Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wwe ndo unaona anateseka huyo yupo ulimwengu wa pili akitumika akimaliza mkataba wake huko anaweza rudi duniani au kutorudi inategemea na mkataba wa anayemtumikia huko.Kuna watu wanateseka hapa duniani.
Wengi uzikwa wakiwa hai mtu kwa kuzimiaInahuzunisha, ingekuwa Afrika angeshazikwa zamani. Picha ya mkewe tafadhali.
Ni haki yake ya kikatiba.Kiranga ona [emoji3516][emoji3516] anasema Mungu ndiye muweza wa yote, vp unakubali, unakataa au athibitishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
R.I.P Jean Pierre Adams.
Sawa mkuu Kiranga kila la heri ila kikikamilika usikose kututaarifu humu.Ni haki yake ya kikatiba.
Mimi naandika kitabu sasa hivi sijapata muda wa kubishania haya.
Mkuu fanya mchakato wa Uzi wa hio mada.Wwe ndo unaona anateseka huyo yupo ulimwengu wa pili akitumika akimaliza mkataba wake huko anaweza rudi duniani au kutorudi inategemea na mkataba wa anayemtumikia huko.
Hii ni elimu ya kiroho