Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Mkuu Ungeandika wajue wamiliki wa wasafi na sio mmiliki, Tambua kampuni kisheria na wamiliki ni vitu viwili tofauti, hapo kusaga anaingiaje?, Pili hoja yako ya umiliki wa asilimia haina mashiko wala uhusiano na kusaga. Tambua hata jeff bezos ni mmiliki na muanzilishi wa amazon na anamiliki 10% ya amazon.
 
Mkuu Ungeandika wajue wamiliki wa wasafi na sio mmiliki, Tambua kampuni kisheria na wamiliki ni vitu viwili tofauti, hapo kusaga anaingiaje?, Pili hoja yako ya umiliki wa asilimia haina mashiko wala uhusiano na kusaga. Tambua hata jeff bezos ni mmiliki na muanzilishi wa amazon na anamiliki 10% ya amazon.
Mtoa mada ana wivu
 
Yaan watu wanapanic hovyo hovyo kisa tu Mond kutokuwa mmiliki wa hiyo wasafi aisee Mbona kawaida tu asante mtoa mada kwa kutujuzaa mana hata me nlkuwa najua ya Mond.
duuh halafu hii ni I'd ya Kwanzaa niliyokutana nayo miaka 5 iliyopita nilipojiunga



Twende kwenye Mada watu wanapanick sababu huu uzi kauleta kishabiki Sana

Sasa kusaga anahusika vipi hadi amtaje si aseme juhyna tu Kama inavyoonekana

Chengine anafurahi mond kutokuwa na share holder kubwa .ila hajui Kama wamiliki ni watatu hajui Kama shareholders zinaweza kununuliwa, zinaweza ongezeka, zinawezapungua



Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
duuh halafu hii ni I'd ya Kwanzaa niliyokutana nayo miaka 5 iliyopita nilipojiunga



Twende kwenye Mada watu wanapanick sababu huu uzi kauleta kishabiki Sana

Sasa kusaga anahusika vipi hadi amtaje si aseme juhyna tu Kama inavyoonekana

Chengine anafurahi mond kutokuwa na share holder kubwa .ila hajui Kama wamiliki ni watatu hajui Kama shareholders zinaweza kununuliwa, zinaweza ongezeka, zinawezapungua



Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

duuh halafu hii ni I'd ya Kwanzaa niliyokutana nayo miaka 5 iliyopita nilipojiunga



Twende kwenye Mada watu wanapanick sababu huu uzi kauleta kishabiki Sana

Sasa kusaga anahusika vipi hadi amtaje si aseme juhyna tu Kama inavyoonekana

Chengine anafurahi mond kutokuwa na share holder kubwa .ila hajui Kama wamiliki ni watatu hajui Kama shareholders zinaweza kununuliwa, zinaweza ongezeka, zinawezapungua



Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Miaka mitano ilopitaa nlkuwa nashinda Sana Jf
 
Turudi darasani...
Ukisoma marketing vizuri inakwambia.
Company has many involvers...
1. Shareholders
2. Company management
3. Corporate board
4. Creditors
5. Debitors
6. Customers
7. Government organisations (like TCRA and TRA for WASAFI TV)
8. Employees
9. CSR
10. E.T.C

But the better and the worst thing is "customers are the one who makes company fail or succes"

Then nina king'amuzi nyumbani "automatically am there customer"
I should involved in brother.

#YNWA
Irrelevant answers contrally to my question
 
Back
Top Bottom