Aliwatesa nyie peke yenu huko mabatini, mitaa yetu alikua anakuja na heshima zote.. doi kawa mpole kama sio yeye vile aliekuwa anajifanya kipande cha mtuRock City kulwa sakala alitesa Sana enzi hizo.
Alishatangulizwa mda tuheh yupo au naye katangulizwa
Sawa mkuu.Yes kuamini ni maamuzi tu ila hayabadili ukweli kuwa hao watu wapo na wanatumia nguvu za kishirikina kutimiza hilo.
Juma Chidy, Lusako n.k Kulwa aliibuka Baadae watu washaacha hayo mambo ya makundi.. mara mia Gody FireWamapana, Abdul govi, n.k
hehHuyo jamaa Kuna siku alikianzisha pale club kakala ilikuwa balaa. Alikuwa anakunywa zake maji polisi wakaona amewadharau Sana, yaani anatafutwa halafu anajipitisha maeneo yao. Nilikiwepo ile siku polisi wawili walikimbizwa hospital na mbokoo akasepa. Lile tukio lilliwapandisha polisi hasira Sana.
Waambie hawa raia wanaoisikia keko kwenye story tu ila hawajafika.Keko unaporwa, na bado kipigo unapokea, tena cha hatari kbs
zanzibar haina tofauti na sehemu zingine za tanzania bara kuna baadhi ya sehem zipo salama ila kuna zingine zimejaa ushenzi na uhalifu mwingWewe kama ni mhalifu usijaribu kutia maguu yako Zanzibar, nakuhakikishia hautatoka labda ukiingia unyooshe mikono kuwa unabadilika. Cheza michezo yako bara na sio hiki kisiwa.Muulizeni Makame atawaambia sababu...
mkuu hao jamaa wanaotetea huo ujinga wanakupotezea mda, siku wakisikia tu hata mlio wa risas wanaharaMkuu, nakwambia HAIWEZEKANI mtu apigwe risasi, mfano risasi kutoka bunduki ya AK 47 (Avtomatik kalashnikova/Automatic kashnikov)) na awe salama hayupo mtu huyo.
Kinachofanyika ni nguvu za giza, so to say, zinazotia giza uhalisia, hilo giza ndiyo nguvu inayopoteza target na mtu anashindwa kulenga target halisi, ni hizo nguvu ndizo zinafanya kazi kwa namna hiyo na sio vinginevyo.
Na hata hao CIA wengi wao hawana elimu za aina hiyo ndiyo maana wataeleza jinsi wewe unavyoekeza.
Hakuna dawa ya kuchanja, kunywa, kujipaka, kutambika au whatever ambayo mtu anaweza kunywa na akae mbele ya AK 47 afyatuliwe rissasi na apone hakuna, hakuna!!!.
Wapo watu wanaoweza kukaa mbeke ya Bunduki AK 47 na wakafyatuliwa risasi na wakaonekana kwamba risasi haikuwapiga---- hapo sasa ni mazingaimbwe, yaani yule anayepiga hiyo bunduki anakuwa kazugwa, yeye anaona mtu mbele yake kumbe hyu mtu yupo "off target" ndiyo maana risasi haikumpata sasa hapo ndipo nguvu ya huo uganga/ uchawi/ dawa inaposemwa kwamba imezuia risasi, ni viini macho tu sio reality.
Elimu ya viini macho ipo na inaweza kutumika katika mambo mbalimbali ikiwemo pamoja na jambo hilo, lakini mechanism yake ni kama hivyo nilivyokueleza na sio kwamba eti mtu akae mbele ya Bunduki /risasi, mfano ya G3 ambayo ina nguvu sana kuliko ya AK 47 na awe salama, NEVER EVER will such happen. itakutoboa vibaya na kutokeza upande wa pili na kuacha zinga la shimo, usije ukadanganywa eti kuna dawa ya kujipaka, kunywa, kuoga nk, eti itakukinga risasi isikuingie.
mkuu hao jamaa wanaotetea huo ujinga wanakupotezea mda, siku wakisikia tu hata mlio wa risas wanahara
kiuhalisia itokee leo hii hao CIA na hao waganga wawape hizo dawa na wewe upewe AK 47 ujasiri wa kusimama mbele yako hawatakuwa nao
Yaani CIA hawana elimu ya black magic? Are you serious mkuu..... Kweli hujui kuhusu project MK ultra ilivyotumia exorcism na telepathy? Je yale ni mazingaombwe. Nilishauri just google Dr Mulholland uone kitabu chake kuhusu mafunzo ya dark arts jeshini utaelewa nachokisema.Na hata hao CIA wengi wao hawana elimu za aina hiyo ndiyo maana wataeleza jinsi wewe unavyoekeza.
