Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

nyie watu wa Dar siwaelewagi kama mlikua mnawakimbia komandoo yoso watoto wadogo. Ndio maana ata wasanii wenu walivyowazingua wasanii wa Chuga wakaamua kuja Dar hukohuko kuja kuwatuliza!

Dar hakuna kitu hakuna wababe ni story tu tena huko Kigamboni, Kinondoni, Magomeni nk. naweza tembea mwenyewe vijana wamekua walaini sana
 
dmkali
Mlaleo
Mmeandika story ni kama vile matukio yalifanyika last week.

Kwa nn msielzee siku/mwaka wa matukio.

Dmkali ata hajamalizi kueleza kama huyo alishakufa,alishazeeka,ni mlemavu au alifungwa maisha gerezani baada ya kuhasiwa.
story haijitoshelezi ina ongeza mlundikano wa maswali.
Ma story teller mzingatie hayo jmn.
History bila tarh au mwezi au mwaka ni udaku.
Vijana wa Dar wababaishaji tu wababe wako Mbeya, Mwanza mara Chuga kwingine kote story.
 
Maisha yanakwemda kasi sana siku hizi watu wame staarabika sana
 
Yaani watu wa Arusha mnanifurahisha hapo tu, mkivuta mnadanganyana nyinyi ni wajanja wa TZ ha ha
nyie watu wa Dar siwaelewagi kama mlikua mnawakimbia komandoo yoso watoto wadogo.ndio maana ata wasanii wenu walivyowazingua wasanii wa chuga wakaamua kuja dar hukohuko kuja kuwatuliza!

Dar hakuna kitu hakuna wababe ni story tu tena huko kigamboni kinondoni magomeni nk.naweza tembea mwenyewe vijana wamekua walaini sana
 
Alikuwa anazo nguvu na uwezo kama kuliko Tembo? anaweza kupambana na Simba peke yake??, anaweza kuua Nyati kwa mikono mitupu?

Hao wanyama wote, Tembo, Simba na Nyati mbele ya risasi hawakohoi sembuse Mtu mmoja mwenye Sifa kidogo za ajabu (peculiarity) ndiye atambe mbele ya Risasi?

Kuna mnyama mmoja, nadhani ni "honey Badger", huyu ukimpiga mkuki au Panga au kitu chenye ncha kali hakitoboi ngozi yake, huyu ndiye mnyama mwenye ngozi ngumu kupenyezeka kuliko wanyama WOTE,, lakini mbele ya Risasi ngozi yake haifui dafu, Risasi inapenya kama kupenya kwenye karatasi.

Risasi ni habari nyingine, huyo Mbokoo anaweza kutodhuriwa na vitu vingine kama kisu, panga nk, lakini sio Risasi, Risasi inapenya katika mwili wa binadamu yeyote.
Yaani aliposema risasi ilikuwa haipenyi nikajua hii kamba tu, hivi risasi mnaisikia au mnaijua? Risasi moja tu inamuangusha tembo na nyati itakiwa mwili wa binadamu?
 
Nyingine fix hizi, nimeishi kigamboni miaka dahari wa dahari, kilometa 7 hivi kutoka kigamboni(kivukoni). sijawahi kumsikia angekuwa na balaa hilo nisingekosa hata kumsikia.
Ukishasikia story kwamba alikuwa akipigwa risasi haiingii ujue kabisa hizo ni fix tupu, usicheze na manati ya mzungu Ile ni habari nyingine
 
Ukishasikia story kwamba alikuwa akipigwa risasi haiingii ujue kabisa hizo ni fix tupu, usicheze na manati ya mzungu Ile ni habari nyingine
kwahiyo unapinga nini wewe!
 
Back
Top Bottom