Mjue Mastermind wa Al Shabaab

Mjue Mastermind wa Al Shabaab

Lakini hakuna video ya makafiri wa kikristo wakiua waislamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga ni mzigo
The Sword of Crusaders
2014_11_18_PUBpredatorfiringmissile4.jpg
 
Kila dini inauwa dini nyingine ukweli ndio huo!..ni ugomvi wa Sadaka.
 
View attachment 997026
Huyu jamaa anafedha kweli kweli ana na amewekeza Kuanzia TanzaniaZambia na Malawi yeye ndio kwa mujibu wa Intelijensia anafadhili Al Shabaab popote pale Duniani
Mujahidi Abdwali Gaas billionia la kutupwa.
Hapa Tanzania amewekeza kwenye Biashara za Matair,huko Zambia amewekeza kwenye usafirishaji Uganda amewekeza kwenye Vituo vya mafuta.
Kenya wamemshtukia siku nyingi.
View attachment 997106
Mtaalam wake wa mambo ya Vilipuzi na Mpelelezi wake mkuu ni huyu Mohammed Harshi.
Huyu jamaa husimamia na kufuatulia misheni zote ili kwamba ahakikishe maximum demage imefanyika.

taarifa yako haina chanzo.
 
Mimi napinga kuwa sababu kubwa ya Alshabab kuibuka na kuivamia Kenya ni kwamba jeshi la Kenya waliweka ngome Somalia. Je, hiki kikundi kiliundwa kabla au baada ya jeshi la Kenya kuingia Somalia?
Mwaka juzi kijana wa Kitanzania jirani kabisa na tulipokuwa tumepanga aliuwawa Kenya akiwa kama mwanamgambo wa Alshabab, je, huyu ana uchungu gani juu ya ardhi ya Somalia?
Kijana huyu tuliona safari hazimwishii, akijifanya anakwenda nje kusoma kumbe kalikuwa kagaidi.
Hiki kikundi kina interest yake ya kiimani. Hata Kenya wakiamua kuyaondoa majeshi yake wataendelea kuvamiwa tu. Na wakijieneza zaidi nchi jirani zingine zikae chonjo, hiki ni kikundi cha wahuni wasiouthamini uhai wao
Kwanini iwe Kenya tu na si Tanzania??kuna kitu nyuma ya pazia kwa Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 997026
Huyu jamaa anafedha kweli kweli ana na amewekeza Kuanzia TanzaniaZambia na Malawi yeye ndio kwa mujibu wa Intelijensia anafadhili Al Shabaab popote pale Duniani
Mujahidi Abdwali Gaas billionia la kutupwa.
Hapa Tanzania amewekeza kwenye Biashara za Matair,huko Zambia amewekeza kwenye usafirishaji Uganda amewekeza kwenye Vituo vya mafuta.
Kenya wamemshtukia siku nyingi.
View attachment 997106
Mtaalam wake wa mambo ya Vilipuzi na Mpelelezi wake mkuu ni huyu Mohammed Harshi.
Huyu jamaa husimamia na kufuatulia misheni zote ili kwamba ahakikishe maximum demage imefanyika.
Mbona hutaji link yake na Rwanda? Au unajitia upofu hizo barges alizovaa?
 
Nina video ya sheikh anasema Ni ruksa kuuwa makafiri ili upate thawabu peponi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mgunduzi wa Suicide vest ni Mkiristo wa Kitamil Tigers huko Sri lanka wakati wa vita ya Christian Tamils na Sinhalese Budhas hapa Suicide Bomber wa Kikristo akiwa amejilipua ndani ya Basi
gettyimages-72181959-612x612.jpg

Angalia minofu.
Wewe keep Calm and say Bwana asifiwe.
 
Back
Top Bottom