Mjue mwanamke

Mungu aniepushe na namba 5,sijui for how long nitajizuia “nisijitetee”!
Namba 7 haijawahi na haiwez kuja kua adhabu kwangu milele na milele Amina.yaani u hold me ransom sababu ya chiu??ukikataa mwanzo sitakuja kuuomba hadi siku uamue kunipa mwenyewe.
 
mbona umesahau kuwataja wale ambao wakikasirika wanaingia whatsapp na kuanza kujichatisha na wanaume wanaomshobokeaga, na kuanza kujichekesha chekesha kwa nguvu ili uumie.
yani kinachekecheka chenyewe kama kijinga.
Mimi ilikuwa inapigwa video call kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Then baharia sina muda nimetulia tuu as if nothing is going on.

Baada ya kuona sijali ndio alizidi kupata wehu zaidi[emoji23][emoji23][emoji23]

Hawa viumbe hawa? Kwa kweli tuishi nao kwa akili.

Cc Unforgetable
 
chief unaishi na Unforgetable kwa akili?
 
Umefufuka lini ka x kangu, mbona ulishatangulia?

Unforgetable
 
Uyu mpya wa sasa akikasirika ananikomoa na iyo namba 7 ..yani ni shughuli mwanzo mwisho mpaka apoe[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…