Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Darasa zuri,lakini ungetoa somokama lilivyo bila kuhusisha wasafi tv .. ungeeleweka vizuri zaidi kwasababu tungeelekeza fikra namna shereholder % inavyokuwa na nguvu kwenye kampuni.

Kumuhusisha diamond imefanya somo lako lionekane kama unafiki ,lengo likiwa kutuonyesha diamond sio mmiliki wa wasafi,na sio kuelimisha hayo mambo ya shere.
Ndio maana baadhi wamechangia kwa povu.
 
Mkuu Ungeandika wajue wamiliki wa wasafi na sio mmiliki, Tambua kampuni kisheria na wamiliki ni vitu viwili tofauti, hapo kusaga anaingiaje?, Pili hoja yako ya umiliki wa asilimia haina mashiko wala uhusiano na kusaga. Tambua hata jeff bezos ni mmiliki na muanzilishi wa amazon na anamiliki 10% ya amazon.
Hili nalo ni somo jengine.
Humohumo kwenye corporate governance.

Mwanzilishi anaweza amua kuuza asilimia kubwaa ya hisa zake ila asiiuze ile majority vote right yake.

Kama wanahisa wotee wapo below 50% Basi yule mwenye high % ndio huwa major shareholder.

Haya ndio yanayoendelea kwa FB na AMAZON.

#YNWA
 
Punguza hasira..
Ingia google download CORPORATE GOVERNANCE BOOKS vitakusaidia uelewa.

#YNWA
DUH!!

Hasira usiwe nazo wewe unayemchukia mwenye nacho japo kidogo nichukie mimi nayefurahia mafanikio madogo ya huyo unayemchukia,tena asiyekuwa na shule ila amejaliwa akili na liquidity ya kutosha?
 
duuh halafu hii ni I'd ya Kwanzaa niliyokutana nayo miaka 5 iliyopita nilipojiunga



Twende kwenye Mada watu wanapanick sababu huu uzi kauleta kishabiki Sana

Sasa kusaga anahusika vipi hadi amtaje si aseme juhyna tu Kama inavyoonekana

Chengine anafurahi mond kutokuwa na share holder kubwa .ila hajui Kama wamiliki ni watatu hajui Kama shareholders zinaweza kununuliwa, zinaweza ongezeka, zinawezapungua



Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
I know all usijali.
Am financial analyst

Unajua maana ya MAJORITY SHAREHOLDER?

FB inamilikiwa na wengi ila Mark Z. ndio anaongelewa sanaa.
AMAZON inamilikiwa na wengi ila JACK M. ndio figure.

Thats corporate governance.

#YNWA
 
Irrevant answers contrally to my question
Refer to your answer
"Siteseki na chochotee"
Nimejaribu kuleta corporate governance education.
Kama ni shabiki wa WCB na nimekukwaza.

Am sorry madam..

#YNWA
 
Darasa zuri,lakini ungetoa somokama lilivyo bila kuhusisha wasafi tv .. ungeeleweka vizuri zaidi kwasababu tungeelekeza fikra namna shereholder % inavyokuwa na nguvu kwenye kampuni.

Kumuhusisha diamond imefanya somo lako lionekane kama unafiki ,lengo likiwa kutuonyesha diamond sio mmiliki wa wasafi,na sio kuelimisha hayo mambo ya shere.
Ndio maana baadhi wamechangia kwa povu.
Kufikiria ni bure huwezi lazimisha raia wafikirie utakavyo.

#YNWA
 
Darasa zuri,lakini ungetoa somokama lilivyo bila kuhusisha wasafi tv .. ungeeleweka vizuri zaidi kwasababu tungeelekeza fikra namna shereholder % inavyokuwa na nguvu kwenye kampuni.

Kumuhusisha diamond imefanya somo lako lionekane kama unafiki ,lengo likiwa kutuonyesha diamond sio mmiliki wa wasafi,na sio kuelimisha hayo mambo ya shere.
Ndio maana baadhi wamechangia kwa povu.
Upo sahihi kwa asilimia 💯
 
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.

Related image

Juhayna na mumewe Joseph Kusaga

Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.

Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.

Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.

Nimemaliza.

#YNWA
Facts muruwa kabisa.

Mwenye facts za kupinga hizi azilete basi badala ya mipasho na tambo
 
Back
Top Bottom