Mjue Laila Ali (The Iron Lady) malkia wa ngumi ulimwenguni

Mjue Laila Ali (The Iron Lady) malkia wa ngumi ulimwenguni

Mohamad Ali sio GOAT kwenye boxing.

Ila ni bondia mwenye nyota ya kupendwa na watu/bondia wa media.
Kama mabondia wakubwa duniani Mike Tyson, George Foreman, Lenox Lewis, Evander Holyfield, Joe Frazier, chama cha ngumi duniani kote na wanamichezo wengine wakubwa wanakubali kwa kauli zao wenyewe kuwa Muhammad Ali ni GOAT wa mchezo wa ngumi, wewe ni nani katika mchezo huo hadi upingane nao? Au itampunguzia nini katika nafasi aliyowahi kuwa nayo kabla ya kufa na anayoendelea kuwa nayo pia baada ya kufa?

Obvious inajulikana vyema kuwa kitendo cha kukataa kwenda kuuwa raia wasiokuwa na hatia kule Vietnam na misimamo yake aliyokuwa nayo dhidi ya ubaguzi wa rangi ulikuwepo umeshamiri nchini kwake miaka ile kulisababisha afungiwe kupigana na kusafiri kokote kwa miaka mitatu, pia ifanyike mbinu ya kumdhoofisha na kumuharibia sifa yake aliyokuwa nayo ili kumkomoa. Lakini hivyo vyote havikuweza kusaidia kumuondolea heshima yake yote aliyokuwa nayo.

Labda kilichochangia kumshusha kwa namna fulan ni ugonjwa wa Parkinson (ugonjwa wa kukakamaa mwili) aliokuwa nao, ambao ulimfanya muda mwingine kushindwa kurusha ngumi, kushindwa kukwepa ngumi, kushindwa kudansi nk. Kila mtu anajua kwamba Muhammad Ali kabla ya ugonjwa wa Parkinson kumvamia yeye ndio aliekuwa bondia mwenye uwezo wa kurusha ngumi kwa speed isiyoweza kuonekana, kukwepa ngumi kwa namna ambayo haijawahi kutokea, na kudansi katika ring kwa namna ya peke yake.

Ni Muhammad Ali pekee aliekuwa tayari kuingia ulingoni kupigana hata wakati alipokuwa anaumwa ugonjwa hatari wa Parkinson, lakini bado hakuweza kuangushwa kwa KO. Kama hauujui ugonjwa wa Parkinson ingia google ukausome alafu uje uone Muhammad Ali alikuwa na moyo gani wa kupigana akiwa katika hali ile.

Usiwe mtu wa kukimbilia kupinga kitu ambacho hukuwahi kukifuatilia mkuu. Wewe ukiwa unapata muda kidogo, jaribu kuwa unapitia pitia hizi video na baadhi ya interview za mabondia wakubwa na wanamichezo mbali mbali wakimuongelea Muhammad Ali. Kila anaeongea anakiri kwa ulimi wake mwenyewe kuwa toka ulimwengu wa ngumi uanzishwe na mpaka pengine utakapoisha, hatopatikana bondia mwenye uwezo wa kumiliki ring ya ngumi kama Muhammad Ali. Haya sio maneno yangu, ni maneno yao mwenyewe ndomaana nimekuwekea picha ili uone namna ya kuzipata video hizo na kufahamu kile ninachoandika hapa.

Muhammad Ali he is a Goat. Aliukuta mchezo wa ngumi una zaidi ya miaka 200, lakini watu hawaufuatilii wala kuelewa. Yeye akauweka kwenye ramani na kuufanyia mambo makubwa mno mchezo huo zaidi ya mtu yoyote.
 