Acha jamaa abhishe, Kuna mwizi flan tulishawahi kupiga mpaka tukachoka wenyewe, tukaamua kumuacha tu, mtu ambaye anabisha haya hajawahi tu shuhudia, ila ya Risasi siko sure sana maana sijawahi ona, vingine sawaAcha ubishi mkuu jambo usililolijua ni sawa na usiku wa giza.me hii pia ya panga,risasi na vitu vyovyote vyenye ncha kali haviingii kwangu.na ili kuhakiki dawa kama inafanya kazi unatestiwa hapo hapo hapo na upanga inahitaji ujasiri.ila hivi vitu vipo mwenyewe mwanzo nilikuwa tomaso kama wewe.bahati mbaya sana hadi uipate hii kitu uwe na conection.
Shida wabongo hatupendi kusoma ndio maana kila kitu kukosoa tu. Kuna Project inaitwa Mk often na Mk ultra.mkuu hao jamaa wanaotetea huo ujinga wanakupotezea mda, siku wakisikia tu hata mlio wa risas wanahara
kiuhalisia itokee leo hii hao CIA na hao waganga wawape hizo dawa na wewe upewe AK 47 ujasiri wa kusimama mbele yako hawatakuwa nao
Yaani CIA hawana elimu ya black magic? Are you serious mkuu..... Kweli hujui kuhusu project MK ultra ilivyotumia exorcism na telepathy? Je yale ni mazingaombwe. Nilishauri just google Dr Mulholland uone kitabu chake kuhusu mafunzo ya dark arts jeshini utaelewa nachokisema.
Kuhusu kiini macho sio kweli nmekupa mfano wa Mai Mai huko Ituri, kamanda wao akiwa anatembea risasi alipigwa kabisa kifuani zinapenya ila alipopanda juu ya gari na kukimbia alipopigwa kifuani akauawa. Kwahyo trick ilikua miguu ikigusa ardhi tu anakua brickwall kwa risasi kabisa.
Ambacho nashangaa kma kuna watu wanaweza potea,kutembea juu ya maji,kupaa,kuvunjaa mnyororo kwa maneno tu, kwanni mnagoma hamna anayeweza kudefy a point blank bullet?
Yaani CIA hawana elimu ya black magic? Are you serious mkuu..... Kweli hujui kuhusu project MK ultra ilivyotumia exorcism na telepathy? Je yale ni mazingaombwe. Nilishauri just google Dr Mulholland uone kitabu chake kuhusu mafunzo ya dark arts jeshini utaelewa nachokisema.
Kuhusu kiini macho sio kweli nmekupa mfano wa Mai Mai huko Ituri, kamanda wao akiwa anatembea risasi alipigwa kabisa kifuani zinapenya ila alipopanda juu ya gari na kukimbia alipopigwa kifuani akauawa. Kwahyo trick ilikua miguu ikigusa ardhi tu anakua brickwall kwa risasi kabisa.
Ambacho nashangaa kma kuna watu wanaweza potea,kutembea juu ya maji,kupaa,kuvunjaa mnyororo kwa maneno tu, kwanni mnagoma hamna anayeweza kudefy a point blank bullet?
hii HAPA IMEWEZEKANAJE? NAOMBA JIBUKwanza mkuu ni lazima uelewe hakuna jambo lolote liwe black magic or whatever linaloweza ku defy laws of Physics, inatakiwa unieleze inakuwaje baadhi ya vitu risasi hazipenyi na baadhi risasi zinapenya?? Inatakiwa unieleze inakuaje mtu huyo anapotembea ardhini risasi zisimuingie once alipopanda gari risasi ikamuingia, haya yote ni lazima yafafanuliwe ki sayansi (physics).
