mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mwaka jana Simba hawakufika mbali, waliishia robo fainali! Mwaka huu tumewaona wananchi toka Jamhuri ya UTOPOLO wamefika mbali sana hadi NIGERIA!Viongozi wako washafanya kosa subir tu wanaweza kupita kwa uyo ila wasifanye vzur zaid simba walikua na matatzo makubwa matatu ambalo lilisababisha mwaka jana waishie robo kwanza mabek ukimtoa josh waliobak weng mech kubwa wanafel ...