Attachments

  • Screenshot_20220826-172228.jpg
    Screenshot_20220826-172228.jpg
    36.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20240216-142001.jpg
    Screenshot_20240216-142001.jpg
    453 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240229-085516.jpg
    Screenshot_20240229-085516.jpg
    361.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240229-085153.jpg
    Screenshot_20240229-085153.jpg
    391.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240229-090843.jpg
    Screenshot_20240229-090843.jpg
    361.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240229-085632.jpg
    Screenshot_20240229-085632.jpg
    453.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240229-083527.jpg
    Screenshot_20240229-083527.jpg
    319.9 KB · Views: 7
Huyu dada alimrithi baba yake mambo yake aisee. Sipati picture angekuwa mwanaume hali ingekuaje.
Correctly. Wewe inaonekana ni mfuatiliaji mzuri wa mambo ya ngumi ndomaana umeweza kumuelewa vizuri dada huyu.
 
pambaf wanatuharibia warembo wetu. mtoto mzuri anakua na ma misuli kama dume
Uzuri wa wenzetu hata apigane miaka 20 na awe mtu wa kupigwa vipi, kamwe hautokuja kumkuta na makovu kovu usoni kwake.

Chunguza mabondia wote wa kike na wa kiume. Hauwezi kuwakuta na kovu labda liwe la kuzaliwa nalo, au la utotoni kabla ya kuingia kwenye ulimwengu wa ngumi.
 
Kama mabondia wakubwa duniani Mike Tyson, George Foreman, Lenox Lewis, Evander Holyfield, Joe Frazier, chama cha ngumi duniani kote na wanamichezo wengine wakubwa wanakubali kwa kauli zao wenyewe kuwa Muhammad Ali ni GOAT wa mchezo wa ngumi, wewe ni nani katika mchezo huo hadi upingane nao? Au itampunguzia nini katika nafasi aliyowahi kuwa nayo kabla ya kufa na anayoendelea kuwa nayo pia baada ya kufa?

Obvious inajulikana vyema kuwa kitendo cha kukataa kwenda kuuwa raia wasiokuwa na hatia kule Vietnam na misimamo yake aliyokuwa nayo dhidi ya ubaguzi wa rangi ulikuwepo umeshamiri nchini kwake miaka ile kulisababisha afungiwe kupigana na kusafiri kokote kwa miaka mitatu, pia ifanyike mbinu ya kumdhoofisha na kumuharibia sifa yake aliyokuwa nayo ili kumkomoa. Lakini hivyo vyote havikuweza kusaidia kumuondolea heshima yake yote aliyokuwa nayo.

Labda kilichochangia kumshusha kwa namna fulan ni ugonjwa wa Parkinson (ugonjwa wa kukakamaa mwili) aliokuwa nao, ambao ulimfanya muda mwingine kushindwa kurusha ngumi, kushindwa kukwepa ngumi, kushindwa kudansi nk. Kila mtu anajua kwamba Muhammad Ali kabla ya ugonjwa wa Parkinson kumvamia yeye ndio aliekuwa bondia mwenye uwezo wa kurusha ngumi kwa speed isiyoweza kuonekana, kukwepa ngumi kwa namna ambayo haijawahi kutokea, na kudansi katika ring kwa namna ya peke yake.

Ni Muhammad Ali pekee aliekuwa tayari kuingia ulingoni kupigana hata wakati alipokuwa anaumwa ugonjwa hatari wa Parkinson, lakini bado hakuweza kuangushwa kwa KO. Kama hauujui ugonjwa wa Parkinson ingia google ukausome alafu uje uone Muhammad Ali alikuwa na moyo gani wa kupigana akiwa katika hali ile.

Usiwe mtu wa kukimbilia kupinga kitu ambacho hukuwahi kukifuatilia mkuu. Wewe ukiwa unapata muda kidogo, jaribu kuwa unapitia pitia hizi video na baadhi ya interview za mabondia wakubwa na wanamichezo mbali mbali wakimuongelea Muhammad Ali. Kila anaeongea anakiri kwa ulimi wake mwenyewe kuwa toka ulimwengu wa ngumi uanzishwe na mpaka pengine utakapoisha, hatopatikana bondia mwenye uwezo wa kumiliki ring ya ngumi kama Muhammad Ali. Haya sio maneno yangu, ni maneno yao mwenyewe ndomaana nimekuwekea picha ili uone namna ya kuzipata video hizo na kufahamu kile ninachoandika hapa.