Mimi nasema, kama huyo mtu uliyemtaja hakuwa kavaa Bullet vest basi narudi pale pale kwamba ni wazi alipokuwa anatembea alikuwa na nguvu ya kuwafanya wapiga risasi wawe "off target", wao waliona wapo "on target" kumbe sio!!, na alipofika kwenye gari lake bila shaka gari lilikuwa halina kinga au kama ulivyosema, kitendo cha kutoa miguu ardhini hiyo kinga ikawa "nullified" na akawa exposed (akawa on target) ndipo akapigwa risasi.--- hakuna cha ajabu hapo ndugu zaidi ya hicho ninachokuambia!!!, hakuna kinga, dawa, zindiko nk, zinazoweza kuuimarisha (fortify) mwili wa mtu ukawa mgumu kuliko chuma na risasi isipenye, hakuna.
Kuna bunduki zina nguvu kubwa mara kadhaa kuliko, mfano, AK 47, G3 ambazo hizo zimeundwa kwa ajili ya kuua watu tu (bunduki za kijeshi) kuna bunduki za kuua Tembo, nyati rifles au Shot gun nk, sasa mpige mtu bunduki ya aina hiyo atakuwa salama???.
"Off target" principle ndiyo inayofanya kazi hakuna cha ajabu mkuu, msingi wa hiyo principle ndiyo msingi wa wachawi kuchukua misukule, nyinyi mnakwenda kumzika ndugu yenu mkidhani ni maiti kumbe mnaenda kuzika mgomba ndugu yenu mumemuacha hai ndani na anachukukiwa msukule, nyinyi mnakuwa mmefungwa macho (sighting power) na ndivyo hivyo walengaji wanakuwa wamefungwa macho na wanaona kitu kipo "on target" kumbe kipo "off target" na hata inawezekana huyo jamaa akipigwa na "stray bullet" kipindi anapanda gari yake.
Kwanini watu tunaweza kuona mchana na hatuwezi kuona usiku??
Macho ya binadamu yanaona vitu baada ya vitu hivyo kuakisi nuru inayogonga kwenye hivyo vitu, nuru ni nishati bila nuru macho yetu hayawezi kuona, nuru tunayoweza kuona ni ile iliyokuwa ndani ya "visible range of frequencies " maana yake ni hii kwamba vipo vitu au rangi nyingi sana hapa duniani hatuzioni sababu frequencies zake zipo beyond (ultra or infra) the range of visible frequencies, sasa waganga, Wachawi or whatever name you can call them, wanayo elimu ya kuchezea hizo frequencies kwa kutumia madawa au nguvu fulani (nguvu ya giza) inayotia macho GIZANI na mtu akashindwa kugundua uhalisia wa mambo, na hayo ndiyo huitwa mazingaombwe yamo ndani ya elimu pana sana ya Hypnotism (mesmerism).
Narudia tena HAKUNA MTU AWEZAYE KUSIMAMA MBELE YA BUNDUKI NA IFYATULIWE NA ATOKE SALAMA, na ninakuasa asije mtu na akakudanganya na ukakubali.
Risasi inatoka ikiwa na energy kubwa kuweza kupenya watu 5-6 waliojipanga in line na kuwauuwa wote kwa pamoja.
hii HAPA IMEWEZEKANAJE? NAOMBA JIBU
Mkuu unajua shida yako unataka mambo ya kiroho yafafanuliwe kisayansi kitu ambacho hakipo. Mtu akitokewa na majini au akiuawa kwa kusemezewa maneno tu nayo unaelezeaje kisayansi? Kuna watu wanashushwa ziwa victoria na mabegi ni physics gani imetumika pale? Embu nielezee kisayansi kma unavyoelezea migomba kuzikwa.Kwanza mkuu ni lazima uelewe hakuna jambo lolote liwe black magic or whatever linaloweza ku defy laws of Physics,
Mkuu unajua shida yako unataka mambo ya kiroho yafafanuliwe kisayansi kitu ambacho hakipo. Mtu akitokewa na majini au akiuawa kwa kusemezewa maneno tu nayo unaelezeaje kisayansi? Kuna watu wanashushwa ziwa victoria na mabegi ni physics gani imetumika pale? Embu nielezee kisayansi kma unavyoelezea migomba kuzikwa.
Ndio maana nikakurefer kasome hiyo Manual ya CIA imeelezea A to Z na juu ya mtaalamu Dr Mulholland ambaye alikua na uwezo wa kuyeyusha mtu akatokea eneo jingine sasa ningeomba ukisome alafu u-debunk hoja zao zote? maana inaonekana CIA wanapotoshana kwenye ripoti zao kuhusu uwepo wa majasusi hao.
