Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Kivip mkuudah yani Aliniuzi mzee kwa sababu pro-jay ndiye msanii wangu bora wa muda wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivip mkuudah yani Aliniuzi mzee kwa sababu pro-jay ndiye msanii wangu bora wa muda wote
p funk ni juha alafu pro jay ni Mo-music talented ila p funk muimba taarabu Yule mchizi ndiyo maana hata Ruge alikuwa hamkubali Yule mchiziKivip mkuu
Enzi zile alikuwa beat maker tuhMr Politician sio alikuwa Dunga wa 41 Records?
UmekurupukaKwamba yeye ni wa 99 ndo hatakiwi kuchangia? Acha ubaguzi
Mkuu huyo wa kwenye avatar anaitwa nani?nyimbo kama,
ridhiwan by izzo
Mr. politician by nakaya
wimbo wa taifa by kala Jeremiah
stimu zimelipiwa by joh makini
kiujamaa by nikki 2
nje ya 18 by weusi
etc..
Kafie mbele
Kendrick LamarMkuu huyo wa kwenye avatar anaitwa nani?
Namuona humu kwenye avatar ila simjui.
Sent using Jamii Forums mobile app
dah sorry!MgumuNgara,
Mr Politician sio alikuwa Dunga wa 41 Records?
Wa kawaida tu na kinachochelewesha ndoa yao ni aika kutokubalika kwao jamaa. Hope watasolve na kuishi kwa amani.
Nimekula sn dada'ke enzi naishi Mikocheni mdogoake anatoka Makuburi anaufata mkwajungoma. Tuliachana baada ya kujua junk mmoja wa Gereji anakula
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ndgu wa nimrodi mkono?Point of correction..Baba yake siyo Nimrod Mkono bali ni Zadock Mkono..wanaishi Makuburi hapo gereji/external...
Kama kamtawala flan kijana wao