Muhammad Ali he is a Goat. Aliukuta mchezo wa ngumi una zaidi ya miaka 200, lakini watu hawaufuatilii wala kuelewa. Yeye akauweka kwenye ramani na kuufanyia mambo makubwa mno mchezo huo zaidi ya mtu yoyote.
Mohamed ali alikua ni zaidi ya boxer, mwamba alikua entertainer na mjanja mjanja ndani na nje ya ulingo
 
Kama mabondia wakubwa duniani Mike Tyson, George Foreman, Lenox Lewis, Evander Holyfield, Joe Frazier, chama cha ngumi duniani kote na wanamichezo wengine wakubwa wanakubali kwa kauli zao wenyewe kuwa Muhammad Ali ni GOAT wa mchezo wa ngumi, wewe ni nani katika mchezo huo hadi upingane nao? Au itampunguzia nini katika nafasi aliyowahi kuwa nayo kabla ya kufa na anayoendelea kuwa nayo pia baada ya kufa?

Obvious inajulikana vyema kuwa kitendo cha kukataa kwenda kuuwa raia wasiokuwa na hatia kule Vietnam na misimamo yake aliyokuwa nayo dhidi ya ubaguzi wa rangi ulikuwepo umeshamiri nchini kwake miaka ile kulisababisha afungiwe kupigana na kusafiri kokote kwa miaka mitatu, pia ifanyike mbinu ya kumdhoofisha na kumuharibia sifa yake aliyokuwa nayo ili kumkomoa. Lakini hivyo vyote havikuweza kusaidia kumuondolea heshima yake yote aliyokuwa nayo.

Labda kilichochangia kumshusha kwa namna fulan ni ugonjwa wa Parkinson (ugonjwa wa kukakamaa mwili) aliokuwa nao, ambao ulimfanya muda mwingine kushindwa kurusha ngumi, kushindwa kukwepa ngumi, kushindwa kudansi nk. Kila mtu anajua kwamba Muhammad Ali kabla ya ugonjwa wa Parkinson kumvamia yeye ndio aliekuwa bondia mwenye uwezo wa kurusha ngumi kwa speed isiyoweza kuonekana, kukwepa ngumi kwa namna ambayo haijawahi kutokea, na kudansi katika ring kwa namna ya peke yake.

Ni Muhammad Ali pekee aliekuwa tayari kuingia ulingoni kupigana hata wakati alipokuwa anaumwa ugonjwa hatari wa Parkinson, lakini bado hakuweza kuangushwa kwa KO. Kama hauujui ugonjwa wa Parkinson ingia google ukausome alafu uje uone Muhammad Ali alikuwa na moyo gani wa kupigana akiwa katika hali ile.

Usiwe mtu wa kukimbilia kupinga kitu ambacho hukuwahi kukifuatilia mkuu. Wewe ukiwa unapata muda kidogo, jaribu kuwa unapitia pitia hizi video na baadhi ya interview za mabondia wakubwa na wanamichezo mbali mbali wakimuongelea Muhammad Ali. Kila anaeongea anakiri kwa ulimi wake mwenyewe kuwa toka ulimwengu wa ngumi uanzishwe na mpaka pengine utakapoisha, hatopatikana bondia mwenye uwezo wa kumiliki ring ya ngumi kama Muhammad Ali. Haya sio maneno yangu, ni maneno yao mwenyewe ndomaana nimekuwekea picha ili uone namna ya kuzipata video hizo na kufahamu kile ninachoandika hapa.

Muhammad Ali he is a Goat. Aliukuta mchezo wa ngumi una zaidi ya miaka 200, lakini watu hawaufuatilii wala kuelewa. Yeye akauweka kwenye ramani na kuufanyia mambo makubwa mno mchezo huo zaidi ya mtu yoyote.
Huyo bondia wa media na ana nyota ya kupendwa na watu ila hana u goat wowote labda umrank kwenye namba 10 huko na kuendelea .

Ukisema Muhammad Ali ni Goat ,Rocky Marciano tumuitaje?

Ali ana loses 5 ,Rocky Marciano amestaafu akiwa Lineal champion na undefeated heavyweight na hakuna heavyweight ambaye mpaka anastaafu hajawahi kupigwa zaidi ya huyu mwamba na rekodi yake ya mapambano 49, 43 ameshinda kwa K.O na ametoa sare Moja ,hajawahi kupigwa na amestaaafu kama lineal champion .

