Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Umeyumba mkuu..punguza " much know".
...."much know" nayo ni fikra na umefikiria bure kabisa.
Then your right, you will be wrong until has been proven.

Ila nakushauri soma vitabu ili upanue fikra.

#YNWA
 
...."much know" nayo ni fikra na umefikiria bure kabisa.
Then your right, you will be wrong until has been proven.

Ila nakushauri soma vitabu ili upanue fikra.

#YNWA
Kwendraa...ungekuwa unasoma vitabu usingeandika huu ujinga! Kwenye hivyo vitabu wapi wamewaandika wasafi tv?, unafiki na wivu unakusumbua.
 
Kwa umri wa Mondi, background yake na elimu yake ndogo hata angemiliki 1% ya Wasafi media bado anastahili kutamba.
Sio hivyo tu mkuu...jamaa anamiliki wasafi as Brand kitu ambacho ni kikubwa kuliko hizo hisa za mke wa kusaga..ila hawalisemi...hivi hisa zimekua kubwa kuliko brand? Kama ni hivyo kusaga si angepeleka hizo hisa gangwe mob[emoji3]
 
Kwendraa...ungekuwa unasoma vitabu usingeandika huu ujinga! Kwenye hivyo vitabu wapi wamewaandika wasafi tv?, unafiki na wivu unakusumbua.
The major agenda was majority shareholder.

#YNWA
 
Sio hivyo tu mkuu...jamaa anamiliki wasafi as Brand kitu ambacho ni kikubwa kuliko hizo hisa za mke wa kusaga..ila hawalisemi...hivi hisa zimekua kubwa kuliko brand? Kama ni hivyo kusaga si angepeleka hizo hisa gangwe mob[emoji3]
Majority shareholder is the one who owns much of the company rights.

#YNWA
 
Bwege tu wewe[emoji3][emoji3]
Ngoja nikushauri...
Ukiwa unatetea hoja na unadhani huna hoja ya kuandika/kuongea halafu hukubaliani na mada then JUST AGREE TO DISAGREE (kubali kutokubaliana).

Huna haja ya kum attack mtoa hoja kwa matusi, kejeli Na vitu kama hivyo.

Just agree to disagree then kaa kimya.

#YNWA
 
Ngoja nikushauri...
Ukiwa unatetea hoja na unadhani huna hoja ya kuandika/kuongea halafu hukubaliani na mada then JUST AGREE TO DISAGREE (kubali kutokubaliana).

Huna haja ya kum attack mtoa hoja kwa matusi, kejeli Na vitu kama hivyo.

Just agree to disagree then kaa kimya.

#YNWA
Usininyamazishe asee... twende hivihivi ili siku nyingine uwe na adabu.
 
Sasa Corporate Governance ndio imekufundisha kua Mke wa kusaga ndio kusaga? [emoji3] Mlisoma vyuo gani

Anyways kwanini hutak kuongelea brand ownership ambayo ni 100% iko owned na Diamond mwenyew..

Iko hivi Diamond anamilik wasafi as a brand kwa asilimia [emoji817]..brand ina nguvu kuliko hizo share za mke wa kusaga..kama unabisha basi mke wa kusaga asepe uone kama wasafi itaporomoka as if investor ni mke wa kusaga peke yake hapa Tanzania

sasa Mke wa kusaga anamiliki 53% peke yake..mond anamilik 100% ya wasafi as brand plus 45% ya wasafi media..[emoji3] bro ww ungepata hata 0.5 percentage ya wasafi usingekuja kusambaza chuki jf
 
Back
Top Bottom