Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂
N do nachojua "Bounce" ya Vanessa ndo kaandika Tommy, sio mwanamke imara na hakuna nyimbo hiyo.Nyongeza...ameshiriki pia kuandika Dodo ya Alikiba Bila kusahau Bounce yake vanessa na maua sama
👍👍Kuandika ni kitu kingine
Kuimba ni kitu kingine
Si kila mtunzi ni muimbaj mzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la ajabu bongo nasikiaga watu zaidi ya mmoja wakibrag kuandika wimbo ule uleHizi ni Nyimbo za mastaa wakubwa East Africa alizowai kuandika Tommy Flavour msaani mpya wa Kings Music
One Day- Nandy
Nifanane- Wahu
Katu katu - Maua Sama
Main Chick - Maua Sama
Your Love - Avril
Mwanamke Imara - Vanessa Mdee
Nipotezee - Hamissa Mobetto
Yanje - Ommy Dimpoz
Ni wewe - Ommy Dimpoz
You Are the Best - Ommy Dimpoz
Dodo na So hot kuna mkono wa huyu jamaa.Kwa hiyo alikiba hajawahi kuandikiwa na huyu?
Lava Lava ni Dubwasha tyuuh. [emoji3][emoji3][emoji3]Mwamba ni gharasa tuu
Aiseee😀Lava Lava ni Dubwasha tyuuh. [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee[emoji3]
Sawa sweetie nimekubali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ukubali hivi hivi hakuna namna.Sawa sweetie nimekubali
Hahaha dogo katisha na kuimba anajua. Imebidi nirudie hii post niliisaveKuandika ni kitu kingine
Kuimba ni kitu kingine
Si kila mtunzi ni muimbaj mzur
Sent using Jamii Forums mobile app