Mjue Konstantino Mkuu Kaisari wa kiroma ya kale

Petro hajawahi kuwa mromani katoliki achilia mbali huo Upapa mpaka umauti wake

Amepachikwa upapa ili kuwahadaa watu waamini kuwa ukatoliki uliasisiwa na mitume kitu ambacho ni uongo ukatoliki ni matokeo ya ukristo changanya na upagani ulioingizwa kwa ustadi mkubwa na ndio maana hautegemei tu biblia kama muongozo wao pekee bali na mapokeo ya mababu ndio maana utaona mambo kama rozari, watakatifu, sherehe za pasaka, krismasi, ibada za kuwaombea wafu nk haya yote hayana msingi wa kimaandiko maana ni mapokeo yao
 
Watu huku mnaandika msivyovijua au kunukuu mawazo ya watu wengine
 
Wakatoliki hawajawai kumtangaza kaisari yeyote kuwa mtakatifu bali waliwahi kufanya hivyo ni waothodoks wa mashariki na walimtangaza mtakatifu huyu costantino mkuu
 
constantine ndiye adui mkubwa wa watu mweusi kwa kutuletea program inayoitwa ukristo
 
Katika biblia jina mwamba linamtambulisha nani? Ni jina la nani kati ya Yesu na Petro
 
sjaelewa kwann mnatupa story za hawa watu hawatuhusu kabisaa yaan......sjui watu wa uhajemi na wazaram au wangindo wapi na wapi😱😱😱
 
sjaelewa kwann mnatupa story za hawa watu hawatuhusu kabisaa yaan......sjui watu wa uhajemi na wazaram au wangindo wapi na wapi😱😱😱
Kwani kuna kuna mtu amekupigia tarumbeta uje usome. Kwanini unajihangaisha kusoma na ku-comment mada kichefuchefu kwa moyo wako. Hauko sawa hapo juu.
 
Use ur common sense
Ok sawa nimekuelewa. Ni kweli alikuwa papa wa kwanza wa kanisa la romani katoliki lililoanzishawa na yesu. Mimi nilikosea nikaangalia kwenye biblia badaya ya katekisimo yenye ukweli zaidi ya bibilia.
 
Kitendo cha petro kufia roma ndio hapo ilipopatikana point kuwa ..kanisa la kwanza na kweli lilianzia roma..na petro aliyeambiwa na yesu kuwa yeye ndie petro na kwa yeye mwamba ndipo litajengwa kabisa ambalo halitashindwa!
Ila huyo petro mwenyewe aliuwawa na hao hao kina Nero..watawala wa roma!
Ukiangalia deep unaona kuwa Constantine alikubali ukristo kwa sababu za kisiasa na kimaslahi...hizo nyengine ni gia tu!
Na tuseme ule ukweli hata muundo na vitu watumiavyo ..namna wanavyoendesha ni ki maadili tofauti flani hivi ..jumlisha mapokeo ambayo ni mengi sana....
Sema watu wa zamani walikuwa na akili sana ...sana...
Hata yesu mwenyewe..aliuliwa kwa nyingi ya sababu za maslahi ya kiutawala..yaani siasa zaidi.!
Alisema yeye ni mfalme wa wayahudi..wakati huo hapo palikuwa na mtawala..unadhani nani atakubali hilo? Na alipita akifundisha watu kuhusu ufalme wa Mungu na yeye ndie njia ya kufikia huo ufalme...weeh alimvurugaje kaisari..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…