afya mpambe huyo wa Rais wetu msikivu mh.SSH aaamin aaaamin🙏
#SiempreJMT
Ndipo akili yako ilipogota...kedi na matusi...haya umeshafika "mshindo"?!!Rais msikivu? Akili yako ya mbu wewe
Ameapa kumtumikia amiri Jeshi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama.....Mara amfute jasho..yani vurugu tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaonaje mama anavyowakomesha mataga na sukuma gang?Enzi zenu zimekwisha sasa iliyobaki mjiandae kurudi kwenu koromitje mkalime mihogo tu
Kabisa!Anzeni kufunga virago MATAGA wote mrudi kwenu maana mjini kushakuwa kugumu
Bora mkono unaenda kinywaniMara amfute jasho..yani vurugu tupu