Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

Risasi unaijua au unaisikia??? πŸ€”
we MBOKOO unamjua au unamsikia? Eleweza kuwa alikuwa siyo mtu yule, panga halmkati, ngumi Kama unampapasa
 
Kuna jamaa mitaa ya mbeya simike huko alikua anaitwa jairo na mwenzie chanda,alafu umkute na semeni hao sasa huyo jamaa wa kigamboni mngekuta kavalishwa kanga na piko kachorwa kabisa.hata waliishia wapi sijui.

Singida huko kuliku na Tembo Senge mtoto wa mtemi Senge na Mdogo wako akaibuka badai Selemani Senge hao watu nyie sikieni tu sijui Nao sijui wako wapi.
 
Huyo jamaa Kuna siku alikianzisha pale club kakala ilikuwa balaa. Alikuwa anakunywa zake maji polisi wakaona amewadharau Sana, yaani anatafutwa halafu anajipitisha maeneo yao. Nilikiwepo ile siku polisi wawili walikimbizwa hospital na mbokoo akasepa. Lile tukio lilliwapandisha polisi hasira Sana.
 
Nakazia
 
kwa waliokulia Kimara ya Dar enzi hizo Kuna jamaa aliitwa Omary Kundinga,..alisumbua Sana kipindi hicho miaka ya 90 Hadi 2000 mwanzoni
 
we MBOKOO unamjua au unamsikia? Eleweza kuwa alikuwa siyo mtu yule, panga halmkati, ngumi Kama unampapasa
Alikuwa anazo nguvu na uwezo kama kuliko Tembo? anaweza kupambana na Simba peke yake??, anaweza kuua Nyati kwa mikono mitupu?

Hao wanyama wote, Tembo, Simba na Nyati mbele ya risasi hawakohoi sembuse Mtu mmoja mwenye Sifa kidogo za ajabu (peculiarity) ndiye atambe mbele ya Risasi?

Kuna mnyama mmoja, nadhani ni "honey Badger", huyu ukimpiga mkuki au Panga au kitu chenye ncha kali hakitoboi ngozi yake, huyu ndiye mnyama mwenye ngozi ngumu kupenyezeka kuliko wanyama WOTE,, lakini mbele ya Risasi ngozi yake haifui dafu, Risasi inapenya kama kupenya kwenye karatasi.

Risasi ni habari nyingine, huyo Mbokoo anaweza kutodhuriwa na vitu vingine kama kisu, panga nk, lakini sio Risasi, Risasi inapenya katika mwili wa binadamu yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…