Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Mjue mmiliki halali wa Wasafi Tv

Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.

Related image

Juhayna na mumewe Joseph Kusaga

Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.

Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.

Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.

Nimemaliza.

#YNWA
Na radio anamiliki nani
 
Iko hivi Clouds media ni family business ambayo ipo chini ya Kussaga Family yaaani iliazishwa kupitia Fedha za Marehemu Mzee Kussaga alafu mtoto wake huyu Kussaga Jr ndio akawa mkurungezi kutokana na yeye kuwa na experience kuwa na mshiko wa kutosha akaazisha Clouds media dubai, Rwanda na kampuni zingine lakini baadae akaona kama apati pesa za kutosha kutoka Clouds media bcz ya family ownership ndio akaazisha Wasafi Media from copy and paste ya Clouds media lakini akaingia makubaliano ya mkataba na Diamond ili watumie Wasafi brand kwa minajili ya kuipa Airtime kubwa huku Diamond akipata sehemu ya kuongelea mziki wake na matamasha yake ndio maana unaona Wasafi Media wanapita mule mule kwenye njia za Clouds media mfano Kuja kwa Koffi; Koffi anamawasiliano ya Karibu sana na Joseph Kussaga pia Tigo Wanaelewana sana na Kussaga ndio maana wameweza kukaa na Clouds media for more than 4 yrs to support Fiesta. Ukiangalia hata Vifaa wanavyotumia kwenye matamasha yao ni kutoka Prime time promotion. Clouds Media ilikuwa Ruge na Joseph. Ruge ni mtendaji lakini nyuma ya picha alikuwa chini ya Kussaga ndivyo ilivyo kwa Wasafi Media Diamond anaonekana ndio mmiliki lakini nyuma ya picha yupo chini ya Joseph Kussaga kupitia Mke wake.... Vijana tutafute pesa na tuwe na focus na vision.....
@Kim Jong Jr
 
Najua wengi mnalazimisha zisiwe zaMond ili mfariji nafsi zenu kwamba haiwezekani kwa mziki huu mnaojua jamaa kupiga mahela. Hamko wenyewe wasanii wengi pia wanaamini kama nyie halafu jamaa ndio anapiga hatua za fasta.
Kubalini inawezekana na nyie jitumeni katika kile mnachofanya mtafsnikiwa tuu
 
Najua wengi mnalazimisha zisiwe zaMond ili mfariji nafsi zenu kwamba haiwezekani kwa mziki huu mnaojua jamaa kupiga mahela. Hamko wenyewe wasanii wengi pia wanaamini kama nyie halafu jamaa ndio anapiga hatua za fasta.
Kubalini inawezekana na nyie jitumeni katika kile mnachofanya mtafsnikiwa tuu
Mimi nakubali wasafi ni yako mkuu.
 
yanamuispire
Tuanzie hapo. Wew anakuispire umefikia wap? Acha kukariri maisha kijana badala ya kupambana unaabudu wanadamu wenye viungo ka vyako. Wewe toka uanze kumwabudu mbona hata robo humfikii. Endelea hivyo afu uzee utapata cha kuadisia wajukuu wako.
 
Mimi nakubali wasafi ni yako mkuu.
Si hivyo watu hamtaki kukubali hard work pays, mmekalia Mondi hii si yake, mara freemasons, mara anatumiwa. Zamani ilikuwa ukitoka nje ya maeneo yenu ukarudi umefanikiwa utasikia jamaa katoka Mombasa huyu. Watu badala ya kupata hamasa kwamba yeye kaweza kwa nn mimi nisiweze mnakaa mnaumiza kichwa nani anamiliki % ngapi. Kuwa na Radio au TV sio big deal kihivyo, mbona hamumsemei Majay alikuwa DJ tuu wa club ana Radio na TV station???? Na wengi wenu humu ni wale ambao mmeaminishwa kusoma sana ndio mafanikio halafu sasa hivi reality inawatandika usoni.
 
