mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mwaka jana Simba hawakufika mbali, waliishia robo fainali! Mwaka huu tumewaona wananchi toka Jamhuri ya UTOPOLO wamefika mbali sana hadi NIGERIA!Viongozi wako washafanya kosa subir tu wanaweza kupita kwa uyo ila wasifanye vzur zaid simba walikua na matatzo makubwa matatu ambalo lilisababisha mwaka jana waishie robo kwanza mabek ukimtoa josh waliobak weng mech kubwa wanafel ...
Morrison ni mchezaji ambaye angekuwa anaacha masiara, kujiangusha, kufanya maamuzi haraka pengo la luis angeliziba shida ya yule bwana sijui ameathiriwa na nini?Umekimbilia haraka mno kuwalaumu mastreka.
Jana simba ilichokosa ni huduma ya kiungo mchezeshaji...
Hawa jamaa ni timu ndogo lakini wanaweza sana aerial balls kuzitumia.
Tatizo lipi ?Simba hata fainali anaweza ingia lakini kwa forward ya kibu, kagere, boco na mgalu matumaini tuyaondoe.
Mechi ya jana wale tp wangekufa mapema tatizo ni hilo tu
Nyie mliangalia mpira wa wapi ?Ile spirit ya jana safi sana.
Wangeanzia nayo wangepinga goli nyingi. Ni aibuL
Point watu wanaangalia mpira magoli tu bila kujua magoli yanapatikanaje ?Umekimbilia haraka mno kuwalaumu mastreka.
Jana simba ilichokosa ni huduma ya kiungo mchezeshaji...
Utakuwa unaizungumzia Simba ya msimu wa 2018/2019 bila shaka.Viongozi wako washafanya kosa subir tu wanaweza kupita kwa uyo ila wasifanye vzur zaid simba walikua na matatzo makubwa matatu ambalo lilisababisha mwaka jana waishie robo kwanza mabek ukimtoa josh...
Huyu atakuwa anazungumzia Simba ya 2018/2019.We unaelewa unachozungumzia kweli?
Maana naona umesema kikosi kizima kina mapungufu, umefuatilia hata kikosi kweli?
Viungo wakabaji wote bado unataka tena?
Ana mapepo yule, kipaji kikubwa lakini haachi mizaha na kucheza na jukwaa.Morrison ni mchezaji ambaye angekuwa anaacha masiara, kujiangusha, kufanya maamuzi haraka pengo la luis angeliziba shida ya yule bwana sijui ameathiriwa na nini?
Hata ya 2018_19 haikuwa na upungufu wote huo.Huyu atakuwa anazungumzia Simba ya 2018/2019.
Inasikitisha sana aiseeHata ya 2018_19 haikuwa na upungufu wote huo.
Nilichojifunza wabongo ni watu wa lawama, na ili mtu uonekane unajua na una uchungu basi kosoa tu, bila kujali unajua au hujui we kosoa tu.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
mpaka kuwakilisha Taifa kwenye mashindano makubwa kama haya, sio jambo la mzaha. Ni bingwa mwewnzake Simba huyuUwezo wa hii timu ni mdogo Simba watashinda nyumbani na ugenini
Ushabiki tu usio na ukweli.Nyie mliangalia mpira wa wapi ?
Upo sahihi. Dharau zilituponza kwa Ud songo.mpaka kuwakilisha Taifa kwenye mashindano makubwa kama haya, sio jambo la mzaha. Ni bingwa mwewnzake Simba huyu
Simba ni mojawapo ya timu inayo create nafasi nyingi za kufunga kwenye ligi ya ndani hata kimataifa. Rejea mechi ya kaiser chief kwa mkapa magoli yaliyokoswa na washambuliaji wetu, mechi nyingi ambazo ni tough kwa simba matokeo yamekuwa yakiamuliwa na viungo au beki kuliko washambuliaji rejea mechi ya alhaly, ya yanga kule kigoma pamoja na ya ligi.Point watu wanaangalia mpira magoli tu bila kujua magoli yanapatikanaje ?
Unadhani inatokea hivyo kama bahati mbaya?Simba ni mojawapo ya timu inayo create nafasi nyingi za kufunga kwenye ligi ya ndani hata kimataifa. Rejea mechi ya kaiser chief kwa mkapa magoli yaliyokoswa na washambuliaji wetu..
Hakuna cha jwaneng wala Jumong tunawachapa nje ndani
Na ndiyo maana ukiibana simba kwenye kiungo hawapati matokeo sasa mechi za namna hiyo wakati mwingine ukiwa na forward wazuri wanaamua matokeo ambapo kwa simba kwa aina ya forward ile wanashindwa mechi za namna hiyo kipindi okwi yuko kwenye ubora wake alikuwa anaamuaUnadhani inatokea hivyo kama bahati mbaya?
Au ni mfumo wa kocha ndio unaleta hilo swala?
Falsafa ya simba ni kumiliki mpira toka eneo la kiungo, kiungo ndio silaha ya simba.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Hilo ni jukumu la kocha kubadilisha mfumo.Na ndiyo maana ukiibana simba kwenye kiungo hawapati matokeo sasa mechi za namna hiyo wakati mwingine ukiwa na forward wazuri wanaamua matokeo ambapo kwa simba kwa aina ya forward ile wanashindwa mechi za namna hiyo kipindi okwi yuko kwenye ubora wake alikuwa anaamua
Si kila goli creater lazima awe kiungo kuna magoli forward anaweza funga kwa kupewa paso na beki. Forward wa simba magoli wanayofunga yaliyo mengi ni ya kutafuniwaHilo ni jukumu la kocha kubadilisha mfumo.
Forwad ataamua mchezo kutokana na mipira ipi? Kama kiungo kimebanwa
Sent from my SM-M205F using JamiiForums