Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji1690]AaahhW Wasafiibabyyyy (in mond's voice)
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji1690]AaahhW Wasafiibabyyyy (in mond's voice)
#YNWA
Kuhusu brand sijafatilia labda ulete link ya PROOF.Sasa Corporate Governance ndio imekufundisha kua Mke wa kusaga ndio kusaga? [emoji3] Mlisoma vyuo gani
Anyways kwanini hutak kuongelea brand ownership ambayo ni 100% iko owned na Diamond mwenyew..
Iko hivi Diamond anamilik wasafi as a brand kwa asilimia [emoji817]..brand ina nguvu kuliko hizo share za mke wa kusaga..kama unabisha basi mke wa kusaga asepe uone kama wasafi itaporomoka as if investor ni mke wa kusaga peke yake hapa Tanzania
sasa Mke wa kusaga anamiliki 53% peke yake..mond anamilik 100% ya wasafi as brand plus 45% ya wasafi media..[emoji3] bro ww ungepata hata 0.5 percentage ya wasafi usingekuja kusambaza chuki jf
Situmii app natumia web browser.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji1690]
Shabiki wa WCB wewe?
#YNWA
Duh! Hebu kazana angalau uwe na simu yenye option nyingi,we unakazania hisa nyingi za kina kusaga, mmjjiinnggaa sana we jamaaSitumii app natumia web browser.
Siioni chochoteee
#YNWA
Uwe unauliza man, usiwe unapayuka, sasa umeandika nini?Duh! Hebu kazana angalau uwe na simu yenye option nyingi,we unakazania hisa nyingi za kina kusaga, mmjjiinnggaa sana we jamaa
Inawezekana ukatumia app,na pia browser ili kwenye mapungufu ya huku ,unapata kule..Uwe unauliza man, usiwe unapayuka, sasa umeandika nini?
Hizi social media apps unaweza kulog in kupitia apps na web browser.
Na JF natumia web browser kwasababu ya notifications (app haitoi notifications).
Na social media nazotumia mimi ni whatsapp na JF tuuu.
Kwa simu na miliki Tecno Cammon 16 Pro.
Umenisikitisha kijana, usiwe unapayuka hivi, unaaibisha.
#YNWA
Because am Financialist then am minimalist.Inawezekana ukatumia app,na pia browser ili kwenye mapungufu ya huku ,unapata kule..
Unatumia tecno halafu unakazania shere za watu kwenye kampuni.
Upgrade your status first bro!!.tecno sio simu[emoji3][emoji3]
Huku Mbosso na Saidi Fella wakimiliki 56% pale Channel 10.,hahah.Alikiba anamiliki 60 pale clouds sema hapendi show off
Kwisha habari yako!!Because am Financialist then am minimalist.
Techno kwangu inatosha.
#YNWA
Maneno yote baada ya kusikia Tigo wamedhamini Wasafi festival,ila wafanyabiashara siku zote wanaangalia faida,so 45 si haba mzigo wa maana dogo anapata.Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.
Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)
Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!
Kwanini nasema hivyo?
Hebu tuingie darasani...
Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).
WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%
Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.
![]()
Juhayna na mumewe Joseph Kusaga
Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.
Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.
Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.
Nimemaliza.
#YNWA
"Leta proof nifatilie tafadhali."Kuhusu brand sijafatilia labda ulete link ya PROOF.
Hii yangu ni kutoka maktaba za TCRA.
Leta proof nifatilie tafadhali.
Maana majority shareholder ndio humiliki most of the company rights in big term.
#YNWA
Oooh.....Basi bora akili kuliko mali.Mwasisi wa media ni Diamond
Usichokijua ni 'Mark Zuckerberg owns a minority of the fully diluted total shares outstanding, but a majority of the voting shares.'Maneno yote baada ya kusikia Tigo wamedhamini Wasafi festival,ila wafanyabiashara siku zote wanaangalia faida,so 45 si haba mzigo wa maana dogo anapata.
Haya maisha ni kushare kuna watu wanahela na hawana pakuziweka na kuikuza brand mpya ni kazi kubwa.Kuna redio zimekuja mpya zimefutika hazipo sababu brand yao sio maarufu.
So Diamond ana Brand ya Wasafi,Mke wa Kusaga anahela Kawekeza kupitia brand ya Wasafi ambayo inajulikana EA now kampuni imekuwa wanapiga hela ndio maisha hata Mark Zuckerburg hisa zake hazidi 25%,sioni cha ajabu Mondi kuwa na 45%.
Hebu nipe ushahidi.Usichokijua ni 'Mark Zuckerberg owns a minority of the fully diluted total shares outstanding, but a majority of the voting shares.'
Hopefully unaelewa kilichoandikwa hapo.
Mark ana miliki 25% na ndio high share percentManeno yote baada ya kusikia Tigo wamedhamini Wasafi festival,ila wafanyabiashara siku zote wanaangalia faida,so 45 si haba mzigo wa maana dogo anapata.
Haya maisha ni kushare kuna watu wanahela na hawana pakuziweka na kuikuza brand mpya ni kazi kubwa.Kuna redio zimekuja mpya zimefutika hazipo sababu brand yao sio maarufu.
So Diamond ana Brand ya Wasafi,Mke wa Kusaga anahela Kawekeza kupitia brand ya Wasafi ambayo inajulikana EA now kampuni imekuwa wanapiga hela ndio maisha hata Mark Zuckerburg hisa zake hazidi 25%,sioni cha ajabu Mondi kuwa na 45%.
Nani kasema muasisi ni mond, tumesoma zile documents za kampuni?Oooh.....Basi bora akili kuliko mali.
Apo ndo utajua kuna watu wanatafuta pesa na kuna watu pesa zinawatafuta wao...
Kuhusu brand sijafatilia labda ulete link ya PROOF.Maneno yote baada ya kusikia Tigo wamedhamini Wasafi festival,ila wafanyabiashara siku zote wanaangalia faida,so 45 si haba mzigo wa maana dogo anapata.
Haya maisha ni kushare kuna watu wanahela na hawana pakuziweka na kuikuza brand mpya ni kazi kubwa.Kuna redio zimekuja mpya zimefutika hazipo sababu brand yao sio maarufu.
So Diamond ana Brand ya Wasafi,Mke wa Kusaga anahela Kawekeza kupitia brand ya Wasafi ambayo inajulikana EA now kampuni imekuwa wanapiga hela ndio maisha hata Mark Zuckerburg hisa zake hazidi 25%,sioni cha ajabu Mondi kuwa na 45%.
David Mosha yule pale na hela zake kaanzisha radio mwisho wa siku ikamshinda kaachana nayo,husifanye masihala kutengeneza brand.
Umeongea kikubwaa sanaa bro.Usichokijua ni 'Mark Zuckerberg owns a minority of the fully diluted total shares outstanding, but a majority of the voting shares.'
Hopefully unaelewa kilichoandikwa hapo.