Mjue Konstantino Mkuu Kaisari wa kiroma ya kale

Mjue Konstantino Mkuu Kaisari wa kiroma ya kale

Ndio petro kafia Rome.
Mbona hiko cheo aliachiwa na yesu mwenyewe..? Soma hapa..
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Mathayo 16:18


Unajua historia ya petro..
?
Unajua papa ni nani?
mwamba ni nani hapo Petro au Yesu?
 
Ukweli utabakia kuwa ukweli,kilichoandikwa ndio sahihi
 
Sasa wapi hapo Yesu kamwambia kuwa utakuwa papa? NA nisehemu gani palipo andikwa kuwa kanisa hilo litakuwa ni Roman catholic?
21cfb8cc4fb63594fd614c743f8d5586.jpg
ulitaka iandikwe wapi? Biblia Takatifu sio Neno Pekee la Mwenyezi
Matthew16_19.jpg
[emoji117]
Umemuona Petro ni 1rst Pope hapo? [emoji115]
 
Mbona Moja ya Sifa ya ya kaisari Cositantino ya kubadilisha Siku ya ibada ya Siku ya saba( Jumamosi) na kuipeleka katika Siku ya kwanza ya juma ( jumapili) hujaitaja mkuu?
 
Ndio petro kafia Rome.
Mbona hiko cheo aliachiwa na yesu mwenyewe..? Soma hapa..
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Mathayo 16:18


Unajua historia ya petro..
?
Unajua papa ni nani?
Huo mwamba unaozungumziwa kujengwa kanisa ni Yesu mwenyewe na sio Petro
 
Katika biblia jina mwamba linamtambulisha nani? Ni jina la nani kati ya Yesu na Petro
Mwamba hapo ni Yesu mwenyewe

Haiwezekan kimantiki kanisa lijengwe juu ya Petro wakati Yesu ndio alikuja kufa kwa ajili ya kukomboa Wanadamu

So kanisa kujengwa juu ya Petro tena basi ujio wa Yesu Duniani utakuwa hauna maana na ni kumfanya Petro awe mkuu kuliko Yesu Kristo
 
Mwamba hapo ni Yesu mwenyewe

Haiwezekan kimantiki kanisa lijengwe juu ya Petro wakati Yesu ndio alikuja kufa kwa ajili ya kukomboa Wanadamu

So kanisa kujengwa juu ya Petro tena basi ujio wa Yesu Duniani utakuwa hauna maana na ni kumfanya Petro awe mkuu kuliko Yesu Kristo
Yesu ndio mwamba mwenyewe ila mnachoshindwa kuelewana ni kuwa hapo mwanzo petro aliitwa simoni
Yesu ndio alimbadilisha jina akamwiita kefa kwa kigiriki maana yake pia ni mwamba au jiwe
 
Back
Top Bottom