Mjue MKAVILONDO, Askari anayedumu milele katikati ya jiji la Dar es Salaam

Mjue MKAVILONDO, Askari anayedumu milele katikati ya jiji la Dar es Salaam

napata tabu kidogo huko nyuma niliambiwa ni ya Makungaya.
anaeleewa zaidi atusaidie.
anapotoa jibu hili na wengine watuambie Makunganya alikuwa nani?
 
napata tabu kidogo huko nyuma niliambiwa ni ya Makungaya.
anaeleewa zaidi atusaidie.
anapotoa jibu hili na wengine watuambie Makunganya alikuwa nani?
Makunganya nimeipata taarifa za awali hazikuwa sahihi huyu aliwauza waafrika wenzake alifanya biashara ya watumwa na pembe za ndovu.
sasa kama aliwauza waafrika wenzake tena kwa kuwadhalilisha kwanini alipewa mtaa? kwa kabila ni Muyao na alikufa kwa kunyongwa na Wajerumani.
 
Kukimbilia kusema "chai" badala ya kutafuta maarifa sahihi kunaonyesha ni jinsi gani taifa limeelemewa na mzigo wa vijana walio wavivu kwenye kutumia bongo zao
Huoni hapo alama ya kuuliza ? ikimaanisha sijui nimeuliza kwa info zaidi sababu uzi haujajitosheleza upo shallow sana.
 
Back
Top Bottom