Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Nazani umenielewa sema kwa sababu ni mungu wako ndio mana unafoka sababu yake.Hakuna anayemuona ni Mungu mtu sema nyie mnamchukia na kumuonea wivu kwa sababu ya mafanikio yake tu na si vinginevyo na ndio maana na sisi tunamtetea,hatuwezi kukubali mtu aliyehustle kivyake mumshushe tu kwa sababu ya chuki zenu
Kwanini asiwe Mo?(bilionea)
Kwanini asiwe Masanja au vijana wengine? Acheni kumwabudu mtu. Mtakuja kusema hata Diamond jubilee ni ya kwake pia. Au Diamond gin spirit anamiliki yeye kwa upofu mliokuwa nao wajinga ninyi.