Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Tommy ana jua, Kuna nakuja, omukwano, nishazama, utulie ni 🔥🔥Lava Lava ni Dubwasha tyuuh. [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tommy ana jua, Kuna nakuja, omukwano, nishazama, utulie ni 🔥🔥Lava Lava ni Dubwasha tyuuh. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo Omukwamo jana nimeirudia sana, jamaa anajua na sasa kashajipata..Huku ameua sana!Tommy ana jua, Kuna nakuja, omukwano, nishazama, utulie ni [emoji91][emoji91]
Vipi mzee hao akina Killy wako wapi siku hizi?shida ya alikiba ukishajiunga kwenye record label yake unakuwa ni kama umejipiga kitanzi cha uvivu. hutoi ngoma mpaka yeye aridhike au mpaka akupe go ahead.
matokeo yake mda unazidi kukuacha nyuma, unakuwa unaishi maisha ya kupost picha instagram huku huna ngoma kali hata moja na deal za maana zinakupita.
huo ndio mfumo ambao alikuwa anawafanyia cheed na killy. kila wakitaka kuachia ngoma, kiba anawazuia. leo wamemkimbia maana waliona jamaa anawachelewesha.
niulize tu, tangu huyo tommy fleva ajiunge na alikiba mwaka jana, ametoa ngoma ngapi za kwake mwenyewe?.
Bado unasimamia huu msimamo [emoji1787]Mwamba ni gharasa tuu
Kuna hi utulie ft mwana fa ni Kali mnoHiyo Omukwamo jana nimeirudia sana, jamaa anajua na sasa kashajipata..Huku ameua sana!