Jidanganye tuTetes zasema..Tanzania hata sku1 haiwez vamiwa na alshabab sbabu,mabos wa alshabab wote wanaish Tz,na wanaipenda Tz sana,weng wamewekeza kariakoo ,na pia biashara ya usafirishaj.magar mabasi makubwa etc..makao yao makuu ni hapa,so hata sku1 huwez skia wame attack bongo..
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 997026
Huyu jamaa anafedha kweli kweli na amewekeza Kuanzia TanzaniaZambia na Malawi yeye ndio kwa mujibu wa Intelijensia anafadhili Al Shabaab popote pale Duniani
Mujahidi Abdwali Gaas billionia la kutupwa.
Hapa Tanzania amewekeza kwenye Biashara za Matair,huko Zambia amewekeza kwenye usafirishaji Uganda amewekeza kwenye Vituo vya mafuta.
Kenya wamemshtukia siku nyingi.
View attachment 997106
Mtaalam wake wa mambo ya Vilipuzi na Mpelelezi wake mkuu ni huyu Mohammed Harshi.
Huyu jamaa husimamia na kufuatulia misheni zote ili kwamba ahakikishe maximum demage imefanyika.
Aiseeee, kweli ndo maana wachungaji na maaskofu wanafungwa Sana kwa mashtaka ya ugaidiMgunduzi wa Suicide vest ni Mkiristo wa Kitamil Tigers huko Sri lanka wakati wa vita ya Christian Tamils na Sinhal Budhas hapa Suicide Bomber wa Kikristo akiwa amejilipua ndani ya Basi
View attachment 997302
Angalia minofu.
Wewe keep Calm and say Bwana asifiwe.
Hii dunia tumezaliwa ina migogoro na tutakufa tutaiacha migogoroAiseeee, kweli ndo maana wachungaji na maaskofu wanafungwa Sana kwa mashtaka ya ugaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee, kweli ndo maana wachungaji na maaskofu wanafungwa Sana kwa mashtaka ya ugaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja limetokaa, Zururaa tuuuView attachment 997080
Hivi na hili bado lipo hai au wa Kenya ama wamarekani walishapasua kichwa chake na kumuwahisha moja kwa moja FIRDAUS Kwenda kuwashugulikia wale mabikira? maana siku hizi yale mavideo yake ya kijinga siyaoni mtandaoni
Unadhani ni kwanini hato kubali??? Na unadhani ni sasa kukataa hizo sharia?Hakuna muisilamu wa leo atakayekubali Islamic Sharia labda kwa vitisho na mauwaji.
Wale Waislamu mnao waita wenye itikadi kali wanamuabudu Allah (sw) na sio Mungu. Kuna mawaidha moja niliwahi kusikiliza kuhusu hiyo ishu, sheikh moja wa Mwanza anaitwa Abuu Ismail ameelezea vizuri mno tofauti kati ya Mungu na Allah (sw). Huyo sheikh sijui siku hizi yuko wapi aiseeNajiulizaga weeee; hivi wanapataga nini kwa kuua watu hivyo!? Najiulizaga weeee, kwanini Waislamu wengi humu hua wanawaunga mkono!? Najiulizaga weee, hivi yale maneno ya Yesu kwamba, "mwivi (akiwa na maana ya shetani) haji ila kuua, kuchinja na kuharibu" hua yana maana ya hawa na dini yao? Ukweli sijawahi kupata JIBU kabisa. Mkristo ana hubiri hivi, "USIUE" wakati magaidi kwa jina la dini wana hubiri, "UENI kafiri". Huyu Mungu lazima sio mmoja kama tunavyo danganywa
Ni ngumu sana na ziko wazi kitumika kuonea na kubagua kwa Mfano Kuna Kisa cha Msudani ambae ni muafrika mweusi alikuwa anafanya kazi ya Kuerekebisha AirCondition kwenye jengo moja lilikuwa halina Lifti watu wote wanatumia ngaziUnadhani ni kwanini hato kubali??? Na unadhani ni sasa kukataa hizo sharia?
MGC
Ni bora kukaa kimya kama hujui jambo husika.Kwanini iwe Kenya tu na si Tanzania??kuna kitu nyuma ya pazia kwa Kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna unacho jua, ni heri utulie tu mkuu.Kwa nini isiwe Uganda na Burundi kwa nini isiwe Ethiopia na Djibouti kuna maswali mengi Nchi ambazo hajawekeza huyu bwana ndio zinashambuliwa.
Ni kheri kutumia hekima kuliko kutumia mihemko ya kijinga tu. Ni wapi ulisikia kuwa huko peponi kuna mashamba ya Mirungi?Hawa Alshababu wa Vijijini huambiwa wakjilipua huko peponi watapata mito ya pombe wasichana 72 na mashamba ya Mirungi.
Ndivyo wanavyoambiwa hawa alshababu kuwa Wasichana Bikra za kutatua mwenyewe 72 mito ya Pombe ya Ajabu na Kila kijana atakuta Shamba la Mirungi.Ni kheri kutumia hekima kuliko kutumia mihemko ya kijinga tu. Ni wapi ulisikia kuwa huko peponi kuna mashamba ya Mirungi?
MGC