Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"

Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.

Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders

Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.

Related image

Juhayna na mumewe Joseph Kusaga

Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.

Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.

Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.

Nimemaliza.

#YNWA
 
Na wewe nitafute nikufundishe jinsi ya kuacha kufatiria miradi ya watu, sasa tukishajua ndo tunafanyaje?
Turudi darasani...
Ukisoma marketing vizuri inakwambia.
Company has many involvers...
1. Shareholders
2. Company management
3. Corporate board
4. Creditors
5. Debitors
6. Customers
7. Government organisations (like TCRA and TRA for WASAFI TV)
8. Employees
9. CSR
10. E.T.C

But the better and the worst thing is "customers are the one who makes company fail or succes"

Then nina king'amuzi nyumbani "automatically am there customer"
I should involved in brother.

#YNWA
 
Turudi darasani...
Ukisoma marketing vizuri inakwambia.
Company has many involvers...
1. Shareholders
2. Company management
3. Corporate board
4. Creditors
5. Debitors
6. Customers
7. Government organisations (like TCRA and TRA for WASAFI TV)
8. Employees
9. CSR
10. E.T.C

But the better and the worst thing is "customers are the one who makes company fail or succes"

Then nina king'amuzi nyumbani "automatically am there customer"
I should involved in brother.

#YNWA

Kwahiyo kujua kwako marketing ndo uanze kufatiria miradi ya watu? Je wewe una mradi gani pamoja na kusoma yote hayo?
 
Kwahiyo kujua kwako marketing ndo uanze kufatiria miradi ya watu? Je wewe una mradi gani pamoja na kusoma yote hayo?
".....uanze kufatiria miradi ya watu?" "
Umeelewa nilichokiandika au ni Lugha?

Nimekwambia...
Am the customer then am one of the mtu wa kufatilia because am there customer.

#YNWA
 
Kwani unateseka hata huyo usiyemtaka kumiliki hizo hisa chache zilizobaki??

We unamiliki nini??
Turudi darasani...
Ukisoma marketing vizuri inakwambia.
Company has many involvers...
1. Shareholders
2. Company management
3. Corporate board
4. Creditors
5. Debitors
6. Customers
7. Government organisations (like TCRA and TRA for WASAFI TV)
8. Employees
9. CSR
10. E.T.C

But the better and the worst thing is "customers are the one who makes company fail or succes"

Then nina king'amuzi nyumbani "automatically am there customer"
I should involved in brother.

#YNWA
 
".....uanze kufatiria miradi ya watu?" "
Umeelewa nilichokiandika au ni Lugha?

Nimekwambia...
Am the customer then am one of the mtu wa kufatilia because am there customer.

#YNWA

Ukishafatiria inakusaidia nini? Je wewe una miliki nini? Au kazi yako ni kuongea ya mafanikio ya wengine tu?
 
Back
Top Bottom