Mjue kidogo mpinzani wa Simba Sc Jwaneng Galaxy

Mjue kidogo mpinzani wa Simba Sc Jwaneng Galaxy

Si kila goli creater lazima awe kiungo kuna magoli forward anaweza funga kwa kupewa paso na beki. Forward wa simba magoli wanayofunga yaliyo mengi ni ya kutafuniwa
Asa hayo ni majukumu ya kocha, magoli yake anayatengeneza kupitia wapi.

Huwezi mlaumu striker kama hapati huduma, ila akiwa anapoteza nafasi za wazi hayo ni makosa yake.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Kidogo naanza kuona kitu kwa Kibu Dennis.

Kama atajifua kwa bidii atakuwa mfungaji mzuri.

Boko pia bado anajitahidi.

Kuna safari ndefu kumpata mfungaji sahihi pale Simba, maeneo mengine wako vizuri
 
Hata ya 2018_19 haikuwa na upungufu wote huo. Nilichojifunza wabongo ni watu wa lawama, na ili mtu uonekane unajua na una uchungu basi kosoa tu, bila kujali unajua au hujui we kosoa tu.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Huyo haelewi anachozungumza, kataja mapungufu ya kikosi chote hamna sehemu amesema huyu na huyu ni mzuri ye kikosi chote kina mapungufu
 
Back
Top Bottom