Si hivyo watu hamtaki kukubali hard work pays, mmekalia Mondi hii si yake, mara freemasons, mara anatumiwa. Zamani ilikuwa ukitoka nje ya maeneo yenu ukarudi umefanikiwa utasikia jamaa katoka Mombasa huyu. Watu badala ya kupata hamasa kwamba yeye kaweza kwa nn mimi nisiweze mnakaa mnaumiza kichwa nani anamiliki % ngapi. Kuwa na Radio au TV sio big deal kihivyo, mbona hamumsemei Majay alikuwa DJ tuu wa club ana Radio na TV station???? Na wengi wenu humu ni wale ambao mmeaminishwa kusoma sana ndio mafanikio halafu sasa hivi reality inawatandika usoni.
Wala hujakosea mkuu,ndio maana nikasema mimi naamini ile Wasafi ni ya kwako/unaimiliki wewe mzee baba.
 
Tuanzie hapo. Wew anakuispire umefikia wap? Acha kukariri maisha kijana badala ya kupambana unaabudu wanadamu wenye viungo ka vyako. Wewe toka uanze kumwabudu mbona hata robo humfikii. Endelea hivyo afu uzee utapata cha kuadisia wajukuu wako.
Nakubali,simfikii hata chembe ila naapreciate hustle zake na sina wivu na chuki wala husda na mafanikio yake kama nyie haters,napambana japo nifikie hata chembe tu ya mafanikio yake,na ukubali tu hatufanani ila aliyetoka katoka,ukileta chuki zako ndio kwanza Allah ndio anamuongezea
 
Kama Dj kama Majay ameweza kumiliki Tv na Radio Efm na ETV kwanini isiwezekani kwa Mond?
Nadhani watu wanachofanya, hapa wanajipima maendeleo yao wanaona kijana kawapiga bao la mbali wanaamua kutafuta njia ya kupooza nafsi ndio hapo wanakuja na mambo ya %, mara freemason nk nk.
Nafsi zao haziwezi kukubali Mondi ni mtafutaji kwa sababu kwao ni kama kukubali kuwa wamefeli maisha.
 
Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.

Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)

Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!

Kwanini nasema hivyo?

Hebu tuingie darasani...

Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).

WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%

Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.

Related image

Juhayna na mumewe Joseph Kusaga

Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.

Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.

Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.

Nimemaliza.

#YNWA
Probably hii mada umeikosea .

Ulichokifanya wewe nikuwasilisha mada katika inverse form,. Kwakuwa wamiliki wa Wasafi ni watatu kama ulivyosema ,basi nilitegemea kuona heading yako ikisomeka "WAJUE WAMILIKI HALALI WA WASAFI" lakini imekuwa tofauti.

Sasa hapa ndio maana unajaribu kutumia effort kubwa sana kuwaelewesha raia.
Heading yako na content vimeonesha kuwa Unamfafanua diamond kama sio mmiliki na hana share.

So kuwa makini mkuu ,next time fanya editing kwanza ya unachokuwa unaandika.
 
Unajua maana ya MAJORITY SHAREHOLDER?

FB inamilikiwa na wengi ila Mark Z. ndio anaongelewa sanaa.
AMAZON inamilikiwa na wengi ila JACK M. ndio figure.

Thats corporate governance.

#YNWA
Yaani umeshasahau kichwa Cha habari ulichoandika, we umesema "mfaham mmiliki wa wasafi" na sio shareholder
 
Kama Dj kama Majay ameweza kumiliki Tv na Radio Efm na ETV kwanini isiwezekani kwa Mond?
Nakubali,simfikii hata chembe ila naapreciate hustle zake na sina wivu na chuki wala husda na mafanikio yake kama nyie haters,napambana japo nifikie hata chembe tu ya mafanikio yake,na ukubali tu hatufanani ila aliyetoka katoka,ukileta chuki zako ndio kwanza Allah ndio anamuongezea
Kwa hiyo Mondi ndio mmiliki wa Wasafi Media? Nataka nibu 1 tu maelezo yashatolewa na Liverpool VPN
 
Back
Top Bottom