Mjue Mastermind wa Al Shabaab

Ndivyo wanavyoambiwa hawa alshababu kuwa Wasichana Bikra za kutatua mwenyewe 72 mito ya Pombe ya Ajabu na Kila kijana atakuta Shamba la Mirungi.
Tafadhali naomba unipe japo Aya inayo onyesha kuwa watapewa mashamba ya Mirungi

MGC
 
OK mkuu endelea kuropoka kadri uwezavyo

MGC
Wewe kama Mfuasi wa Hao wapuuzi kwa taarifa yako huu uzi kaa nao mbali.
Huu uzi Sio wa Extremist kutoka Dini yoyote.
 
Magaidi hutumia mpaka viumbe visivyokuwa na hatia kama hapa kwenye hii picha ISIS wakitumia Chickenbomb baada kukimbiwa na na watu wenye nyege za wasichana 72
 
Wewe kama Mfuasi wa Hao wapuuzi kwa taarifa yako huu uzi kaa nao mbali.
Huu uzi Sio wa Extremist kutoka Dini yoyote.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza mnene mno. Endelea kuwaza ujinga tu.

MGC
 
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza mnene mno. Endelea kuwaza ujinga tu.

MGC
Nyinyi mujahidina huwa mnajifanya kujua sana wakati hebu wewe jifunge bomu ujilipue tuone kazi kukaa mitandaoni kutafuta Victims mitandaoni lakini ninyi aaa!!! Mnakula gahwa na kujamba jamba.
 
Nyinyi mujahidina huwa mnajifanya kujua sana wakati hebu wewe jifunge bomu ujilipue tuone kazi kukaa mitandaoni kutafuta Victims mitandaoni lakini ninyi aaa!!! Mnakula gahwa na kujamba jamba.
Dini mumeifanya kama jela
 
Kichwa cha habari na maelezo haviko wazi vya kutosha.
Huyu ndie mwanzilishi? Kama sio nani mwanzilishi?
Huyu ndie mfadhili mkuu? Ina maana interpol wamemshindwa?
Huyu ndie CEO, comanding officer?
Anategemea kunufaika na nini?
Anaendeshaje biashara kama ni mtu anayetafutwa?

Familia yake iko wapi? nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahy mkuu huyo.anaishi wap

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Somalia anatumia fedha zake kuwafichaAlshaabab kwenye milima halafu wakianza kuhoji anaongea na Raisi ambaye ni Alshabaabu mwenzake na kuita Drones za wamarekani ili kuuwa wale alshabaabu wabishi.
Kuna mambo yamejificha sana huyu jamaa nimeshawatahadharisha nae.
 
Mleta uzi ni mpumbavu fulani anae endeshwa na mihemko ya ujinga ulio kichwani mwake. Anadhani wote ni wajinga tuamini ule upuuzi alio andika.

MGC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…