U lineal champion huo akaja kuupata Wldmir Klitschko kabla ya kuvuliwa na Tyfon Fury ambaye ndiye Lineal Champion mpaka sasa.
 
Hivi nyie mshawahi kumuona claressa shields
Hivi huyo laila mara ya mwisho kupigana ni lini???
Hance Mtanashati mwamba njoo
Huku utusaidie kuweka mambo sawa

Ova
 
Mohamed ali alikua ni zaidi ya boxer, mwamba alikua entertainer na mjanja mjanja ndani na nje ya ulingo
Kuna kijana ambae sio mfuatiliaji wa mchezo huu amekurupuka huko juu kudai kuwa Muhammad Ali sio GOAT. Yani yeye anajaribu kupingana na kina Tyson ambao wanakiri wenyewe kuwa Muhammad Ali alikuwa ni mkubwa zaidi ya mchezo wenyewe wa ngumi (boxer)
 
Jamaa anakuonea eti wewe mdini,kumbe sio
Huyo jamaa ni mdini wa kupitiliza. Nilienda kumjibu kwa uzi wake. Lakini baadae nikaamua niachane nae maana nimegundua kuwa anataka nitumie muda mwingi kubishana na yeye ili kujaza comment kule alikoanzishia uzi.

Mimi thread zangu huwa naandika bila kuangalia dini, rangi, nchi wala jinsia ya yule ninae muandika. Lakini mwenzangu kumbe anamendea mendea kuangalia kama nimemtaja mtu wa dini fulan ili na yeye apate sababu ya kuanzishia uzi. Na akiona sababu hamna basi adanganye ilimradi na yeye aandike 😂😂😂
 
🤣🤣🤣 mbona nje ya mada sasa?
Mnachosha sana umekaa nyumbani unasikia nyumba ya Pili jitu zima linajiliza fyooofyoooofyoooo unajiuliza kuna nini kuja kushtuka kumbe limekalia mti huko linajiliza mnaboa mbaya zaidi ndani halipo na Mwanaume linapiga mkonobao
 
Mnachosha sana umekaa nyumbani unasikia nyumba ya Pili jitu zima linajiliza fyooofyoooofyoooo unajiuliza kuna nini kuja kushtuka kumbe limekalia mti huko linajiliza mnaboa mbaya zaidi ndani halipo na Mwanaume linapiga mkonobao
🤣🤣🤣🥵aisee.....nimekoma aisee
 
Huyo bondia wa media na ana nyota ya kupendwa na watu ila hana u goat wowote labda umrank kwenye namba 10 huko na kuendelea .

Ukisema Muhammad Ali ni Goat ,Rocky Marciano tumuitaje?

Ali ana loses 5 ,Rocky Marciano amestaafu akiwa Lineal champion na undefeated heavyweight na hakuna heavyweight ambaye mpaka anastaafu hajawahi kupigwa zaidi ya huyu mwamba na rekodi yake ya mapambano 49, 43 ameshinda kwa K.O na ametoa sare Moja ,hajawahi kupigwa na amestaaafu kama lineal champion .

U lineal champion huo akaja kuupata Wldmir Klitschko kabla ya kuvuliwa na Tyfon Fury ambaye ndiye Lineal Champion mpaka sasa.
Rocky alikuwa anapigana na mabondia wabovu mno, plus na rangi yake ilimbeba kwa kipindi hicho. Wacheza ngumi waliokuwepo enzi zake na wale wa baada ya enzi zake kama kina Tyson Furry, Lenox Lewis, Evander, Mike Tyson sio wajinga kukubali kuwa Ali ni GOAT, tena wameenda mbali kwa kusema kuwa Muhammad Ali alikuwa ni zaidi ya boxer.

Ni sawa sawa ni Pele kwenye mpira au Bob kwenye reggae, aliwakuta kina Peter Tosh wakiwa washafanya mambo makubwa, lakini Bob akaja na mabadiliko ya pekee, na yenye tija kuliko waliomtangulia.
 
Back
Top Bottom