Pia nmekueleza hapa Hao Mai Mai wapo DRC na matukio yao yapo documented sana kuanzia Ituri hadi Katanga na hapo utagundua je shida ni shabaha kupindishwa au position ya mlengwa huwa ni pale pale ila risasi inafubaishwa?
Kwahiyo tusiendelee na hya mabishano mpka utakaposoma hiyo Manual ya biggest spy network duniani ili tuwe at par.
Twiiiiiiinnnn[emoji16][emoji16]
Mtoa maada umetudanganya risasi haipiti nakataaAlifahamika kwa jina la MBOKOO!
Alikuwa kibaka mwenye miraba minne, Ambaye alikuwa kero kubwa kwa wakazi wa Kigamboni!
Taarifa za uhalifu wake ziliwahi kuwa kero zilivyoripotiwa kila siku kwa matukio tofauti kiasi Cha kujaza REPORT BOOK (RB) ya polisi kila kuchwao akituhumiwa kuhusika na uharifu mbalimbali.
UKWELI NI KWAMBA MBOKOO ALISTAHILI KUNYONGWA HADHARANI
- Inaelezwa kwamba MBOKOO alikuwa na uwezo wa kukaba hata kikundi cha watu kwa mpigo akiwa peke yake.
- Kutokana umahiri wake wa ukabaji, inasadikika mwili wake ulikuwa hausikii maumivu anapopigwa ngumi, panga au risasi haikuwa rahisi kumuumiza
- Alisumbua sana makachero kumkamata kutokana na mbinu zake alizotumia kuwakwepa akisaidiwa na baba yake ambae alisadikika kuwa mshirikina.
- Kibaka MBOKOO aliwahi kuhisiwa kuhusika na tukio na uvamizi na uporaji wa hostel za wanafunzi waliokuwa wamepanga Midizini, Jambo ambalo lilizua taharuki kutokana na uporaji na ulawiti katika tukio hilo la kusikitisha!
- Kibaka MBOKOO Aliwahi kukamatwa na kufungwa Mara kadhaa lakini alipoachiwa hakuacha tabia yake ya ukabaji
- Aliripotiwa kukaba watu mbalimbali wakiwemo wanajeshi na kuwaumiza vibaya!
- Inasimuliwa Kuna wanajeshi wawili walivaa hijabu usiku wa manane ili wakutane na MBOKOO Wamkamate, lakini aliwazidi nguvu hawakufanikiwa!
- MBOKOO Alikuwa na mshipa wenye nguvu sana kiasi kwamba akikupiga ngumi utadondoka mbali mithili ya mdori uliopigwa ngumi!
- Uharifu wa MBOKOO Uliwahi kusumbua vichwa vya makachero kutafuta namna ya kumtia nguvuni.
- Doria ya kumsaka ilipamba Moto Sana enzi za kamishna Kova, kiasi kwamba siku moja KIBAKA. Huyo (MBOKOO) alionekana kwenye kivuko na wasamaria wema kureport haraka polisi ili akamatwe!
- Polisi waliwahi eneo la kivuko na kuamru kisiegeshwe ili wamtie nguvuni MBOKOO Haraka iwezekanavyo!
- Kwa jinsi alivyokuwa kero kibaka huyo, ilivutia hadi kamishna kutamani kumuona akitiwa nguvuni, lakini AMBUSHI Ile iligonga mwamba baada ya MBOKOO kujitosa baharini Kama sub Marine Ambapo alionekana kuibukia mbele na kuteka mtumbwi wa wavuvi kabla ya kutokomea Zanzibar!
- Lipongezwe Sana Jeshi la polisi kwa mtandao mpana Ambapo inasadikika walimkamatia huko Zanzibar kwa kusaidiana na wakojani!
- Zipo tetesi kwamba walimhasi na kumharibu kiasi Cha kupoteza nguvu zake za ukabaji .
- Tangu hapo Kigamboni ikawa shwari na salama; mwaka unaenda wa tano Kibaka MBOKOO hasumbui ni dhahiri alidhibitiwa, maana kwa Kariba yake hakustahili kufungwa maana angesumbua hadi wafungwa.
View attachment 1469060View attachment 1469061